Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,843
- 3,519
Siyo alishindwa, alimaliza muda wake na hakuwa tayari kupongeza mkataba.Sasa mtu alishindwa huko UN ndio ataweza uwaziri !ebu Kikwete uwe sirious kidogo!
Siyo alishindwa, alimaliza muda wake na hakuwa tayari kupongeza mkataba.Sasa mtu alishindwa huko UN ndio ataweza uwaziri !ebu Kikwete uwe sirious kidogo!
Nimeisikia taarifa hii asubuhi hii kupitia uchambuzi wa magazeti Star Tv.
Habari hii imeandikwa na gazeti la Dira.
Hivi karibuni rais Kikwete alimteua Asharose Migiro kuwa mbunge, uteuzi huu umeibua mijadala na tabiri za kila aina, wengine wakisema lengo ni kumrudisha wizara ya mambo ya nje au wizara yoyote kati ya zinazoonekana kuyumnba hivi sasa. Lakini habari niliyoisikia ya gazeti la dira ndiyo imenishangaza na kujikuta nikijiuliza maswa lukuki kuhusu uwezo wa gazeti hili katika kufuatilia, na kuhakiki habari.
Moja kati ya sifa za Waziri Mkuu ni kuwa awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni (hata kama alipita bila kupingwa). Ina maana hawa waandishi wa Dira na wahariri wao hawalifahamu hili?
Uandishi ni taaluma nyeti sana hivyo naomba acheni uvivu wa kufuatilia mambo na kufanya references kwa lengo la kuandika habari zisizo na mashaka kwa maslahi mapana ya jamii. Mnafanya idadi ya wasomaji wa magazeti kupungua kutokana na tabia yenu hiyo isiyo na misingi ya kitaaluma ya kuandika hisia badala ya uhalisia.
Nawasilisha.
.....hilo gazeti linamilikiwa na nani?........hapo wanachombeza ili kupata mwamko wa watanzania.....hebu tusubiri tuone...
Ni kweli nimesomea Kariakoo, unadhani hilo linanifanya niwe chini yako kiufahamu? wewe utakuwa ni huy mwandihi au aina hiyo ya waandishi, ina maana hujui kuwa its the content that counts?Weka Ibara ya Katiba inayosema.kuwa kazima awe ni mbunge wa kutoka Jimboni. Acha Upotoshaji unakurupuka asubuh asubuh bila kupiga Mswaki na domo linanuka unakuja kuweka hoja isiyo na Ushahdi .Madhara ya kusoma Vyuo vya K koo(Green College)
MKUU usishangae, huenda MKUU wa KAYA naye haelewi katiba. Ni mara kadhaa amekwenda kinyumeNimeisikia taarifa hii asubuhi hii kupitia uchambuzi wa magazeti Star Tv.
Habari hii imeandikwa na gazeti la Dira.
Hivi karibuni rais Kikwete alimteua Asharose Migiro kuwa mbunge, uteuzi huu umeibua mijadala na tabiri za kila aina, wengine wakisema lengo ni kumrudisha wizara ya mambo ya nje au wizara yoyote kati ya zinazoonekana kuyumnba hivi sasa. Lakini habari niliyoisikia ya gazeti la dira ndiyo imenishangaza na kujikuta nikijiuliza maswa lukuki kuhusu uwezo wa gazeti hili katika kufuatilia, na kuhakiki habari.
Moja kati ya sifa za Waziri Mkuu ni kuwa awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni (hata kama alipita bila kupingwa). Ina maana hawa waandishi wa Dira na wahariri wao hawalifahamu hili?
Uandishi ni taaluma nyeti sana hivyo naomba acheni uvivu wa kufuatilia mambo na kufanya references kwa lengo la kuandika habari zisizo na mashaka kwa maslahi mapana ya jamii. Mnafanya idadi ya wasomaji wa magazeti kupungua kutokana na tabia yenu hiyo isiyo na misingi ya kitaaluma ya kuandika hisia badala ya uhalisia.
Nawasilisha.
weka ibara ya katiba inayosema.kuwa kazima awe ni mbunge wa kutoka jimboni. Acha upotoshaji unakurupuka asubuh asubuh bila kupiga mswaki na domo linanuka unakuja kuweka hoja isiyo na ushahdi .madhara ya kusoma vyuo vya k koo(green college)
Ni kweli nimesomea Kariakoo, unadhani hilo linanifanya niwe chini yako kiufahamu? wewe utakuwa ni huy mwandihi au aina hiyo ya waandishi, ina maana hujui kuwa its the content that counts?
Mdomo na kunuka kwake ni maumbile tu, lakini hapa sisi tunajadili fikra na ufahamu au ulidhani kuwa tupo kwenye jukwaa la urembo?