Zero_and_One
Member
- Jun 4, 2019
- 43
- 92
Mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa .Lakini nimekuwa mfuatiliaji kwa muda wa miaka mingi sana na nimenufaika na mengi.Hii ndo post yangu ya kwanza katika jukwaa la magreat thinker.
Niende kwenye mada husika ,Nimekuwa nikijisomea peke yangu kwa muda wa miaka miwili sasa mambo yanayohusu IT .Namshukuru Mungu nimeweza kujifunza vitu vingi sana kwa mfano basic katika programming ikiwemo C, C++,php , javascript and Java. Lakin nikaamua kujifunza Data structure mambo ya Linked list,Queues,graph,Trees. Nataka Mungu akinijaalia Afya niweze kujifunza Algorithms just basic.Na katika utengenezaji wa website nimewenza kujifunza basic za Html and css ,bootstrap na programming language ambazo nimeshazitaja hapo juu na pia framework ikiwemo Laravel ,React na malengo pia ya kuja kusoma Django.Na mengineyo mengi .
NIMEWEZA KUFANYA YOTE HAYO KUPITIA YOU TUBE AND GOOGLE.
NImesubscribe channel nyingi saana ambapo ndo najifunzia ikiwemo thenewboston,mycodeschool,traversy Media,freeCodeCamp,MIT,Chris Hawkes ,cs dojo n.k.
natumia Youtube downloader na Savefrom.net kudownload tutorial na PDF DRIVE , library genesis kudownload BOOKS.
Ndoto zangu nataka baadae nije kuwa Eng. wa maswala ya umeme nimetokea kuipenda sana programming lakin bado ndoto zangu za maswala ya umeme hazijapotea.So naomba ushauri ndugu zangu je ni nikasome ualimu kwa maana alama zangu za advance zinaniruhusu kwenda huko napia naupenda lakini sio first priority, kuhusu UMEME nahisi ushindani utakuwa mkubwa saan hivyo sito weza kupata ,kwa alama zangu (naomba usiniulize nina ngapi?)sio kubwa saan, ingawa nina vigezo vinavyohitajika AU nianze tu diploma ya umeme AU nibaki nikiendelea kupambana na maswala ya IT.
Nilibaatika kusoma PCM.
please naomba ushauri wako maana nipo njia panda na miaka inazidi kunitupa mkono.
Popote nilipokosea naomba mnisamehe.Kiswahili changu hakipo vizuri.
Sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu ya matatizo yangu binafsi.
Niende kwenye mada husika ,Nimekuwa nikijisomea peke yangu kwa muda wa miaka miwili sasa mambo yanayohusu IT .Namshukuru Mungu nimeweza kujifunza vitu vingi sana kwa mfano basic katika programming ikiwemo C, C++,php , javascript and Java. Lakin nikaamua kujifunza Data structure mambo ya Linked list,Queues,graph,Trees. Nataka Mungu akinijaalia Afya niweze kujifunza Algorithms just basic.Na katika utengenezaji wa website nimewenza kujifunza basic za Html and css ,bootstrap na programming language ambazo nimeshazitaja hapo juu na pia framework ikiwemo Laravel ,React na malengo pia ya kuja kusoma Django.Na mengineyo mengi .
NIMEWEZA KUFANYA YOTE HAYO KUPITIA YOU TUBE AND GOOGLE.
NImesubscribe channel nyingi saana ambapo ndo najifunzia ikiwemo thenewboston,mycodeschool,traversy Media,freeCodeCamp,MIT,Chris Hawkes ,cs dojo n.k.
natumia Youtube downloader na Savefrom.net kudownload tutorial na PDF DRIVE , library genesis kudownload BOOKS.
Ndoto zangu nataka baadae nije kuwa Eng. wa maswala ya umeme nimetokea kuipenda sana programming lakin bado ndoto zangu za maswala ya umeme hazijapotea.So naomba ushauri ndugu zangu je ni nikasome ualimu kwa maana alama zangu za advance zinaniruhusu kwenda huko napia naupenda lakini sio first priority, kuhusu UMEME nahisi ushindani utakuwa mkubwa saan hivyo sito weza kupata ,kwa alama zangu (naomba usiniulize nina ngapi?)sio kubwa saan, ingawa nina vigezo vinavyohitajika AU nianze tu diploma ya umeme AU nibaki nikiendelea kupambana na maswala ya IT.
Nilibaatika kusoma PCM.
please naomba ushauri wako maana nipo njia panda na miaka inazidi kunitupa mkono.
Popote nilipokosea naomba mnisamehe.Kiswahili changu hakipo vizuri.
Sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu ya matatizo yangu binafsi.