Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Ndugu zanguni Samahani kama ninawakwaza mkisikia jina muhammad..lakini hapa sio msikitini na wote tupo kwa ajili ya kujifunza So napomtaja Muhammad(saw) Simtaji kama nabii au religional figure bali namtaja kama historical figure..na ndiyo muktadha wa hii mada.

Nashangaa mnakasirika kusikia Muhammad alikuwa trader kuliko kusikia alivamia traders.

Furthermore kama hamjui Hata mke wake wa kwanza Bi Khadija(aliyemzidi miaka 15) alikuwa boss wake kwenye biashara ya trade.Bi khadija alimuajiri Muhammad kwasababu alisikia story zake kuwa ni muaminifu na alipewa nickname "Al-amin" baadae Muhammad akaongeza ukaribu akamuoa.
Muhammad alisafiri nchi mbalimbali(Syria,Yemen etc.) na ngamia akiuza na kununua bidhaa(ikiwemo watumwa).
Anko wake Muhammad,Abu Talib ndio alimuingiza kwenye biashara akiwa na umri mdogo kabisa(12yrs) na maisha yake mengi alikuwa trader kuliko nabii.Kwani nyie huwa mnadhani kabla hajawa nabii akiwa na miaka 40 alikuwa anafanya kazi gani?

Muhammad years as a trader-25 years
Muhammad as a prophet-23years

For references Check this article


For further reading
Afriza Hanifa,27 April 2013,Prophet(Rasulullah SAW) A True Entrepreneur[online]
Available at http://warwir.com/forumj/printthread.php?tid=1376

Ryan Novrian,31 January 2009,Concept Of Islamic Business Ethics[online]
Available at

Dr. Muzammil H. Siddiqi,17 December 2004,Religion[online]
Available at Religion

Sidmskhan,20 May 2012,Summary of Seerah[online]
Available at

Amanullah,15 January 2012,Manhood of Prophet Muhammad PBUH[online]
Available at

Majelis Ilm, 27 July 2011, 11 Principles for Islamic Living (4) Sunnah. Follow the Model of
Prophet Muhammad (PBUH)[online]
Available at
sunnath-follow-the-model-of-prophet-muhammad-pbuh
Ahmad Afiq Al-Kelantani,20 Januari 2013,Contohilah Akhlak Rasulullah S.A.W Ketika
Berniaga[online]
Available at

Dr. Sabahuddin Azmi,2010,An Islamic Approach To Business Ethics[online]
Available at http://www.renaissance.com.pk/Mayviewpoint2y5.htm

Rosli Baharuddin,2012,3 Akhlak Menjual Cara Rasulullah[online]
Available at http://www.majalahniaga.com/3-akhlak-menjual-cara-rasulullah.html

Zahid Isa (2010), TPR - Tips Pemasaran Rasulullah Sesuai Untuk Peniaga Online &
Offline.[online]
Available at http://www.wangcyber.com/forum/archive/t-36252.html
Halafu kilichopo ni kwamba wewe ni tabia yako, yaani wakati mwingine unakuta hata mada haihusiani na masulala ya dini ila wewe utaleta tu chokochoko.

Na ndicho alichokwambia mdau hapo juu.
 
Ndugu zanguni Samahani kama ninawakwaza mkisikia jina muhammad..lakini hapa sio msikitini na wote tupo kwa ajili ya kujifunza So napomtaja Muhammad(saw) Simtaji kama nabii au religional figure bali namtaja kama historical figure..na ndiyo muktadha wa hii mada.

Nashangaa mnakasirika kusikia Muhammad alikuwa trader kuliko kusikia alivamia traders.

Furthermore kama hamjui Hata mke wake wa kwanza Bi Khadija(aliyemzidi miaka 15) alikuwa boss wake kwenye biashara ya trade.Bi khadija alimuajiri Muhammad kwasababu alisikia story zake kuwa ni muaminifu na alipewa nickname "Al-amin" baadae Muhammad akaongeza ukaribu akamuoa.
Muhammad alisafiri nchi mbalimbali(Syria,Yemen etc.) na ngamia akiuza na kununua bidhaa(ikiwemo watumwa).
Anko wake Muhammad,Abu Talib ndio alimuingiza kwenye biashara akiwa na umri mdogo kabisa(12yrs) na maisha yake mengi alikuwa trader kuliko nabii.Kwani nyie huwa mnadhani kabla hajawa nabii akiwa na miaka 40 alikuwa anafanya kazi gani?

