Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Huwezi kujibu swali hilo mkuu na huwezi kukataa katu.

Hao watu walishushiwa mtume ambaye ni nabii issa lakini ujumbe wake tu haukuwafika na lau ungewafika wangekuwa wanakalifishwa na sheria hiyo.

Hakuna ummah ambao haukuwa na mtume bali kuna ummah ambao haukufikiwa na ujumbe wa Mtume,kila ummah una mtume.
Unajua nasoma unacho andika nakushangaa, nilipo kuwekea ile hadithi, ukadai hujui Kiingereza, hadithu iko wazi na mtume ameelezea haya mambo.

Sasa nitakuuliza nabii Issa alitumwa kwa waty wote au alitumwa kwa Wana wa Israeli ?

Ahlul fatrah ni kina nani ? Hili hupaswi kulijibu wewe bali mtume ameliweka wazi tayari. Sasa rejea hadithi na usome aya kwa kuzangatia.
 
Wakati wewe unasema kuwa hao sio wastaarabu ulikuwa una maanisha maana ipi ya ustaarabu ?
Kwasababu Children are too young to be able to consent.

Hiyo ni molestation mzee hamna ndoa hapo hata kama kitabu cha ALLAH sijui ALLAHGATOR kimesema kua ni ndoa tukufu
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Sema: Mwenyezi Mungu angeli taka nisingeli kusomeeni, wala nisingeli kujuvyeni. Kwani nalikwisha kaa nanyi umri mzima kabla yake! Basi, je! Hamzingatii?
Ona kituko unachokiandika hapa, mfano huu ni tofauti na kile unachokiandika wewe, hapa inaonyesha tayari jambo limeshatokea kwahiyo kinachofanyika ni marejeo, mfano wako ni wajambo ambalo halijatokea na halitatokea, kwahiyo "nge" yako hapa ni ya dhana na si ya hakika.
Lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka kuwa na mwana, basi bila ya shaka angeli teua amtakaye katika alio waumba. Subhanahu, Ametakasika na hayo! Yeye ni Mwenyezi Mungu Mmoja, Mtenda atakalo.
Kwa akili yako nge hii na yako zinafanana ? Hivi vitu mbona rahisi sana kuvielewa ?

Sasa nitakuuliza je Allah ana mwana ?
 
Hauko sahihi mkuu..

Mbona mifano ya "inge" ipo mingi sana....

Angalia tu mpaka katika Qurani ipo mingi sana..

قُل لَّوْ شَاءَ اللَّهُ مَا تَلَوْتُهُ عَلَيْكُمْ وَلَا أَدْرَاكُم بِهِ ۖ فَقَدْ لَبِثْتُ فِيكُمْ عُمُرًا مِّن قَبْلِهِ ۚ أَفَلَا تَعْقِلُونَ

[ YUNUS - 16 ]
Sema: Mwenyezi Mungu angeli taka nisingeli kusomeeni, wala nisingeli kujuvyeni. Kwani nalikwisha kaa nanyi umri mzima kabla yake! Basi, je! Hamzingatii?

Unaona neni "angeli" hapo....

Hapo maana yake ni hoja kubwa hiyo kwamba lau Mungu ANGELITAKA msemaji asingewasomea.

Kutumia neno "angelitaka " ni hoja ambayo inatufikirisha kuwa je kweli angelitaka ingekuwa hivyo.

Sasa kutumika kwa neno angeli au ingeli hakufanyi kitu kisiwe hoja bali kinafanya hoja hiyo lau ingekuwa kinyume chake.

Sasa kwa mtazamo wako unaweza kusema hata hiyo aya msemaji hakupaswa kutumia neno "engeli" kwa kuwa tu haijatokea hivyo ambavyo amesema.

Sasa unatakiwa ujibu hoja,na sio kukimbia hoja kwa sababu imetumika neno ingeli au angeli..

Pia angalia aya nyingine..

لو أراد الله أن يتخذ ولدا لاصطفى مما يخلق ما يشاء سبحانه هو الله الواحد القهار

[ AZZUMAR - 4 ]
Lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka kuwa na mwana, basi bila ya shaka angeli teua amtakaye katika alio waumba. Subhanahu, Ametakasika na hayo! Yeye ni Mwenyezi Mungu Mmoja, Mtenda atakalo.

Qurani imetumia neno "ANGELI.."

kwa maana ya kuwa laiti ingekuwa hivyo.

Na kutumia neno angelitaka katika aya hiyo hakujafanya hoja isiwe hoja,bali ni hoja hasa,ila wewe ungeliikataa kwa sababu ya neno angeli ambalo humaanisha lau ingekuwa hivyo.

Sasa hao wanachuoni unaowadai ikiwa kama hawataki neno "ingeli au angeli" basi wagahamishe kuwa Qurani imetumia mara nyingi sana maneno hayo.

Katika hili sidhani kama una hoja madhubuti ya kukamatia...
Nge yako na nge ya katika Qur'aan ziko sawa ?

Hoja ya kushika wapi wakati hakuna hoja hapa ?
 
Lau zurri angezisoma nasaha zako hizi basi angepata faida kama ambavyo mimi nimezipata faida hizo katika maneno yako haya.

