Ganda la ndizi mkuuSasa huyo dogo alikosa kabisa watoto wabichi warembo? Mpaka anaenda kuparamia makapi
Usiniangushe rafiki maana kwa comment yako jje's atanimaliza maana nilikuwa namkuadia kitindamimba changu miaka 12 na nusuNdio wakome kuliwa na vitoto
Atakuwa ni yule mwanamfalmeMr. Paul ndio nani?
Kweli aisee watoto wanazinguajf ni shida sana jaman loooh
kudate na vitoto kuna hasara zaidi ya faida
Hujaelewa ben10 ndo kamuacha huyo divaDhambi kiben10 cha watu ndio kimeachwa ivoo..
Acha USHAGOO mbona ako smart Hugo Dogo!!!!Hivi ndio naimagine mzazi anaona hii picha au kiongozi wa kiimani anaona hiyo picha, yaani ni aibu mwisho wa siku unaweza kudhalilika kuwa ati hawa ndio nakuja kuwaoza....