😂😂😂😂😂 Top ten ya vwango vya ubora wa Elimu Africa sisi Tz hatupo ndio kama hivyo mkuu usishangae mtu kukomalia KusagaMbona umeng'ang'ania kua media ni ya kusaga kwani ukisema ni coorparate ya kusaga na mond utakufa MWAMBWAA
Ni kweli ya kusagaMbon umeng'ang'ania kusema wasafi ni ya Kusaga...wenye msanii wao watakuja wamefura hapa
Ni kweli ya kusaga unabisha nini mondi ni kipele tu au unataka mbaka forbes wakuambie kwa nguvu coz watu wengi walidhani kama wewe ila hawa forbes ndio waliweka waziIyo partnership business so sio kusaga pekee wako watatu sasa mkuu mwanzo mwsho umekazia kusaga
Kitenge tangu aingie usafin anarembua na vidole juu mbaka hatumuelewi kabisa au wali nazi siku hiziNimeona kwa kitenge Malavi davi.
Kitenge tangu aingie usafin anarembua na vidole juu mbaka hatumuelewi kabisa au wali nazi siku hizi
Kwan bado hajatokaWalitakiwa wamuache huyo malaya sura Lake kama kajamba ukweni maana lina nyodo kinoma wakati baba ake mwizi kule tff ananyea debe
Baba yake hakutoka?Walitakiwa wamuache huyo malaya sura Lake kama kajamba ukweni maana lina nyodo kinoma wakati baba ake mwizi kule tff ananyea debe
Watatu kweli ila hao wawili ni Kusaga na mke wake.Iyo partnership business so sio kusaga pekee wako watatu sasa mkuu mwanzo mwsho umekazia kusaga
Kwan bado hajatoka
Itakuwa badoBaba yake hakutoka?
Aliyekuambia wali nazi haoi ni nani?Kitenge sio wali nazi ,nakumbuka 2010 alikuwa na wake kama watatu hivi.
Wabongo mnapenda sana kusingizia elimu vitu vingine ni conscience tu😂😂😂😂😂 Top ten ya vwango vya ubora wa Elimu Africa sisi Tz hatupo ndio kama hivyo mkuu usishangae mtu kukomalia Kusaga
😂😂😂😂 Elimu mkuu.Wabongo mnapenda sana kusingizia elimu vitu vingine ni conscience tu
Sasa hiyo si zamani mchunguze sasa hiviKitenge sio wali nazi ,nakumbuka 2010 alikuwa na wake kama watatu hivi.
Hahahaha sina mbavu aise, hahahha, sidhani ila mbwembwe mkuu, zikizidi lazima uharibu, hahahaKitenge tangu aingie usafin anarembua na vidole juu mbaka hatumuelewi kabisa au wali nazi siku hizi
Sasa hiyo si zamani mchunguze sasa hivi