johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Mwanachama wa Chadema kamanda Dismas Andrea Luhwago wa kata ya Luduga wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe amejitoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Udiwani wa kata hiyo.
Dismas amekula kiapo mbele ya Hakimu.
Mungu ni mwema wakati wote!
Dismas amekula kiapo mbele ya Hakimu.
Mungu ni mwema wakati wote!