Muhammad years as a trader-25 years
Muhammad as a prophet-23years

For references Check this article


For further reading
Afriza Hanifa,27 April 2013,Prophet(Rasulullah SAW) A True Entrepreneur[online]
Available at http://warwir.com/forumj/printthread.php?tid=1376

Ryan Novrian,31 January 2009,Concept Of Islamic Business Ethics[online]
Available at

Dr. Muzammil H. Siddiqi,17 December 2004,Religion[online]
Available at Religion

Sidmskhan,20 May 2012,Summary of Seerah[online]
Available at

Amanullah,15 January 2012,Manhood of Prophet Muhammad PBUH[online]
Available at

Majelis Ilm, 27 July 2011, 11 Principles for Islamic Living (4) Sunnah. Follow the Model of
Prophet Muhammad (PBUH)[online]
Available at
sunnath-follow-the-model-of-prophet-muhammad-pbuh
Ahmad Afiq Al-Kelantani,20 Januari 2013,Contohilah Akhlak Rasulullah S.A.W Ketika
Berniaga[online]
Available at

Dr. Sabahuddin Azmi,2010,An Islamic Approach To Business Ethics[online]
Available at http://www.renaissance.com.pk/Mayviewpoint2y5.htm

Rosli Baharuddin,2012,3 Akhlak Menjual Cara Rasulullah[online]
Available at http://www.majalahniaga.com/3-akhlak-menjual-cara-rasulullah.html

Zahid Isa (2010), TPR - Tips Pemasaran Rasulullah Sesuai Untuk Peniaga Online &
Offline.[online]
Available at http://www.wangcyber.com/forum/archive/t-36252.html

Tunakujua vizuri sana, sina haja ya kupitia hiyo miwikipedia yako Nimesoma SIRA. Unaishi kwa kufuata uzushi, na hakuna kilichokujaa kwenye nafsi yako zaidi ya chuki na kupenda kuchafua hali ya hewa. Mnajulikana sana. Na mifano yenu pia tunayo..... mchafua hali ya hewa mwenye mrengo wa kidini. Sishangai ndivyo mnavyofundishwa na mabwana zenu!
 
Tunakujua vizuri sana, sina haja ya kupitia hiyo miwikipedia yako Nimesoma SIRA. Unaishi kwa kufuata uzushi, na hakuna kilichokujaa kwenye nafsi yako zaidi ya chuki na kupenda kuchafua hali ya hewa. Mnajulikana sana. Na mifano yenu pia tunayo..... mchafua hali ya hewa mwenye mrengo wa kidini. Sishangai ndivyo mnavyofundishwa na mabwana zenu!

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Hapa wewe ndo unaleta Udini...Sijaweka Wikipedia hata moja hapo na hizo zote ni Muslim Sources(nilijua nikiweka historical sources nje ya islamic scholars hata kama zina evidence mngezikataa)...Mashehe wamefanya Research.

Mimi nimeaproach hii mada kisomi na kihistoria zaidi wewe unaleta story za Sira yani umebase kidini zaidi.
Inshort wewe ni incompetent na ni muoga.

Haya hiyo Sira uliyosoma inasema Muhammad kabla hajawa nabii alikuwa anafanya kazi gani??
nijibu hili usiruke ruke
 
Halafu kilichopo ni kwamba wewe ni tabia yako, yaani wakati mwingine unakuta hata mada haihusiani na masulala ya dini ila wewe utaleta tu chokochoko.

Na ndicho alichokwambia mdau hapo juu.
Hizo ni hisia zenu tu,hamna ushahidi
Na hapa penyewe sijaongelea maswala ya dini sijataja Quran au hadith niko naongelea Maisha ya Muhammad as a historical figure.

jifunze kutenganisha kati ya historia na dini.
 
