๐๐๐๐Na kuchapwa vibao na afisa elimu๐๐๐
๐๐๐๐Na kuchapwa vibao na afisa elimu๐๐๐
Ndio tupo tunaangalia, wewe kazi huna. Haya una swali lingine ?Hapana mkuu mm nimeuliza tu kujua au nimekosea au sitakiwi kuuliza hivo
Utampa presha aseee!! Keep him guessingNdio tupo tunaangalia, wewe kazi huna. Haya una swali lingine ?
Mkuu hapana nilikua nauliza tu kujua lakini sio muoga namna hiyo, sema wadau wa Jf nao ndo hivo , Basi poa bana yaisheYan we bwana hujiamini kabisa, kama shida inakufanya uwe muoga hivyo hata mkuu wa shule si atakupeleka sana, Nawaza tu
Sawa mkuu yaisheNdio tupo tunaangalia, wewe kazi huna. Haya una swali lingine ?
Wengine connection hatuna!Madam hizo za usimamizi ni Kaz kuzipata labda uwe na connection
Daah kweliWengine connection hatuna!
Wengine connection ha
Wengine connection hatuna!
Kuna mdau kasema uolewe hahahhh
Mimi nawaza hakuna ajira hapo zilikuwa ni kampeni tuMwenye hata kidokezo tuu cha ni siku gani wataachia majina aseme hapa basi kidogo....
Aseme tuu ni siku gani
Second week of November baada ya raisi kuapishwa na baraza la mawaziri kutangazwaMwenye hata kidokezo tuu cha ni siku gani wataachia majina aseme hapa basi kidogo....
Aseme tuu ni siku gani
Madam mbona unabadilisha tarehe kila sikuSecond week of November baada ya raisi kuapishwa na baraza la mawaziri kutangazwa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kweli mkuuHana lolote,achana nae.
Mwezi wa 11Mwenye hata kidokezo tuu cha ni siku gani wataachia majina aseme hapa basi kidogo....
Aseme tuu ni siku gani
Serikali yenyewe inasitasita izito lini but everything is okMadam mbona unabadilisha tarehe kila siku
Inasitasita kwanini?kwahiyo wameshachagua watu tayari?Serikali yenyewe inasitasita izito lini but everything is ok
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
SawaSerikali yenyewe inasitasita izito lini but everything is ok
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mkuu itakuwa tayari, labda wanaaangalia upepo wa kisiasa tuInasitasita kwanini?kwahiyo wameshachagua watu tayari?
duuuh maisha ya wengine yanaamuliwa na wanasiasa too sadMkuu itakuwa tayari, labda wanaaangalia upepo wa kisiasa tu