mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Wana JF,
Nilifanya interview na Msama promotion, wamiliki wa gazeti la dira ya mtanzania. Wakaniambia baada ya masaa 72 tutajulishwa kama ume pass usaili au la, utapigiwa ndani ya masaa 72. Lakini mpaka sasa ni zaidi ya wiki jamani kimya kuna mtu mwenye taarifa yoyote wadau
Nilifanya interview na Msama promotion, wamiliki wa gazeti la dira ya mtanzania. Wakaniambia baada ya masaa 72 tutajulishwa kama ume pass usaili au la, utapigiwa ndani ya masaa 72. Lakini mpaka sasa ni zaidi ya wiki jamani kimya kuna mtu mwenye taarifa yoyote wadau