Mtoi
Mkuu umetaja orodha ndefu ambayo haina kichwa wala miguu ni yaleyale tu; katika orodha ya hakunaga umesahau vitu hivi ongezea
Hakuna katibu yoyote aliyetekeleza familia yake kwasababu ya kimada
Hakuna katibu yoyote aliyepora mke wa mtu.
Sasa rejea kwenye orodha yako ya hakunaga nitajie waziri wa serikali aliyetamka anamuogapa Slaa, tupe uthibitisho wa madai ya kutaka kuuliwa na serikali ni hadithi za kuunga uunga ambazo hazina mshiko masikioni mwa wenye weledi wa kuchanganua mambo, mkuu vifaa ajitegee mwenyewe kwa kutaka umaarufu halafu aisingizie serikali? Mkuu nina uhakika unajua nini maana ya serikali hivi sasa hivi wakitaka kujua Slaa kavaa chupi gani watakwambia.
Mkuu hapa Monga wanavijiji wapo happy na maisha yao kila kitu mswano tu zamani nilikuwa silali siku kwa jinsi serikali inavyotekeleza mipango yake ya maendeleo najisikia raha sana mambo supper ule mpango wa 2020 unaendelea vizuri kaka siku hizi mkeka hadi Mombasa sera za CCM zinafanya kazi.
Chama
Mongavyeru
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mkuu umetaja orodha ndefu ambayo haina kichwa wala miguu ni yaleyale tu; katika orodha ya hakunaga umesahau vitu hivi ongezea
Hakuna katibu yoyote aliyetekeleza familia yake kwasababu ya kimada
Hakuna katibu yoyote aliyepora mke wa mtu.
Sasa rejea kwenye orodha yako ya hakunaga nitajie waziri wa serikali aliyetamka anamuogapa Slaa, tupe uthibitisho wa madai ya kutaka kuuliwa na serikali ni hadithi za kuunga uunga ambazo hazina mshiko masikioni mwa wenye weledi wa kuchanganua mambo, mkuu vifaa ajitegee mwenyewe kwa kutaka umaarufu halafu aisingizie serikali? Mkuu nina uhakika unajua nini maana ya serikali hivi sasa hivi wakitaka kujua Slaa kavaa chupi gani watakwambia.
Mkuu hapa Monga wanavijiji wapo happy na maisha yao kila kitu mswano tu zamani nilikuwa silali siku kwa jinsi serikali inavyotekeleza mipango yake ya maendeleo najisikia raha sana mambo supper ule mpango wa 2020 unaendelea vizuri kaka siku hizi mkeka hadi Mombasa sera za CCM zinafanya kazi.
Chama
Mongavyeru
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Last edited by a moderator: