Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
dawa ya ulaji albino?Hahaha Endelea kutukana
punde utapata dawa yako
dawa ya ulaji albino?Hahaha Endelea kutukana
punde utapata dawa yako
Usihamishe matusidawa ya ulaji albino?
tusifike post tano...fanya vile unayotaka sasa hivi...mwehu mkubwaUsihamishe matusi
tukana vilevile nakupa Post 5 zaidi
kisha Utaelewa kwanini nakuonya kutukana
Kweli jombaa Eastlands yote hilo genge la vijana wachanga wanaojiita Gaza ni kero kubwa.Pale katikati ya Kayole na Dandora Phase1 kuna Police Station inaitwa Mihang'o kila O.C.S anayekuwa 'posted' tangu mwaka jana hafanyi kazi hata wiki moja,akidhubutu kuingia kazini tu,risasi!Wamewaua Commander watatu!gaza wako hata githurai na kayole...hawa vijana waovu kwelkwel
PointIla kama walisha muarrest kwanini hawakufata legal procedures za persecution?
Hiyo ni wrong kufanya hata kama ni jambazi coz ikihalalishwa hiyo kitu basi ujue kutaibuka civil war soon
Ila wanapouwa polisi sawa? Acha nao wapigwe risasi magaidi hao!Hao sio polisi bali ni wajinga. Huwezi shika mtu halaf una mpiga risasi km una piga mbwa risasi.
Mbwa gani?Hawa mbwa wetu umewasahau?
Unaambiwa wameshakamatwa mara nyingi sana, na kila Mara panakosekana ushahidi madhubuti, wanaachiliwa. So they deserved what is done to them.Sheria mhalifu akikamatwa inabidi afikishwe kwenye vyombo vya kutoa haki hii ya askari kujichukulia hatua na kupiga wahalifu inajenga utamaduni mbaya hata watu wataiga kujichukulia sheria mkononi na ni kinyume cha sheria na haki za binadam tuna uhakika gani kwamba waliokufa ni wahusika kweli waliowauwa askari ni ngumu kuprove hivo sio jambo nzuri
Safi sana kiongozi, https://jamii.app/JFUserGuide them gangs! They should be killed like rats!
A screen grab of an alleged plain-clothes police officer shooting a suspected Super Power gang member in Nairobi's Eastleigh area.
The killer cop's name allegedly is Ahmed Rashid from Pangani police station.
Ili watu waone wakasimuliane na thugs wengine wapate habari toka kwa mashuhuda.La!! Kenya hii kuna nini jamani!!
Unaua kwenye umati wa watu!!?
Are these pictures supposed to prove anything?