Son.j
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 993
- 2,253
We ulivouliza wamekwambiaje026 216 0210
Namba ya bure TAMISEMI
unapiga kuuliza tatizo lolote!
Pigeni kuuliza kuhusu miaka na tarehe mbona zinarudi nyuma?
Mfano 5 September itakua 4 September
We ulivouliza wamekwambiaje026 216 0210
Namba ya bure TAMISEMI
unapiga kuuliza tatizo lolote!
Pigeni kuuliza kuhusu miaka na tarehe mbona zinarudi nyuma?
Mfano 5 September itakua 4 September
Nimeambia system yao ndo inatatzo hivyo nisiwe na hofu !We ulivouliza wamekwambiaje
Inawezekana.Hivi ajira hizi zinafika 13 elfu cash au approximately?
Hakuna ajira hapoWameongeza mdaView attachment 1573248
Wewe bila shaka tayari una ajiraHakuna ajira hapo
Watu wana sumbuka na namba za nida.Yawezekana waliotuma hawana sifa kwa hiyo wanataka watu waendelee kutuma maombi...!
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Wewe bila shaka tayari una ajira
Kivyovyote..Ila English ya nin wakat wengi wanachapia tuHivi barua inaandikwa kwa kiswahili au English?
Kivyovyote..Ila English ya nin wakat wengi wanachapia tu
Doesnt matterWewe bila shaka tayari una ajira
Utasikia mengi sanaaaaNasikia kipaumbele watapewa waliosomea nje! imekaaje hii
Barua kwa kiswahili inaandikwa kwa kuwa tangazo limetoka kwa kiswahiliMi naona English ndo imekaa vizuri
Mwaka jana zilitokea nafasi kama hizi. Mimi nilipangiwa kazi halmashauli ya Mpwapwa Dodoma kama mwalimu wa Physics & Mathematics. Bila kusahau kua mimi sijasoma ualimu ila kwa sifa kama walizosema hapa ilikuepo hiyari yakuamua kuwa mwalimu.
Kufupisha story, ualimu nilifanya siku 4 nikaacha (Siku niliyoenda kesho yake nikaondoka, baada ya wiki mbili nikaenda tena nikakaa siku tatu nikaondoka milele, jumla siku nne). D.E.O alitaka nimsujudie, sikukubali. Siku zote 4 nilizokua kituo cha kazi sikupatikana hewani maana laini zangu za voda na tigo kule hazishiki kabisa.
Kuna gari moja tu linalotoka kule kwenda mjini. Linaondoka saa tisa usiku. Ukilikosa hilo hakuna tena safari. Kwakifupi kupanga safari yakwenda mjini ni kupanga mkesha.
Jumapili hilo gari halisafiri. Kwahyo ukikesha usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi, utasafiri ufike mjini saa tatu asubuhi na ili jumatatu uwe kazini itabidi jumamosi hiyohiyo saa saba mchana uwe kwenye gari hiyo hiyo maana huo ndo muda wakurudi. So una chini ya masaa manne kukamilisha kilichokupeleka mjini. Ila unasafiri kwa zaidi ya masaa 13 kwenda mjini.
Nimechanganya mengi hapo ila shortly, nafasi ni chache watu ni wengi (Ni nafuu zaidi kama una Physics & Mathematics). Mazingira ya kazi ni Magumu. Mshahara ndo ivo tena. Kada ya ualimu inadharaulika.
Sikukatishi tamaa nasema uyafahamu mazingira yako ya kazi. Focus kwenye vision yako no matter how hard the situation seems to be. In my case at that time I chose to flee. I wouldn't recommend the same choice for you.
Niliambulia hela ya kujikimu thought.
Akili ya mbu