Hatar sana Md theory nyingiiiMkuu from what I 'hv been observing ni kwamba most of the MDs wamekuwa wakifanya internship huku hospitali za mikoani za misheni ambapo experts ni wakongwe Amos na ni majembe kweli kweli kwa surgeries na matibabu ya kawaida na ukiangalia mda wa kusoma amo alitake 3 yrz diploma na 2yearz za amo istoshe practise wodin uanza first year ya diploma lakin MD hadi afike 4th year na ndo mana hutakaa uskie internship ya amo ,,, sasa sielew kwann kumdharu amo kumuita VODA fasta wakat what MDS does the same to AMOS ,,,,ukitaka thibitisha ili njoo mikoani ujionee they r saving life of our people