Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Nataka dogo asome kwa hawa jamaa Dipoma ya ICT hivi wako sawa au ndivyo vyuo vya mitaani
nimechukua fomu tayari wanasema sh 900,000 kwa mwaka
Kama kuna mtu amesoma hapo asaidie kwa hili.
website yao hii hapa
ZOOM Polytechnic College
nimechukua fomu tayari wanasema sh 900,000 kwa mwaka
Kama kuna mtu amesoma hapo asaidie kwa hili.
website yao hii hapa
ZOOM Polytechnic College