DIT VS COeT, UDSM!

Sir_Finus

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
330
139
wapi ni pazuri kwa kusomea na usanifu katika kozi za uhandisi(Engineering)?
I mean mwanafunz akitoka anakuwa compitent!
Mostly kwa kozi za COMPUTER ENG and ELECTRONICS & TELECOM ENG for dit and COMP N IT ENG & TELECOM ENG for udsm,coet?
 
Mkuu unaulizia penye mshahara mzuri au kwenye majengo yenye mvuto?

Raha ya kazi mshahara bana! Pesa sabuni ya roho!
 
hizo course ulizozitaja hapa ud hazitolewi na CoET sa hizi kuna CoICT, its the new college.. bak 2 d topc, ud stil wako juu.!!!
 
hizo course ulizozitaja hapa ud hazitolewi na CoET sa hizi kuna CoICT, its the new college.. bak 2 d topc, ud stil wako juu.!!!

thanx kaka,hop upo ud!
telecom nlickia wanataka kureduce miaka toka 4 kuwa 3yr program,ya kwel hayo kaka?
 
Kaka wewe nenda DIT na msije mkadanganywa na yeyote UDSM kuna elimu ya engineering pale ni law tu hakuna course nyingine bora fanya ukapate elimu DIT.
 
I'm a graduate from DIT nakushauri upime mwenyewe coz UD ni knowledge based trainings while DIT is competence based trainings and furthermore DIT is a centre of super computing. Umenipata kaka? Kazi ni kwako.

yeah,i read about it in dit web page kuwa kuna hadi fibre optic!
But kaka,vp kuhusu vifaa katika course za telecom na comp?vpo vya kutosha?
Je wanafunzi wakitoka hapo kiajira ni vipi?i mean kuingia katika compttn na waliotoka othr instt!
Wanapromotion kwa wanaofanya vizur?
 
In the end its the brain of the individual. Naona watu wanayapima maji yenye kina kwa kuangalia kwa macho.

ua ryt kaka!
But kama ua brain work properly n upo sehemu properly u wil mst prply!
 
yeah,i read about it in dit web page kuwa kuna hadi fibre optic!
But kaka,vp kuhusu vifaa katika course za telecom na comp?vpo vya kutosha?
Je wanafunzi wakitoka hapo kiajira ni vipi?i mean kuingia katika compttn na waliotoka othr instt!
Wanapromotion kwa wanaofanya vizur?

dogo kuhusu ajira za hizo course ni bilabila hakuna kitu,sema kama unataka kufulfill dreamz zako we soma tu ila nafasi za tele ndo zimekwisha kabisa,na kuhusu ajira za comp eng lazima uwe na certification kama Cisco na CCNA,bila hizi bench linakusubir kitaa labda ujiajiri.
 
Heading iwe hivi DIT Vs UDSM(CoET)...ie CoET ni sehemu ya Udsm na unapoongelea Udsm unamaanisha IJMC,CoET,MUCE,Main CAMPUS&DUCE...mind it.
 
Heading iwe hivi DIT Vs UDSM(CoET)...ie CoET ni sehemu ya Udsm na unapoongelea Udsm unamaanisha IJMC,CoET,MUCE,Main CAMPUS&DUCE...mind it.

ua ryt kaka bt kumbuka dit ni kama college,i mean unaweza ukalinganisha na coet udsm na wanatoa koz za uhandisi wote bt ukitaka kuongelea udsm huwez linganisha na dit..udsm ni chuo cha 15 africa na 1032 dunia bt dit haimo kabisa!
Interest yang ni ktk koz za uhandis nchni c udsm kama udsm datz y nkamention coet tu!
 
Back
Top Bottom