Wana JF chuo kikuu huria Tanzania kinatoa stashahada ya elimu ya msingi ambayo hakuna chuo chochote cha ualimu kinachotoa stashahada hiyo.Aidha ktk wizara ya elimu sijawahi ona tangazo au maelekezo yoyote kuhusiana na stashahada hiyo!Taarifa za uhakika ni kwamba aliyemaliza na kufaulu stashahada hiyo anaweza kudahiliwa ktk masomo ya shahada ya kwanza hapohapo chuo kikuu huria.kama kuna mwenye uelewa anielekeze.1.wizara inaitambua diploma hii?
2.kama inatambulika je,inaweza kutumika kwenye sifa linganishi(Equivalent) kama ilivyo kwenye Diploma in secondary education ili kudahiliwa kwenye vyuo vikuu vingine tofauti na cho kikuu huria?
2.kama inatambulika je,inaweza kutumika kwenye sifa linganishi(Equivalent) kama ilivyo kwenye Diploma in secondary education ili kudahiliwa kwenye vyuo vikuu vingine tofauti na cho kikuu huria?