Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Mkuu kama hujui kitu usiseme watu wote duniani hawajui...nikusaidie kuna website ya hadith za sahih muslim inaitwa sunnah.com
Google hiyo hadith au chukua maneno machache kwenye hiyo hadith yaweke google then utapata majibu kutoka website za kiislam.
Huwa kuna njia tatu za waislam kukataa hadith.
1.Hiyo hadith haipo umetunga(unamuonesha kuwa ipo)
2.Sawa ipo ila sio sahih(unamuonesha ni sahih)
3.Sawa lakini hujaangalia context(unamuonesha context)
4.Kwanza mimi siamini katika hadith

Mkuu ondoka kwenye hii predictable circle
Kiongozi uislam haupatikani google wala mafundisho yake hayafundishwi google
 
Umeelewa swali langu kwa munasaba wa uongo uliaounandika ?

Nataka ushahidi unao onyesha ya kuwa Mtume alimbaka mama Aisha. Naandika Kiswahili chepesi sana, na sisi Waswahili tunajua maana ya tamko "KUBAKA".

sasa usipoteze muda kuandika yasiyo kuwepo.

Yaani haoa siyo tu mistaru, bali mpaka unakufa huwezi kuweka ushahidi wa kuonyesha Mtume alimbaka mama Aisha.

Labda utupe maana yako mpya ya kubaka ambayo si ya kweli.

Pili, sharti mwanamke kuolewa ni lipi ?
Ndio nakwambia ewe muuminin Aysha wakati anabakwa na Mtume Mwamedi hakuwa mama, alikuwa mtoto

Kubikiri mtoto wa miaka 9 hata ukiamua kumuoa bado umebaka....wahed

Najua ninyi wana muddy kuoa mtoto baada tu ya kubalehe ni rukhsa, yeye alibaka.

View attachment 1641305
 
Kwahio Yesu alikua punga bwabwa kwa maana hakuwahi kuoa
Hahah, Mapunga wanaotrend duniani kwasasa ni MAIMAMU NUR WARSAME na DAAIYE ABDULLAH

Wana misikiti mikubwa yenye waumin wengi na sasa wanapata support kubwa kutoka kwa Maimam wengine
View attachment 1641329
images%20(97).jpg
 
Thibitisha udini wake kwenye hiyo comment

Thibitisha kinagaubaga sheikh,
"Ni kweli
kuna yale ma caravan routes and trades.

Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali"

Kwahiyo hii unaona ni sawa kabisa kwa vile aliyeongea hivyo ni mtu wa mrengo wako au kwa vile unaona sawa kwa sababu mnashirikiana kuuchafua Uislam??

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani hukumuelewa.

Alimaanisha a girl with 6 yrs old she is too young to consent
Hakuelewa swali yeye sababu mama Aisha alienda kuishi kwa mtume akiwa na miaka 9, maana yake alikuwa amesaholewa tayari.

Utamaduni wa zamabi ilikuwa unaoa binti kisha unamsubiria akishabeleghe unamchukua unaenda kuishi nae.

Sasa hoja yangu iko pale pale, onyesheni mtume wapi alibaka ?
 
Ndio nakwambia ewe muuminin Aysha wakati anabakwa na Mtume Mwamedi hakuwa mama, alikuwa mtoto

Kubikiri mtoto wa miaka 9 hata ukiamua kumuoa bado umebaka....wahed

Najua ninyi wana muddy kuoa mtoto baada tu ya kubalehe ni rukhsa, yeye alibaka.

View attachment 1641305
Hiki nalijua tangu awali ya kuwa huwa hamna hija na hiki bdicho huwa kinafata,jenga hija na jibu hoja.

Kamusi ganu imekupa maana ya kubaka ni hiyo unayo egemea kwayo ?

Sisi tunaandika elimu nyinyi mnawasilisha hisia zenu.

Hii kazi huiwezi. Kazi yangu nimemaliza.

Nacheka sana....
 
Kwa hio umekubali kama Yesu alikua anapakuliwa
Hahaha, hata kudanganya wala kusingizia huwezi maskini kijana wa muddy, Mimi nimekuletea facts hapa wewe unatunga uongo ambao hata mtoto akikusikia atakucheka sana
 
Hiki nalijua tangu awali ya kuwa huwa hamna hija na hiki bdicho huwa kinafata,jenga hija na jibu hoja.

Kamusi ganu imekupa maana ya kubaka ni hiyo unayo egemea kwayo ?

Sisi tunaandika elimu nyinyi mnawasilisha hisia zenu.

Hii kazi huiwezi. Kazi yangu nimemaliza.

Nacheka sana....
Hija ni nini?

bdicho ni nini?

Ganu ni nini?

Umeandika kwa lugha gani yakhee?
 
Hahaha, hata kudanganya wala kusingizia huwezi maskini kijana wa muddy, Mimi nimekuletea facts hapa wewe unatunga uongo ambao hata mtoto akikusikia atakucheka sana
Mi sihangaiki kutafuta picha kwa maana kuna mapicha kibao mitandaoni mapadre wanaolewa
 
Back
Top Bottom