rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Ushauri please,,,, kunajamaaa kaitwa crdb bank contract one year upande wa direct sales au abaki alipo kwenye ajira yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri please,,,, kunajamaaa kaitwa crdb bank contract one year upande wa direct sales au abaki alipo kwenye ajira yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajira yake ya sasa ni permanent? Na mshahara unavuka laki tano?Ushauri please,,,, kunajamaaa kaitwa crdb bank contract one year upande wa direct sales au abaki alipo kwenye ajira yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap n permanent,,, na inavuka laki tano shida yupo kwenye taasisi ya fedha tena kama loan officer.Ajira yake ya sasa ni permanent? Na mshahara unavuka laki tano?
Kama ajira yake ya moja kwa moja asiende maana kule kazi ya mkataba wa mwaka mmoja tu ukiisha unaweza ongezewa wa pili ukiisha unarudi homeYap n permanent,,, na inavuka laki tano shida yupo kwenye taasisi ya fedha tena kama loan officer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unaacha permanent contract unaenda zunguka sales one year contract jitathmini,hukutakiwa hata kuomba DSS????Ushauri please,,,, kunajamaaa kaitwa crdb bank contract one year upande wa direct sales au abaki alipo kwenye ajira yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari naona watu wako kazin kama hujaitwa sio riziki kaka jaribu kwingine...mlango mmoja ukifungwa Mungu atafungua mwingineNilifanya hiyo Interview Written na Oral, wameitwa kazini lini? Walisema baada ya siku 14.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha bro kama inavuka laki 5 hii DSE aliomba ya nin?? Mshahara hauvuk laki 4 na bado makato hapo?? Na unadhan kuna tofaut na loan officer?? Kuzunguka kutafuta wateja na kuweza kumaintain account zao angalau kuwa na balance sio jambo dogo kuna jamaa niliongea nae unajikuta 2months zinakata huna mteja wa maana....Yap n permanent,,, na inavuka laki tano shida yupo kwenye taasisi ya fedha tena kama loan officer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari naona watu wako kazin kama hujaitwa sio riziki kaka jaribu kwingine...mlango mmoja ukifungwa Mungu atafungua mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nafasi zimetoka wamepost humu nmb kwa bachelor haziitaji experience deadline bado isake inafanana kidogo na hiyo.......nilikuwa mmoja wao nafuatilia pia nilifanya hizo interview zote 2 ila walishaitwa mim nilikosa pia