Huu huu uislamu wa boko haramu,al shaabab ,isis n.k dini safi!??? Hawa watu wakiwa kwenye mihadhara ya watu changanyikeni huhubiri uislamu ni dini ya amani lakini deep inside wanahubiri kuwakata shingo wale wote wasioamnini katika uislamu kwa hiyo watu wengi katika kipindi hicho cha nyuma waliamini kuepuka kuchinjwa
 
Huu huu uislamu wa boko haramu,al shaabab ,isis n.k dini safi!??? Hawa watu wakiwa kwenye mihadhara ya watu changanyikeni huhubiri uislamu ni dini ya amani lkn deep inside wanahubiri kuwakata shingo wale wote wasioamnini katika uislamu kwa hiyo watu wengi katika kipindi hicho cha nyuma waliamini kuepuka kuchinjwa

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kuna uzi mmoja kuna mtu mmoja nilimkuta na mawazo kama yako wewe, tatizo lenu mnawaangalia wale ambao ni extremist ambao wako miles away nje ya Uislam na kuwafanya ndio kigezo cha Uislam! Je katika maisha tunayoishi sisi watanzania ni wapi umeskia waislam wakipeana mihadhara juu ya kuwaua Wakristo? Basi elewa kigezo ulichokichukua wewe ni cha wale ambao wako nje ya uislam. Kama huelewi tu ndani ya uislam hakuna AL SHABAAB, ISIS, ISIL wala Boko haram na wala hakuna makundi kama hayo na ndio maana hayatambuliki na waislam. Kiufupi hao wako nje ya Uislam au kwa jina lao ni Khawaarij yaani Kilabuun nnar (Mbwa wa motoni).
 
Nahii uliitoa wapi? Halafu inahusiana vipi na mada?
Hiyo ni pure fact na kuiongelea hapa itazidi kuwakasirisha watu maana inaingia upande wa dini(Hata ukisoma quran wanachukia)......anyway inahusiana na mada kwasababu nlikuwa najaribu kuonesha kuwa Muhammad alikuwa na influence kwenye biashara kabla, hata baada ya kuwa mtume.So alivyoivamia na kuitawala Mecca lazima biashara ya Caravan iliendelea lakini this time ilikuwa inatawaliwa na waislam so hata North Africa Biashara ilifika ikitawaliwa na waislam.
 
Huu huu uislamu wa boko haramu,al shaabab ,isis n.k dini safi!??? Hawa watu wakiwa kwenye mihadhara ya watu changanyikeni huhubiri uislamu ni dini ya amani lkn deep inside wanahubiri kuwakata shingo wale wote wasioamnini katika uislamu kwa hiyo watu wengi katika kipindi hicho cha nyuma waliamini kuepuka kuchinjwa

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kwa maelezo yako ni kwamba waislamu wote wanaingia katika hayo makundi uliyoyataja.

Kwa hiyo na wewe umeamini au huogopi kukatwa shingo yako? au hakuna waislamu hapo unapoishi?


Acha mihemko, fikiri
 
Wewe nini bana! Hebu punguza ujuha basi! Tatizo lako wewe ni zoa zoa kila uzushi unaona ni sawa tu! Acha uzushi.
Haya baada ya kubwabwaja jibu swali

Kwenye Sirat rasulalllah Muhammad Kabla ya kuwa Mtume alikuwa anafanya kazi gani?
 
Kuna uzi mmoja kuna mtu mmoja nilimkuta na mawazo kama yako wewe, tatizo lenu mnawaangalia wale ambao ni extremist ambao wako miles away nje ya Uislam na kuwafanya ndio kigezo cha Uislam! Je katika maisha tunayoishi sisi watanzania ni wapi umeskia waislam wakipeana mihadhara juu ya kuwaua Wakristo? Basi elewa kigezo ulichokichukua wewe ni cha wale ambao wako nje ya uislam. Kama huelewi tu ndani ya uislam hakuna AL SHABAAB, ISIS, ISIL wala Boko haram na wala hakuna makundi kama hayo na ndio maana hayatambuliki na waislam. Kiufupi hao wako nje ya Uislam au kwa jina lao ni Khawaarij yaani Kilabuun nnar (Mbwa wa motoni).

