MELEKIZEDECK
Member
- Sep 25, 2012
- 15
- 0
Pamoja na kuwa DIT ndicho chuo cha technolojia hapa nchini lakini huwezi amini kimeshindwa kudhihirisha kwa vitendo ufanisi wake, angalia website yake ni kama ya wakulima tu mambo ya miaka iliyopita ndiyo yanaonekana hakuna vitu vipya sii hivyo tuu matokeo ya supplimentary kwa wanafunzi bado mpaka sasa hayajulikani na ni wiki ya nne toka chuo kifungue wanajisajili huku hawajui hatima ya mitihani hiyo.