Unajua nasoma unacho andika nakushangaa, nilipo kuwekea ile hadithi, ukadai hujui Kiingereza, hadithu iko wazi na mtume ameelezea haya mambo.Huwezi kujibu swali hilo mkuu na huwezi kukataa katu.
Hao watu walishushiwa mtume ambaye ni nabii issa lakini ujumbe wake tu haukuwafika na lau ungewafika wangekuwa wanakalifishwa na sheria hiyo.
Hakuna ummah ambao haukuwa na mtume bali kuna ummah ambao haukufikiwa na ujumbe wa Mtume,kila ummah una mtume.
Sasa nitakuuliza nabii Issa alitumwa kwa waty wote au alitumwa kwa Wana wa Israeli ?
Ahlul fatrah ni kina nani ? Hili hupaswi kulijibu wewe bali mtume ameliweka wazi tayari. Sasa rejea hadithi na usome aya kwa kuzangatia.