mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Niko hapa tangu saa tatu kasoro kumi na tano interview ndo imeanza saa nne kamili hivi hawa waajiri wanadhani si hatuna mambo mengine ya kufanya yaani hapa sielewi elewi kabisa hawa jamaa wa dira ya mtanzania wametuambia interview saa tatu kamili da yaani very tired .....