Bwana zurri umemchambua vyema na hata mimi nakiri ndivyo alivyo na wadau wengi watakubali hilo.

Ni mtu ambae anadhani kuhoji kunaishia katika elimu,kumbe hata elimu inapaswa kuhojiwa na kufahamika.

Kimsingi nimekuelewa kaka,na mimi nasaha ulizompa zurrri nitazichukua kama za kwangu na kuzidi kuzifanyia kazi.

Tokea nianze kuyajadili mambo ya elimu peke yangu nimegundua mambo mengi sana ambayo bwana zurri kama hatobadilika hawezi kuyagundua.

Masiku machache nilimuambia kuwa sheikh muqbili amesema kuwa hakatazi watu kufunga masiku yote kumi ya dhul hijja na wala hawezi kuwatia katika kundi la kuwa wanafanya bidaa kwa sababu hadithi imeenea.

Bwana zurri kwa kukosa subira ya kielimu akadai kuwa bwana muqbili anayemjua yeye hawezi kusema maneno hayo,yaani kabla sijampa nukuu anatia comment wakati ambao alitakiwa afanye subra.

Nikampa nukuu ya sheikh na pahala ilipo akatulia.

Kimsingi zurri ana mambo mengi ya kujifunza yeye pamoja na sisi pia.

Mfumo anaokwenda nao zurii andio mfumo wanaokwenda nao masalafi wengi sana na ndio maana mengi katika mambo wanaharibu bali hata wao kwa wao wanakatana mapande kutokana na kushiba elimu huku wakiwa na njaa ya ufahamu katika fikra zao.

Jambo hili linafanya safu za masalafi mfano wa kina zurri kupasuka vipande kila siku ya Mungu kwa sababu ya tatizo alilonalo zurri la kuwa MIMI NDO NIKO SAHIHI,WEWE UKO WRONG.

Kimsingi zurri yuko hivyo kwa sababu ya huko anakopikwa kielimu.

Allah akubariki na wewe mkuu
Umejawa hekima, subra na elimu pia. Pengine mjadala baina yako na Zurri inaweza ikawa ni heri ni asbabu ya yeye kubadilika. Mungu atie baraka na utiifu na iwe ni asbab atufungulie fahamu kwa kupitia huu mjadala.

Allah atubariki sote. Amiin.
 
Kiufupi naamini Mungu yupo, na amejidhihirisha wazi kabisa. Kila jamii dunia mzima nguvu ya Mungu ipo. Kuna dini kubwa sita duniani. Kote Mungu anajionesha. Kuna
~Judaism
~Christianity
~Islam
~Hinduism
~Budhism
~Sikhism
Mtawa(monk) wa kibudha anaweza fanya maajabu makubwa sana ya kutembea juu ya maji au kutembea bila kukanyaga ardhi(kupaa) Kama Yesu. Lakini si mkristu Wala mwislam.
Mimi nimeamua kubaki na Mizimu yangu tu. Hao Wazungu na waarabu watanisamehe niliwashtukia zamani saana.
Kabisa
 
Mkuu siku ya kwanza naingia Mafikeng mji mkuu Wa North West nchini south Africa , barabarani nakutana na watoto wakali chuchu saa sita yako wazi kabisa halafu watu wanapishana nao hata habari Hawana ! Nikapigwa na butwaa mpaka mmoja akanisalimia dumelang!!! Niliona raha mpaka basi ,mkuu ilinibidi nizoee na mimi nikawa siwashangai hata nikukutana nao Barabarani nawasilimia tu. Mils na tamaduni zao ni vitu vya kawaida tu. Tembelea nchi hizi, Botswana ,south Africa na Swaziland (iswathini) chuchu nje nje kabisa 😘
Nalog off
DA ahh!!!!! Huko siendi nitakuja kubaka 😂 😂 😂 😂 nje nje
 
kumbe uislam ulikuja kwa ajili ya WAARABU wa enzi ya ujinga!

uoni sisi tumebeba mzigo si wetu tumekopi tamaduni za watu

sisi tulikua na taratibu zetu kula,kuvaa,salamu,ibada

kwaio mpaka hapa uislam ulikua hautuhusu.
Well said
 
Waislamu waafrika wanaaminishwa amali zipo mbinguni kwaiyo tusiuhangaikie utajiri wafe masikini duniani mbinguni wameandaliwa kila kitu wao wafanye ibada tu uhai wao wote wakati uyo aliyemletea UISLAM anaishi kifahari wasaudia matajiri sio mchezo, Waislamu wauarabuni matajiri kwelkwel.


Wakristo waafrika wameaminishwa ktk manabii mtu akifanya miujiza kidogo bas anatunukiwa unabii anaabudiwa. nonsence kabisa manabii kila siku wanaongezeka mara wawalishe wahumin wao nyasi, petrol, tissue wanadai wamepewa maono.

UKIHOJI UNAAMBIWA UNAKUFURU
Bwana weee ..hizi dini ni utapeli 1 mkubwa sana kuwahi kutokea hapa duniani .. Waafrica tumepumbazwa sana
 
Back
Top Bottom