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Siku zote maneno yenu ni hayo hayo hamuwatambui hamuwatambui, hata jambazi husema yeye si jambazi hali kadhalika wachawi, wazinzi wote hukana ila ukweli ndio huo hadharani mtawakana lakini gizani huwa mnawapongeza kwa kazi wanazozifanya

Na kwanini dini hii hutumia nguvu nyingi sana kujitangaza!? Hii ni dini ya kitumwa na maficho ya watu kutumia dini kutawala kwa nguvu

Pia nashangaa kwanini unakanusha kuwa kwenye kitabu chenu hkn maandishi ya kukata mapanga makafiri
 
Kumbe hata hujui kama mada inazungumzia historia ya dini ya uislamu.

Kwaheri
Historia ya dini ila sio dini katika historia.

Maana yake Tunaangalia dini ilivyokua kutoka kwenye jicho la kihistoria na wanahistoria.
(Historical perspective)

Hatuangalii historia ilivyokuwa kutoka kwenye jicho la dini inasemaje(Quran &Hadith)


Nikimtaja Muhammad namtaja kama historical figure(a mere man with influence) na sio kama Religious figure(Nabii)
 
Siku zote maneno yenu ni hayo hayo hamuwatambui hamuwatambui ,hata jambazi husema yeye si jambazi hali kadhalika wachawi,wazinzi wote hukana ila ukweli ndio huo hadharani mtawakana lakini gizani huwa mnawapongeza kwa kazi wanazozifanya

Na kwanini dini hii hutumia nguvu nyingi sana kujitangaza!???? Hii ni dini ya kitumwa na maficho ya watu kutumia dini kutawala kwa nguvu


Pia nashangaa kwanini unakanusha kuwa kwenye kitabu chenu hkn maandishi ya kukata mapanga makafiri



Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app

Hivi wewe unatumia akili yako kufikiri au kuna kiungo kingine cha mwili wako ndio unakitumia?

1. Unaweza kunipa ushahidi kama unavyosema kuwa tunawapongeza gizani? Huu tunaita ni unafiki.

2. Unaweza kutoa mfano ni wapi uislam unatumia nguvu kujitangaza? Kwa kukusaidia tu kama ulikuwa hujui hao Khawaarij ndio wanaotumia nguvu na vitisho kupambana na serikali hata iwe ya Kiislam.

3. Kwenye kitabu chetu ndio imeagizwa kuwakata mapanga makafiri na sio wakristo. Je wakristo ndio hao makafiri? Nasubiri jibu la hapa, endapo kama unanijibu kuwa wakristo ndio makafiri basi ni kwa mujibu wako wewe, ila kwa mujibu wa Uislam Kafir ni mtu asieamini uwepo wa Mungu. Na wakristo wanajulikana kama Manasara.
 
Kwa maelezo yako ni kwamba waislamu wote wanaingia katika hayo makundi uliyoyataja.

Kwa hiyo na wewe umeamini au huogopi kukatwa shingo yako? au hakuna waislamu hapo unapoishi?


Acha mihemko fikiri
Nyie dawa yenu ni wayahudi,wahabeshi anti baraka na mabhuda hapo huwa mkianza choko choko zenu mnatandikwa kisawa sawa then mnaanza huruma ya dunia

Dini gani hii imejaa ukorofi kila siku nyie tu kwenye nchi za wengine ...hutasikia wachina,wajapani,wahindi wala wakorea eti wamechokoza watu wa dini nyingine kwa misingi ya kidini bali ni nyie tu.
 
Nyie dawa yenu ni wayahudi,wahabeshi anti baraka na mabhuda hapo huwa mkianza choko choko zenu mnatandikwa kisawa sawa then mnaanza huruma ya dunia

Dini gani hii imejaa ukorofi kila siku nyie tu kwenye nchi za wengine ...hutasikia wachina,wajapani,wahindi wala wakorea eti wamechokoza watu wa dini nyingine kwa misingi ya kidini bali ni nyie tu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?
 
Nyie dawa yenu ni wayahudi,wahabeshi anti baraka na mabhuda hapo huwa mkianza choko choko zenu mnatandikwa kisawa sawa then mnaanza huruma ya dunia

Dini gani hii imejaa ukorofi kila siku nyie tu kwenye nchi za wengine ...hutasikia wachina,wajapani,wahindi wala wakorea eti wamechokoza watu wa dini nyingine kwa misingi ya kidini bali ni nyie tu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Unaoneka unajazba sana

Ngoja nikuache uendelee kutapika, ukimaliza nikupe maji, halafu unijibu hayo maswali yangu.
 
Back
Top Bottom