geometry
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 466
- 356
MD??acha uongoHakuna Chuo special nchi hii ambacho mtu mwenye one hapati, last year tu ndugu yangu amechukuliwa Kwahiyo hiyo one ya tisa, pia vyuo vyetu nchini vyote vya Kawaida
MD??acha uongoHakuna Chuo special nchi hii ambacho mtu mwenye one hapati, last year tu ndugu yangu amechukuliwa Kwahiyo hiyo one ya tisa, pia vyuo vyetu nchini vyote vya Kawaida
Amemaliza mwaka Jana, nilikosea kusema ameanza mwaka Jana, nidanganye ili nipate faida gani?MD??acha uongo
Ni kweli, wapo watu hapo waliingia ha hizo pointi 9. Ct off point zao ni 10. yaani C, C, D.div one Muhimbili anapata MD bila wasiwasi
Si kweli maana si kila mtu mwenye ufaulu mzuri PCB ana malengo ya MD. Kuna wengine na tatu zao wanapenda Laboratory au Pharmacy. Mwacheni dogo ajitose!Hata one ya nane kupata MD muhas ni kazi..watu kibao wana one za tano,na capity haizidi wanafunzi 180
Sawa,ila najua ni nini nazungumzaSi kweli maana si kila mtu mwenye ufaulu mzuri PCB ana malengo ya MD. Kuna wengine na tatu zao wanapenda Laboratory au Pharmacy. Mwacheni dogo ajitose!
Competion saivi kubwa sio kama zamani hata div two unaenda Muhas simple tu..Amemaliza mwaka Jana, nilikosea kusema ameanza mwaka Jana, nidanganye ili nipate faida gani?
Mbona kozi za kusoma zipo zaid ya 75 kwa mwanafunzi wa PCB?Ile dhana ya kusisitiza wanafunzi wapende masomo ya science inakua haina maana yoyote kama wanakosa mahali pa kuwapeleka.
Hahahaha...hata nikiwa na div III siwezi kuomba kozi hii kwa sasa...!! Samahani lakinPCCB course mpya hii...
Kama ulimaanisha PCB basi size yake ni UDOM (Chuo cha Kata) tu, asijisumbue kuomba MUHAS
Ni kama vile PCM mwenye point 9 kuomba Petroleum ya CoET pale, atakua anatwanga maji kwenye kinu.
ufaulu wa kawaida ni upi huoMloganzila hawa admit wanafunzi, hilo ni jukumu la MUHAS. Kwa sisi wenye ufaulu wa kawaida ukiomba MUHAS hakikisha kuna vyuo vingine kama vitatu unaomba au sivyo unaweza kuja kulia hapa.
Pole sana mkuu.Sitaisahau PCB nilitaka kufa na msuli ni haki nile mema ya nchi
MUHAS kwa MD inachukua zaidi ya wanafunzi 100, hapo labda umeangalia vibayaAhsante Mr. Ngoja tujaribu,nimetizama idadi ya wanaohitajika nikapata ofu, udom nafasi 20, muhas nafasi 10 kwa level ya MD
Mtu unajipima mwenyewe ili ujue kama una beep (ufaulu wa kawaida) au unapiga (ufaulu wa juu). Niseme chini ya point 12 za TCU.ufaulu wa kawaida ni upi huo
Nimeshangaa,,wanafunzi 10 kingekuwa ni chuo au sehemu ya tuition za kuresit pepa!!MUHAS kwa MD inachukua zaidi ya wanafunzi 100, hapo labda umeangalia vibaya
We siamekwambia hayuko specialized na hayo mambow mbna ujuaji mwngi sana burazaaaKama jambo muhimu tu la Kuandika PCCB badala ya PCB linakushinda sidhani kama hiyo Kozi ya Medical Officer itakufaa. Umeonyesha ' udhaifu ' wako wa Kitaaluma mapema mno.