mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Katiba inaitambua Tanganyika kama Tanzania bara kwa hiyo tunasherehekea uhuru wa TANZANIA BARA. Hakuna nchi inayoitwa Tanganyika.
Hivyo ina maana Tanganyika ilishakufa?????
mbona Zanzbar bado ipo???????
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!