safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,133
- 15,774
lazima ufufahi mkuu...Hapa nimecheka sana, halafu muda huo huo unanad ya kuwa umeelewa nilicho kiandika, ajabu ajabu ajabu ajabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazima ufufahi mkuu...Hapa nimecheka sana, halafu muda huo huo unanad ya kuwa umeelewa nilicho kiandika, ajabu ajabu ajabu ajabu.
Naona sasa mjadala umeisha, na bila shaka umekubali huu ni ummah, sasa suala la kukubali au kutokubali ujumbe, hakufanyi ya kuwa wao walifikiwa na ujumbe na jambo hili mimi wala wewe hakuna anayeweza thibitisha ya kuwa ujumbe wangeukubali au kinyume yake, na hii ni hoja mufulisi.kufa,na hazikupata ujumbe wowote wa nabii issa,lau kama jamii hizi zingepata huo ujumbe wa nabii issa je ingekuwa ni wajibu kwao kufuata ujumbe huo au hata wangeuwacha wasingekuwa na dhima yeyote ?
Hao watu walioishia baina ya nabii issa na muhammad ina maana walifikowa na ujumbe wa nabii issa ambaye alikuweko kabla yao wakaukataa huo ujumbe ?Hao wote walikuwa ni ahlul fatrah ndiyo maana imaam al Bukhari anaposema ahlul Fatrah ana maanisha watu ambao waliishi kipindi ambacho ni baina ya nabii Issa na Mtume Muhammad, ila kwa juhudi za wanazuoni na kuangalia mambo kiundani wakaweka mgawanyo huo.
Kwa hiyo lau kama wangefikiwa na huo ujumbe na wakaukataa huo ujumbe siku ya kiama wangeadhibiwa kwa sababu walikataa ujumbe wa nabii issa ?Naona sasa mjadala umeisha, na bila shaka umekubali huu ni ummah, sasa suala la kukubali au kutokubali ujumbe, hakufanyi ya kuwa wao walifikiwa na ujumbe na jambo hili mimi wala wewe hakuna anayeweza thibitisha ya kuwa ujumbe wangeukubali au kinyume yake, na hii ni hoja mufulisi.
Nacheka sana, kwahiyo huu umekubali sasa ni ummah au bado ni kikundi cha watu...?Tuchukue baada ya nabii issa mpaka kabla ya mtume huu ummah wa baada ya nabii issa tuwape jina la watanzania.
Sasa je hawa watanzania(walioishi baada ya nabii issa) waliupata ujumbe wa nabii issa wakauwacha kwa kuwa sio mtume wao?
Au hawakufikiwa kabisa na ujumbe wa nabii issa kwa maana ya kuwa ungewafikia ujumbe huo wangewajibika kuufuata ?
Wewe unadhani kuwa ni ahlul fitrah kwa sababu hawakupata ujumbe wa nabii issa ?Sada hapo ndipo kunaingia jitihada za wanazuoni, na ndiyo maana wakaweka makundi matatu na mawili wakahukumu yanaenda motoni
Hili suala lingine mzee, halihusiani na mada yetu, hoja msingi ya umma imeisha.Hao watu walioishia baina ya nabii issa na muhammad ina maana walifikowa na ujumbe wa nabii issa ambaye alikuweko kabla yao wakaukataa huo ujumbe ?
Ama hawakuupata kabisa huo ujumbe wa nabii issa ?
Na je wangeupata ingewawajibikia kwao kuufuata ?
Nimekuuliza hivi bwana mkubwa..Hili hakuna anaejua kamawangekubali au wasingekubali, ndiyo maana mtume akahukumu watapewa mtihani siku ya Qiyama.
Hili suala lazma ulikwepe kwa sababu linakufunga mazima.Hili suala lingine mzee, halihusiani na mada yetu, hoja msingi ya umma imeisha.
Dini yetu haitaki kubahatisha ndiyo maana mtume akawataja watu aina nne watakso pewa mtihwni siku ya Qiyama.
Hili, limeisha.
mkuu umeongea jambo kubwa sana hasa katika hiyo dua.
"ewe mola niruzuku elimu na uniruzuku ufahamu"
Mtu anaweza akawa na elimu ila akakosa ufahamu,na mtu anaweza kuwa na ufahamu ila akakosa elimu,hawa wote wanaweza kuharibu zaidi ikiwa watapishwa kuzungumza kwa ajili ya maslahi ya wengi.
