Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,095
- 34,020
Nilete nini, unaniletea ibara kuna Mtu amekuhitaji uilete?Lete hapa unionyeshe nilimaanisha nini ?
Umeanza kiherehere nawewe eeh...!
Nilete nini, unaniletea ibara kuna Mtu amekuhitaji uilete?Lete hapa unionyeshe nilimaanisha nini ?
We kunguni umeanza kuwashwawashwa eeh,Unauliza uhusiano tena!!!, kaaa pemben hauna ujualo
Hawa ni wale watawadhaji wa juani, hawana muda kujikausha
Afadhali umechana. Jamaa anakera sana.Excuse my language bwana infantry, sijui ndio unataka kuonekana ni mchunguzi au unajua sana vitu humu jamvini au unataka umaarufu usio na tija kwa ID fake IDK.
Kuna mitandao kibao sana ingeweza kukusaidia tena kwa njia isiyokuwa na shaka na mfano Quora hichi unachokiuliza kilishaulizwa kule miaka mingi sana.
Na hata nikiweka ufafanuzi hapa nakuhakikishia nitatoa 98% ya majibu kule, please vitu vingine kavisome kule ambako watu ni magwiji wa historia ya Africa na wengine wanaishi hizo nchi.
Ahsante.
Ulisikia habari ya Padri wenu Katoliki kubaka mtoto mdogo huko Kilimanjaro? Tafuta hiyo habari ipo humu, hata ITV waliisoma juzi.We kunguni umeanza kuwashwawashwa eeh,
Tawadha kwanza ujikaushe kisha urudi
Jibu maswali niliyo kuuluza? Tabia kuacha kujibu maaswali ni ishara ya wazi kabisa ya kuwa hoja imekushindaJihad za Fulani ilikuwaje?
Sijasikia, inawezekana IPO...ila Mbakaji wa kwanza aliyembaka mtoto mdogo wa miaka 9 ni Mtume wenu Muhammad (SAW) rehma zimfikieUlisikia habari ya Padri wenu Katoliki kubaka mtoto mdogo huko Kilimanjaro? Tafuta hiyo habari ipo humu, hata ITV waliisoma juzi.
Upokonyaji na Ubakaji ulikuwa sehemu ya maisha ya MwamediNi kweli
kuna yale ma caravan routes and trades.
Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali.
Uhovyo wake uko wapi yakhee?Huyo jamaa ni mtu wa hovyo sana mkuu
Wewe umefuata nini huku JF, ikiwa Quora ipo?Pole naona umepatwa na gadhabu.
Quora ni worldwide platform go learn there.
Role model wake wa ubakaji ni Muhammad aliyeweza kumbaka mtoto Aysha (9)Ulisikia habari ya Padri wenu Katoliki kubaka mtoto mdogo huko Kilimanjaro? Tafuta hiyo habari ipo humu, hata ITV waliisoma juzi.
Hivi kwanini hamsomi vijana ? Nani alikwambia mtume alizidiwa miaka 15 na mkewe mama Khadija ?Furthermore kama hamjui Hata mke wake wa kwanza Bi Khadija(aliyemzidi miaka 15) alikuwa boss wake kwenye biashara ya
Tuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa mtume aliajiriwa na mama Khadija kabla hajamuoa.Bi khadija alimuajiri Muhammad kwasababu alisikia story zake kuwa ni muaminifu na alipewa nickname "Al-amin" baadae Muhammad akaongeza ukaribu akamuoa.
Mtumwa gani alinunulowa na Mtume ?(ikiwemo watumwa).
Muhammad as a prophet-23years
Naomba ushahidi wa mtume kumbaka mama Aisha. Aisee ukinipa huo ushahidi, mimi naacha leo kutumia hii jf, tena nitaomba uongozi wa jf wanipige ban ya maisha, au nitakupa kazi ya kukuruhusu kuniombea hilo, kupitia agizo langu.Role model wake wa ubakaji ni Muhammad aliyeweza kumbaka mtoto Aysha (9)
Usiseme mama, sema mtoto Hazrat AyeeshaNaomba ushahidi wa mtume kumbaka mama Aisha. Aisee ukinipa huo ushahidi, mimi naacha leo kutumia hii jf, tena nitaomba uongozi wa jf wanipige ban ya maisha, au nitakupa kazi ya kukuruhusu kuniombea hilo, kupitia agizo langu.
Mnakuwa wajinga mpaka mnachupa mipaka.
Umeelewa swali langu kwa munasaba wa uongo uliaounandika ?Usiseme mama, sema mtoto Hazrat Ayeesha
Muhammad (SAW) aliweza kuoga na mtoto Aysha, kulala naye na kisha baadae akamruhusu acheze na wadoli chumbani kwake, kitu ambacho wakeze walithibitisha
However, baadae Muhammad akaruhusu mtoto yeyote wakike akivunja ungo tu anaweza kuolewa
Unachobisha ni nini, unataka uthibitisho wa hizo quran/Hadith verses au?
Bukhari 7:62,88
Unataka mistari mingine kustify hilo?
Sema suu
Acha wogaUnajua gharama ya kuwakejeli mitume wamungu,usikichukulie poa kitendo kama hiko kinagharama kubwa San mbele zamungu, kumbuka siku hazigand ipo siku itafika, utakuta a namola wako halaf majuto yako haya takua na faida tena mbele zake nakama unaona siku ziko mbali kufika kumbuka hazigand, Maan tunaambiwa watu weng San tutapon WA naiman siku ya mwisho, tuleteane kejeli sisi kwasisi lakin sio mitume wa mungu
Nadhani hukumuelewa.Umeelewa swali langu kwa munasaba wa uongo uliaounandika ?
Nataka ushahidi unao onyesha ya kuwa Mtume alimbaka mama Aisha. Naandika Kiswahili chepesi sana, na sisi Waswahili tunajua maana ya tamko "KUBAKA".
sasa usipoteze muda kuandika yasiyo kuwepo.
Yaani haoa siyo tu mistaru, bali mpaka unakufa huwezi kuweka ushahidi wa kuonyesha Mtume alimbaka mama Aisha.
Labda utupe maana yako mpya ya kubaka ambayo si ya kweli.
Pili, sharti mwanamke kuolewa ni lipi ?
Mjinga hupuuzwaTakibiir....!!!View attachment 1641265