laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
Habari zenu wapendwa,
Naomba msaada, mimi na mme wangu ni discordant couple, tuligundua miaka 2 ya nyuma wakati mimi mjamzito na tulipoenda kupima ndio tukapata majibu hayo, tuna mtoto 1 na sasa hivi tumefikiria kupata mtoto wa 2, tangia tumegundua hilo tunatumia condom tu mpaka leo hii.
Tumeenda kwa daktari wa kina mama ametuambia tunaweza kupata mtoto wa pili kwa njia ya kujamiina ya kawaida lakini mimi amenipa dawa ambazo zitasaidiwa kupevusha mayai mengi kwa wakati mmoja ili uwezekano wa kupata ujauzito uwe mkubwa.
Jamani naombeni mawazo yenu kuna yeyote aliwahi kufanya hivo akafanikiwa na hakupata maambukizi? Na kitaalam hii ni njia sahihi? Au kuna yeyote anafaham njia nyingine tofauti na hii?
Doctors wa JF naomba mnipe maoni yenu
Naomba msaada, mimi na mme wangu ni discordant couple, tuligundua miaka 2 ya nyuma wakati mimi mjamzito na tulipoenda kupima ndio tukapata majibu hayo, tuna mtoto 1 na sasa hivi tumefikiria kupata mtoto wa 2, tangia tumegundua hilo tunatumia condom tu mpaka leo hii.
Tumeenda kwa daktari wa kina mama ametuambia tunaweza kupata mtoto wa pili kwa njia ya kujamiina ya kawaida lakini mimi amenipa dawa ambazo zitasaidiwa kupevusha mayai mengi kwa wakati mmoja ili uwezekano wa kupata ujauzito uwe mkubwa.
Jamani naombeni mawazo yenu kuna yeyote aliwahi kufanya hivo akafanikiwa na hakupata maambukizi? Na kitaalam hii ni njia sahihi? Au kuna yeyote anafaham njia nyingine tofauti na hii?
Doctors wa JF naomba mnipe maoni yenu