Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,614
Watakuwa wanaswali jumapili
Watakuwa wanaswali kwa sauti za juu
Lengo ni kuwaslimisha wakristo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen!Zitakuja dini za kila aina, lakini kwa YESU kila goti litapigwa
Vizuri angalau mauzo ya kitimoto yatapanda maana wanakula kwa uwazi badala ya kujificha.View attachment 526128
Watakuwa wanaswali jumapili
Watakuwa wanaswali kwa sauti za juu
Lengo ni kuwaslimisha wakristo
Bahati mbaya au nzuri hata anayejiita Muislam hawezi kuongeza au kupunguza chochote kwenye uislam.Makafiri ni wew na ndugu zako walioko saudia, Iraq na Arab yote ,wanaofurahia kuua watu kwa kujitoa muhanga wakitaja kiitikio chao pendwa
allah akbar
Hiyo itakuwa sio dini ya Kiislam...... Watafute jina lao lingine.View attachment 526128
Watakuwa wanaswali jumapili
Watakuwa wanaswali kwa sauti za juu
Lengo ni kuwaslimisha wakristo
Acha hizo makafiri ndiyo akina nani? Dini waanzishe wenzako lakini wewe umekariri neno kafiri wakati miaka yote kafiri ndiyo boss wako kule Saudia marekani ndiyo boss wako kila kona tu ni wazungu jeshi lao mitambo yao ya kuchimba mafuta, hata Zanzibar kafiri ndiyo kila kitu mbona hawafurukuti? wewe usiye kafiri mbona kipindi hiki cha Ramadhan matukio ya wizi, uzinzi, Uzushi kula kiti moto yamepumgua? Tambua kuwa wewe na wenzake ndiyo makafiri wakubwa kwani wale waovu waovu kuwaits wenzao makafiri mungu huwaadhibu ndiyo maana wengi wenye kupenda kuwatusi watu huwa ni fukara sana.Makafiri wanahangaika sana kuhusu uislam.
Nafikiri yafaa makafiri wajue kuwa Ukiondoa au kuongeza kitu chochote kwenye uislam , hauwi tena uislam.
mbona dini za kikiristo zipo kibaoHiyo itakuwa sio dini ya Kiislam...... Watafute jina lao lingine.
watakuwa waisilam waliozindukaHao watakuwa waislam waliookoka
Kwa waislamBahati mbaya au nzuri hata anayejiita Muislam hawezi kuongeza au kupunguza chochote kwenye uislam.
Ni either ubaki na ukafiri wako au uungane kwenye uislam. Natarajia ubadilike uufuate uislam.
Uislam hautakuja kubadilika kuwafuata watu bali watu watabadilika kuufuata uislam
Wale mabikra 72 vipi mkuu????Makafiri wanahangaika sana kuhusu uislam.
Nafikiri yafaa makafiri wajue kuwa Ukiondoa au kuongeza kitu chochote kwenye uislam , hauwi tena uislam.