Northern Eagle
Member
- Dec 9, 2018
- 66
- 52
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HELSB) inatarajia kufungua dirisha la rufaa kwa wanafunzi waliokosa mikopo pamoja na wale wanaohisi kupata asilimia kidogo kwenye awamu zilizopita.
Dirisha hilo linatarajiwa kufunguliwa kuanzia tarehe 13/11/2019 hadi tarehe 23/11/2019.
Dirisha hilo linatarajiwa kufunguliwa kuanzia tarehe 13/11/2019 hadi tarehe 23/11/2019.