chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,713
Kulingana na imani yangu nilyozaliwa nayo kama mkristo!
Kuna vituko navisikia na ulijali nimeona sio kusimuliwa wala kusikia .
Hawa wanaojifanya ukimtongoza au kutumia kivuli cha dini kumuona mwema au mtu bora ijalishi ME au KE.
Nitapenda kuzungumzia kwa sisi wanaume kasumba zinazo tukumba kwa hii mitiani ya wanaweke wanaotumia kivuli cha dini.
Asilimia kubwa wametendwa sana,wengine ufanya hivi huku wakificha wanacho kifahamu ili kuingia kwenye mahusiano au ndoa.
Ndoa nyingi sizungumzii jinsia fulani bali ukitaka kujua kutalakiana nenda RITA uombe sababu na historia zao.
Kuna vituko navisikia na ulijali nimeona sio kusimuliwa wala kusikia .
Hawa wanaojifanya ukimtongoza au kutumia kivuli cha dini kumuona mwema au mtu bora ijalishi ME au KE.
Nitapenda kuzungumzia kwa sisi wanaume kasumba zinazo tukumba kwa hii mitiani ya wanaweke wanaotumia kivuli cha dini.
Asilimia kubwa wametendwa sana,wengine ufanya hivi huku wakificha wanacho kifahamu ili kuingia kwenye mahusiano au ndoa.
Ndoa nyingi sizungumzii jinsia fulani bali ukitaka kujua kutalakiana nenda RITA uombe sababu na historia zao.