Discontinued from university due to financial grounds

Lexus SUV

JF-Expert Member
Sep 16, 2016
4,185
5,105
Hello,

Wakuu hivi kuna member humu alishawai pata hiyo kitu au aulishawai. Hii encounter kitu kama hicho hata kwa mtu wa chuo kimoja? Vp taratibu zake pale TCU?
 
Kwa sasa vyuo vingi vina banwa na tcu..kupeleka majina ya wanafunzi kila mwanzo wa mwaka..hivyo usajiri kwa wakati ni muhimu ili kuwa na database ya wana funzi kwa mwaka.

Kwa kuliona hilo vyuo vinawataka wanafunzi kujisajiri mapema..kushindwa kufanya hivyo ni sawa na kupoteza nafasi yako..

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom