kipindi cha njia panda for the past two weeks (wiki juzi na wiki jana) kilikua kinaongelea Mambo haya haya, Watanzania tumekua watu wa kupondana, kukosoana, kusemana vibaya...bila kufaham maneno yanaumba na jamii ya aina hii itaendela kwa shida sana,,, Tunatakiwa tuanze kubadili mitazamo yetu dhidi ya wengine tuwe watu wa kupeana mioyo, Kufarijiana (sio tu kwenye misiba), Tuache kuwa na mitazamo hasi guys kwa kila jambo linajitokeza katika jamii yetu.
Ndiyo tatizo la "macelebrity" wa Bongo. Mtu akipata umaarufu tu anajiona wa gharama. Mwisho wa siku wana chezewa tu na umaarufu unapo isha wanashangaa hamna mtu wa maana anae wataka.
Hakuna tatizo kabisaa kwa maana kwenye biashara kuna swala la "Haggling". Unataja bei yako na mnunuzi anataja bei yake mpaka mnafikia makubaliano. Yeye kesha sema bei yake na potential buyer wataje bei zao mpaka wakubaliane
Anajilinganisha na mali,utajiri wa baba yake hajui kuwa mapenzi hayanunuliwi hata senti moja,ajipange pesa si msingi wa mapenzi,akinunuliwa kwa pesa hizo ni utumwa wa fikra na utumwa wa mtazamo pia!!sasa ataweza kuzalisha ili kumfidia alieoa kwa pesa yote hiyo???ni utoto tu akikua ataacha!
Sasa huyu Diva mbona anaover exaggerate mambo, sura yenyewe ipo wapi pale? Au anafikir vmapaja vyake anavyo onesha onesha currently vmeshka? Dada Posa hawa lipii saut hiyo tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.