Kinachotakiwa ni elimu na ufahamu.
Mtu anaweza kuwa na elimu ya hadithi lakini kuzifahamu ni shida,kuzifanyia bahthi na kuzichambua ndio tatizo wakati kauli za Allah na Mtume zinakusanya mafundisho mengi ambayo kama mtu hauna ufahamu utaona dhaahiri ya mambo tu.
Wakati zurri anasema kuwa afrika hakukuwa na Mtume ,uislamu unasema kila ummah ulikuwa na Mtume tena mitume laki na kitu.
Sasa mtu unajiuliza hawa laki na kitu ndo huku afrika hakukuwa na mtume kabisa ilhali hawa waafrika nao ni ummah wa watu ambao wanastahiki kupewa mitume ?
Utaona kuwa hapo panahitaji tafakkuri ya ndani sana kuzielewa aya na hadithi za mtume wetu muhammad.
Umegusia jambo zuri sana n muhimu mnoo bwana mokaze.
Maswali yako yanaonesha unaongelea kitu kingine tofauti au tafsiri ya ustaarabu umeipundua kwa makusudi ili kuhalalisha unyama wa muarabu kwa watotounasemaje juu ya maswaa ambayo nimekuuliza mimi hko juu,unakuwa kama hujayaona alafu unataka nikujibu wakati na wewe hujibu.
Unauliza maana ya ustaarabu kwani wewe wakati unadai waarabu sio wastaarabu ulikuwa umeweka mfukoni maana ipi ya ustaarabu mkuu ?
Itikadi ni kusadikishwa kimoyo, kifikra na kiakili. Muafaka huu hutegemea ni nani anayekunyweshwa jambo katika fikra mpaka kufikia hatua ya kuwa na uyakini usiyofikiwa na wasi wasi unafikia hatua ya kuuenzi na kuufanyia kazi.Mkuu umeandika kwa tahadhari kubwa ,unaweza kufunguka zaidi mkuu juu ya haya mas'ala tunyoyajadili hapa.
Umegusia suala la kumezeshwa elimu,hili jambo watu wengi tunalo sana zama hizi zetu pengine hata mimi sijasalimika nalo ktika baadhi ya maeneo.
Unaweza kufafanua zaidi juu ya mambo haya tunayojadiliana na bwana zurri hapa kuhusu kila ummah kupata mjumbe,bwana zurri anadai kwa kunukuu vitabu kuwa kuna ummah hazikupata mjumbe.
Una lolote la kuchangia katika hili mkuu ?
Ungewafikia vipi wakati haukuwafikia, na hakutumwa kwao ? Katika dini hakuna kubahatisha, ndiyo maana wanazuoni wetu kuna maswali fulani hasa yakutunga huwa wanajibu kwa kusema hivi "Subirini kwanza jambo likitokea ndiyo mtuulize tuwape majibu".Hao watu wa baada ya nabii issa je ujumbe wa nabii issa lau ungewafikia je wangetakiwa waufuate au ule ujumbe wa nabii issa hauwahusu ?
Halinifungi kwa lolote na ni swali la kijinga sababu, haikutokea na mtume ameshapitisha hukumu.Hili suala lazma ulikwepe kwa sababu linakufunga mazima.
Bila shaka unakubali kuwa hao watu wangefikiwa na ujumbe wa nabii issa basi ingewalazimu kufuata,na huwezi kusema kuwa isingekuwa lazima kwao kufuata,hilo huwezi kusema.
Huwezi kujibu swali hilo mkuu na huwezi kukataa katu.Halinifungi kwa lolote na ni swali la kijinga sababu, haikutokea na mtume ameshapitisha hukumu.
Kwahiyo sijibu maswali ambayo kwa vyovyote hayabadilishi ukweli ulivyo.
Kama ni hivyo kwa nini wazazi wa mtume wako motoni,wao walifikiwa na ujumbe wa mtume gani mpaka iwe wako motoni ?Ungewafikia vipi wakati haukuwafikia, na hakutumwa kwao ?
Hauko sahihi mkuu..Maana unaposeme "inge" na haikutokea huoni kama ni kupoteza muda na kuitumia akili vibaya ?
Lau zurri angezisoma nasaha zako hizi basi angepata faida kama ambavyo mimi nimezipata faida hizo katika maneno yako haya.Itikadi ni kusadikishwa kimoyo, kifikra na kiakili. Muafaka huu hutegemea ni nani anayekunyweshwa jambo katika fikra mpaka kufikia hatua ya kuwa na uyakini usiyofikiwa na wasi wasi unafikia hatua ya kuuenzi na kuufanyia kazi.
Huu urithi ili ufanyie kazi sawa sawa unabidi upikwe na elimu ilyokuwa sawa sawa. Ukipikwa kinyume chake matokeo yake ni ghasia! Utakuwa na itikadi isiyotanguliwa na elimu yenye ufahamu.
Hii hali ndiyo anayo mkuu Zurri, yeye ameshapikwa hivyo na itikadi yake ndiyo ipo hivyo! Kikimjia chakula kingine itikadi aliyopikwa nayo inamwambia anatoka katika misingi hali ya kuwa si kweli. Laiti angelipikwa kwenye misingi elimu kama ilivyo maana na tafsiri ya elimu asingelikuwa kama alivyo.
Itikadi aliyopikwa nayo ndugu Zurri elimu aliyonayo yeye ndiyo sahihi na mafuhumu yake ndiyo yapo hivi nje ya mafuhumu hayo hakuna usahihi. Aliye hivi likiwekwa suala la elimu mezani mtajadiliana nini tena? Uyakinifu wake haukujengwa kielimu bali kuitikadishwa. Hili lipo hivi lipo hivi, basi hakuna jengine.
Mtu wa namna hii mizani yake ya kuyaendea kuyafikira masuala hayapo kieleimu bali yapo alivyoitikadishwa. Ndiyo maana hayupo kwa kuelewa bali yupo kukitetea kile alichopikwa nacho. Hafungui milango ya kuelewa bali anafungua milango ya kile alichoamnishwa! Kwa maana nyengine ufahamu wake umekatishwa tamaa ya kuwa nje ya hiki hakuna nje ya hiki.
Aliyepikwa hivi ukijadili naye kieleimu yeye haiangalii elimu. Yeye ataangalia itikadi yake. Ameaminishwa alichokuwa nacho ndicho aula! Kwa alichokielewa ndiyo sahihi zaidi mwengine anapwaya! Ndiyo maana ukijadili naye haleti ufahamu bali analeta nukuu ya kile alichoitikadishwa nacho chenye msimamo wa kwake.
Bila shaka ameaminishwa mafunzo ya Uislam marefu na mapana ni hayo aliyopewa. Ndiyo maana majibu yake ukiyaangalia yeye ni Akbar! Kwa maana usahihi ninao mimi. Lakini wewe ndugu Safuher upo kimsingi wa kielimu, kuwa huu ufahamu sawa umeuitakidi upo hivi kwa kuwa hiyo itikadi uliyoiweka hivyo ina misingi yake ya kielimu basi tuufikie kwa misingi yake ya kielimu.
Kwenye hili ambalo unajadiliana na ndugu Zurri njia ulizopita ndizo njia ninazopita mimi na umenipa faida nimejifunza mambo kutoka kwako! nimefaidika pakubwa sana kwa elimu uliyoitoa. Shukrani na Mungu akulipe kheri zaidi.
Zurri na Kiranga wametofautiana sehemu moja tu.
Wakati wewe unasema kuwa hao sio wastaarabu ulikuwa una maanisha maana ipi ya ustaarabu ?Ustaarabu ni nini?
Kipi kipimo cha kujua huyu mstaarabu na huyu siye?
Hilo nimelieleza katika ule mgawanyo wa wanazuoni. Ambao makundi mawili ni ya motoni.Kama ni hivyo kwa nini wazazi wa mtume wako motoni,wao walifikiwa na ujumbe wa mtume gani mpaka iwe wako motoni ?
Kwa sababu wazazi wa Mtume ni katika watu wa zama za baada ya nabii issa na kabla ya mtume muhammad.
Sasa tuambie wewe kuwa hawa wazazi wa Mtume wako motoni kwa kosa gani wakati hawakuwa na mtume katika wakati wao ?