Jamani hatutaki wahandisi Feki, tumechoka na majanga ya kila siku yanayosababishwa na wahandiki wasiomudu fani zao. Hii sio fani ya kubahatisha. Hata ikitokea darasa zima wamefeli, basi isitokee standadaizesheni ili chuo kisionekane hakifelishi. Kufeli ni kufeli, afeli mmoja, wengi au wote, kote ni kufali, kwa maana ya wanafunzi wameshindwa kumeet minimum qualification kuwawezesha kuendelea au kupata vyetu nukta