Ditto Mwenyekiti mpya Bodi ya Korosho?

Zanaki

JF-Expert Member
Sep 1, 2006
545
75
Kuna tetesi kuwa JK amemteua Ditopile kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya korosho.
 
Kuna tetesi kuwa JK amemteua Ditopile kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya korosho.


Kama kuna tetesi basi zifuatilie na tuletee uhalisia wa habari nasi tutaanza kuhoji kama ni kweli.JK akiteua si anatangaza ama anaweza kufanya mambo kimya kimya ? Siamini kama JK anaweza kuwa kicha ama hata chaka la aina hii la kumteua mtu mwenye kesi kubwa namna hii Mahakamani .
 
Kama kuna tetesi basi zifuatilie na tuletee uhalisia wa habari nasi tutaanza kuhoji kama ni kweli.JK akiteua si anatangaza ama anaweza kufanya mambo kimya kimya ? Siamini kama JK anaweza kuwa kicha ama hata chaka la aina hii la kumteua mtu mwenye kesi kubwa namna hii Mahakamani .

Tanzania inawezekana baba!
 
Ile kesi nasikia ndugu nyangu ishavurugwa ile mbaya...watu wamehongwa,ushahidi umelipuliwa,kwa ufupi tu ni kuwa hakuna kesi.
 
Ile kesi nasikia ndugu nyangu ishavurugwa ile mbaya...watu wamehongwa,ushahidi umelipuliwa,kwa ufupi tu ni kuwa hakuna kesi.

Kwa hiyo walivyosema kwamba kesi ya Zombe na Ditto kujadiliwa mahakama kuu walikuwa wanacheza na akili za wadanganyika????
 
Tanzania inawezekana baba!

Kama kweli inawezekana na JK akatimiza basi ajue kwamba anajiweka kwenye kilengesheo (target) tayari kwa kutunguliwa kisiasa. Zama za sasa zimebadilika sana, anatakiwa kuwa makini "mabangusilo" bado wana hasira zao na hiyo inaweza kuwa njia ya kuanza kummaliza kirahisi zaidi kwa kuwa anajiweka kwenye target yeye mwenyewe.
 
Kwa hiyo walivyosema kwamba kesi ya Zombe na Ditto kujadiliwa mahakama kuu walikuwa wanacheza na akili za wadanganyika????

Kwani hio itakuwa ni mara ya kwanza? Tusubiri tu na tuisikilize huko mahakama kuu,lakini kama ni kweli amekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho,then ni dhahiri ataachiliwa tu.
Zombe yeye kila mtu anamkimbia,kwanza bado yuko ndani wakati mwenzake alishatoka siku nyingi....huyo ndio atakuwa Bangusilo
 
Kwani Ditopile amehsapona ugonjwa wake wa ukichaa??

Hawezi kuwa kapona hako kaugonjwa na sio ustaarabu kuchaguliwa kwa nafasi kama hiyo. Ila wasee Hili linawesekana iwapo tu amefanikiwa kumuambukiza JK hako kaugonjwa!!
 
hatari sana kuamini kama hii habari ina uhakika, ila pia nnnaona imekosea njia nnategemea hapa haijafika destination nnaomba wahusika hii habari muipatie kitanda ipumzike kwani yaonyesha imechoka
 
Tuna sheria zozote zinazohusu kuzuia uteuzi wa watu ambao ni ma-convicts, au kuwaondoa madarakani watu amabo wanajulikana wazi kuwa ni wahalifu??
Au sheria zetu zinaruhusu tuwe na viongozi wahalifu. Au ndio tumekuwa kama wild wild west, mwenye nguvu ndio analindwa na sheria, regardelss amefanya nini!
 
Najua JK hawezi kumtosa kabisa Ditto, but not this soon.

Kama ni kweli basi katanzania kote ni sawa na kafamilia ka jk, anaamua mle nini, mlale wapi na mvae nini, period.

Give me proof nami niwe kichaa.
 
Hizi habari mpya tena, mie ningesikia bodi ya asali ningeamni mara moja kwani nasikia kawa mfanya biashara mkubwa wa asali, sasa hii ya korosho mpya hii.
 
Kule kwenye bodi ya Korosho si yupo aliekuwa meya wa jiji la Dar Es Salaam mstahiki Kitwana Kondo?
 
halafu ndugu zangu mnajadili mada za humu ndani kizembe kweli!

sasa ikija kuthibitika ni kweli huyu aliyeomba habari hii iwekwe katika nyepesi atajutia haraka zake?

mnashangaa hilo wakati chenge amerudi katika baraza la JK?
wadanganyika tuna mdudu wa kuamini watu sana, humu ndani kuna watu wanamuona JK kama mtu wa maana sana eti tu kwakuwa ni rais, nani aliwaambia kuwa vichaa hawawezi kuwa na rais wao?
kuna kipimo kuwa JK ana akili kuliko wengine nchi hii kwahiyo anastahili kwa sifa zake kama sio bahati kuangukia watu bila kujali mjinga ama mwerevu?

kama huna la kuchangia achana na haya!

nani kakwambia wenyeviti wa bodi kuna sifa zozote?
fikirieni kabla ya kuandika nchi hii wote tunabebwa na wajinga siku wenye akili wakiingia ya kenya yanaingia kweupeeee
 
halafu ndugu zangu mnajadili mada za humu ndani kizembe kweli!

sasa ikija kuthibitika ni kweli huyu aliyeomba habari hii iwekwe katika nyepesi atajutia haraka zake?

mnashangaa hilo wakati chenge amerudi katika baraza la JK?
wadanganyika tuna mdudu wa kuamini watu sana, humu ndani kuna watu wanamuona JK kama mtu wa maana sana eti tu kwakuwa ni rais, nani aliwaambia kuwa vichaa hawawezi kuwa na rais wao?
kuna kipimo kuwa JK ana akili kuliko wengine nchi hii kwahiyo anastahili kwa sifa zake kama sio bahati kuangukia watu bila kujali mjinga ama mwerevu?

kama huna la kuchangia achana na haya!

nani kakwambia wenyeviti wa bodi kuna sifa zozote?
fikirieni kabla ya kuandika nchi hii wote tunabebwa na wajinga siku wenye akili wakiingia ya kenya yanaingia kweupeeee

Kwa maneno yako sasa nadhani sasa unaasema anything is possible mbele ya JK siyo ama unathibitisha kwamba kesha teuliwa kuwa Mwenyekiti bado kutangazwa ?
 
Jamani jamani, wakati tunashangaa haya ya Dito, plz tuwe tunakumbukakumbuka Balali, It seems kama vile jamaa ndio tunamsahau hivyo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom