Dira ya Mtanzania: Siri yavuja, Migiro kuwa Waziri Mkuu...!

Weka Ibara ya Katiba inayosema.kuwa kazima awe ni mbunge wa kutoka Jimboni. Acha Upotoshaji unakurupuka asubuh asubuh bila kupiga Mswaki na domo linanuka unakuja kuweka hoja isiyo na Ushahdi .Madhara ya kusoma Vyuo vya K koo(Green College)
 
Hicho kibibi kilishindwa huko UN kataweza kweli...? Tatizo pia alishaanza siasa chafu za kinafiki na kina Nape na Kinana..
 
Kama walivyojadili wengine, iwapo uteuzi huo utafanyika, itakuwa ni kinyume cha katiba ya sasa ya JMT. Lakini muhimu zaidi, iwapo ni maandalizi ya kumsimamisha kuwa mgombea kwa tiketi ya ccm, hakuna waziri mkuu aliyefanikiwa kuwa Rais wa nchi tangia uhuru ukiachilia Mwalimu Nyerere. Kwa maana nyingine, safari kuelekea uwaziri mkuu kupitia urais ni safari ngumu sana.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

kwani kipi cha ajabu mbona katiba imevunjwa kwa wizara ya afya kuwa na waziri na naibu wake wote toka zanzibar. hapa tusubiri kuona katiba ikivunjwa tena kwa huyu mama kupewa ulaji tena mla huliwa,
 
Nimeisikia taarifa hii asubuhi hii kupitia uchambuzi wa magazeti Star Tv.

Habari hii imeandikwa na gazeti la Dira.

Hivi karibuni rais Kikwete alimteua Asharose Migiro kuwa mbunge, uteuzi huu umeibua mijadala na tabiri za kila aina, wengine wakisema lengo ni kumrudisha wizara ya mambo ya nje au wizara yoyote kati ya zinazoonekana kuyumnba hivi sasa. Lakini habari niliyoisikia ya gazeti la dira ndiyo imenishangaza na kujikuta nikijiuliza maswa lukuki kuhusu uwezo wa gazeti hili katika kufuatilia, na kuhakiki habari.

Moja kati ya sifa za Waziri Mkuu ni kuwa awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni (hata kama alipita bila kupingwa). Ina maana hawa waandishi wa Dira na wahariri wao hawalifahamu hili?

Uandishi ni taaluma nyeti sana hivyo naomba acheni uvivu wa kufuatilia mambo na kufanya references kwa lengo la kuandika habari zisizo na mashaka kwa maslahi mapana ya jamii. Mnafanya idadi ya wasomaji wa magazeti kupungua kutokana na tabia yenu hiyo isiyo na misingi ya kitaaluma ya kuandika hisia badala ya uhalisia.

Nawasilisha.

they are very poor
 
Sasa mtu alishindwa huko UN ndio ataweza uwaziri !ebu Kikwete uwe sirious kidogo!

UN ni mkusanyiko wa mataifa mengi. Viwango vya kufanya kazi pale viko juu sana.

Lakini kwa Tanzania muungano wa Nchi Mbili za "VISIWA VYA ZIMBABWE NA TANGANYIKA", Nchi iliyopata uhuru wake "11961" Ataweza Tu!

Liwalo na Liwe, Tumechoka!!
 
Nimeisikia taarifa hii asubuhi hii kupitia uchambuzi wa magazeti Star Tv.

Habari hii imeandikwa na gazeti la Dira.

Hivi karibuni rais Kikwete alimteua Asharose Migiro kuwa mbunge, uteuzi huu umeibua mijadala na tabiri za kila aina, wengine wakisema lengo ni kumrudisha wizara ya mambo ya nje au wizara yoyote kati ya zinazoonekana kuyumnba hivi sasa. Lakini habari niliyoisikia ya gazeti la dira ndiyo imenishangaza na kujikuta nikijiuliza maswa lukuki kuhusu uwezo wa gazeti hili katika kufuatilia, na kuhakiki habari.

Moja kati ya sifa za Waziri Mkuu ni kuwa awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni (hata kama alipita bila kupingwa). Ina maana hawa waandishi wa Dira na wahariri wao hawalifahamu hili?

Uandishi ni taaluma nyeti sana hivyo naomba acheni uvivu wa kufuatilia mambo na kufanya references kwa lengo la kuandika habari zisizo na mashaka kwa maslahi mapana ya jamii. Mnafanya idadi ya wasomaji wa magazeti kupungua kutokana na tabia yenu hiyo isiyo na misingi ya kitaaluma ya kuandika hisia badala ya uhalisia.

Nawasilisha.

Huyu mama ni miongoni mwa watu mizigo ndani ya CCM, wanabebwa na JK kama Zakia Megji
 
Weka Ibara ya Katiba inayosema.kuwa kazima awe ni mbunge wa kutoka Jimboni. Acha Upotoshaji unakurupuka asubuh asubuh bila kupiga Mswaki na domo linanuka unakuja kuweka hoja isiyo na Ushahdi .Madhara ya kusoma Vyuo vya K koo(Green College)
Wewe , umeamkia komoni?
 
Nimeisikia taarifa hii asubuhi hii kupitia uchambuzi wa magazeti Star Tv.

Habari hii imeandikwa na gazeti la Dira.

Hivi karibuni rais Kikwete alimteua Asharose Migiro kuwa mbunge, uteuzi huu umeibua mijadala na tabiri za kila aina, wengine wakisema lengo ni kumrudisha wizara ya mambo ya nje au wizara yoyote kati ya zinazoonekana kuyumnba hivi sasa. Lakini habari niliyoisikia ya gazeti la dira ndiyo imenishangaza na kujikuta nikijiuliza maswa lukuki kuhusu uwezo wa gazeti hili katika kufuatilia, na kuhakiki habari.

Moja kati ya sifa za Waziri Mkuu ni kuwa awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni (hata kama alipita bila kupingwa). Ina maana hawa waandishi wa Dira na wahariri wao hawalifahamu hili?

Uandishi ni taaluma nyeti sana hivyo naomba acheni uvivu wa kufuatilia mambo na kufanya references kwa lengo la kuandika habari zisizo na mashaka kwa maslahi mapana ya jamii. Mnafanya idadi ya wasomaji wa magazeti kupungua kutokana na tabia yenu hiyo isiyo na misingi ya kitaaluma ya kuandika hisia badala ya uhalisia.

Nawasilisha.

Kwa serikali ya ccm inawezekana kabisa. Malecela alipewa na Mwinyi uwaziri mkuu bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa.
 
Mimi sina imani kama kweli tukimbadilisha mtoto wa mkulima basi mambo yataanza kusonga mbele!! ni nafikiri mfumo wa utawala wa nchi yetu ndiyo tatizo kuu.
 
kwani kipi cha ajabu mbona katiba imevunjwa kwa wizara ya afya kuwa na waziri na naibu wake wote toka zanzibar. hapa tusubiri kuona katiba ikivunjwa tena kwa huyu mama kupewa ulaji tena mla huliwa,
Ni Ibara gani hiyo ya Katiba iliyovunjwa? Tuisome Katiba na tusiwe wepesi wa kutunga vitu visivyokuwepo.
 
Asilimia 95 ya waandishi wa habari wa Tanzania ni Toilet Paper, wanaandika habari kutokana na matakwa ya anayewatumia. Wao kudadisi ukweli ni shida kubwa ndio maana kila siku wanaibuka na viroja kama hivi. Na kuanzia mwakani ndio watakengeuka zaidi kwa ajili ya kuwapuna wanasiasa
 
Katiba ni andiko tu. Lenyewe halina uwezo wa kufanya chochote. Watu ndiyo wenye uwezo wa kuitumia katiba kunyoosha mambo. Watu hao ni serikali pamoja na vyombo vyake (government machinery) ama walio nje ya utawala kwa kutumia mhimili wa mahakama. Swali linabaki, nani yuko tayari kusafiri hiyo extra mile?

Kwa tz ya sasa hakuna lisilowezekana. Yetu macho.
 
Waziri mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni si wa kuteuliwa....!!
 
Nimeisikia taarifa hii asubuhi hii kupitia uchambuzi wa magazeti Star Tv.

Habari hii imeandikwa na gazeti la Dira.

Hivi karibuni rais Kikwete alimteua Asharose Migiro kuwa mbunge, uteuzi huu umeibua mijadala na tabiri za kila aina, wengine wakisema lengo ni kumrudisha wizara ya mambo ya nje au wizara yoyote kati ya zinazoonekana kuyumnba hivi sasa. Lakini habari niliyoisikia ya gazeti la dira ndiyo imenishangaza na kujikuta nikijiuliza maswa lukuki kuhusu uwezo wa gazeti hili katika kufuatilia, na kuhakiki habari.

Moja kati ya sifa za Waziri Mkuu ni kuwa awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni (hata kama alipita bila kupingwa). Ina maana hawa waandishi wa Dira na wahariri wao hawalifahamu hili?

Uandishi ni taaluma nyeti sana hivyo naomba acheni uvivu wa kufuatilia mambo na kufanya references kwa lengo la kuandika habari zisizo na mashaka kwa maslahi mapana ya jamii. Mnafanya idadi ya wasomaji wa magazeti kupungua kutokana na tabia yenu hiyo isiyo na misingi ya kitaaluma ya kuandika hisia badala ya uhalisia.

Nawasilisha.
Umesema vema, tumekuwa wavivu wa kutafiti hata mambo madogo tu kama hili. Ni aibu kwa mwandishi na kama ni kweli basi mkuu wa kaya atavunja katiba. Wasome Article 51(2) Of the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977
 
Back
Top Bottom