Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,857
- 20,028
Huyo diva mbona hamfikii house girl wetu
Sioni mwanaume hapa au hii picha imekua cropped?
Wekeni basi video
jf ni shida sana jaman looohSioni mwanaume hapa au hii picha imekua cropped?
Siyo kila mtu ni muumini wa viongozi wa dini,sisi wengine tunawaona hao kama wapiga Dili tuuu.Hivi ndio naimagine mzazi anaona hii picha au kiongozi wa kiimani anaona hiyo picha, yaani ni aibu mwisho wa siku unaweza kudhalilika kuwa ati hawa ndio nakuja kuwaoza....
Sioni mwanaume hapa au hii picha imekua cropped?
Kwa jina lingine wanamwita sijui shishi babyKwani diva ndio nani????
Kweli
Dogo ana miaka 22 anavaa vipensi namna hii unategemea ataweza kuongea maneno ya busara redioni