Dini na Siasa: Kuna tofauti kubwa kati ya Maaskofu wa Katoliki na akina Kakobe

Ile teolojia aliyoshusha askofu mkuu Ruwaich pale naamin wengi wameambulia patupu hata baadhi ya wakatoliki, ni shule yenye kiwango cha juu mno, sio rahisi kupata nje ya kanisa katoliki, ndo maana hadi viongozi wa serikali waliogopa wakabaki "kutubu" tu kwamba ni "wadhambi".... Ninavyojua Mimi na uelewa wangu huu mdogo, "Mahubiri" yana namna yake ya kuyaandaa, inaitwa "Homilia Takatifu", ni tofauti na risala, hotuba au maoni binafsi ya kasisi, hii ni shule muhimu sana kwa wahubiri wetu wote na wakitaka wanaweza kuisoma, bahati mbaya sana wengi wao hawaonekani kujali hili, wanayo mambo yao mengi mengine.
Unapoona hadi mwislamu anakiri hadharani kuwa yeye ni mwenye dhambi basi ujue leo Neno lilipata Mnenaji na Injili imefika mahali pake!
 
Mkuu, vichwa vya akina Gwajima na Kakobe ni moto mwingine. Wale watu hawaogopi mtu ndani ya serikali hii.
 
Leo nimejifunza kitu kikubwa katika kuhusanisha dini na siasa kupitia maaskofu wa Kanisa Katoliki. Askofu Ruwaichi katika mahubiri yake kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuzungumza hata sentensi moja iliyohusu siasa bali alijikita kwenye Injili. Baada ya misa takatifu kukamilika wakati wa kusoma risala kwa mgeni wa heshima ndipo walau siasa kidogo ilionekana. Ninakumbuka wakati wa ule mgongano wa Kakobe na TRA siku ya ibada katikati ya mahubiri askofu Kakobe akaanza kuwashambulia maofisa wa TRA. Kadhalika wakati wa mgogoro wa Gwajima na Makonda ilikuwa ni katikati ya mahubiri askofu Gwajima alipoanza kumshambulia Makonda na karatasi aliyoiita ni cheti na kuanza kukisoma. Nawashauri hawa maaskofu wa Huduma za kiroho wajifunze kutoka Katoliki ibada ni lazima iheshimiwe na mambo ya siasa wayafanye baada ya ibada. Kwa namna mahubiri ya Askofu Ruwaichi yalivyojaa hekima ya Mungu yalipelekea hata mgeni rasmi ambaye ni mwanasiasa kutumia zaidi maandiko ya Biblia katika salamu zake. Ahsante!
Maaskofu wote wa katoliki wanafanya kazi chini ya TEC; kasome tena waraka wao wa kwaresma
 
Watu wanasahau kuwa uongozi Wa kwanzA alopewa adam katika maisha yake ndio kufuata maagizo ya aliye muumba na iliendelea hivyo .mambo yanaharibika wanadamu wakitunga sheria za kuwatawala watu. Sheria zikatupwa. Wana israel (yakubu)wakachukuliwa kuwa watumwa .musa akaletwa na sheria au mfumo sahihi Wa maisha .

Pia ukakunjwa na utawala kwa faida ya watawala. Akaletwa yesu waKamkana na kumkataa .kaja muhamad .na pia nchi as kiislamu zimetupa quraan ambayo ni mfumo wote Wa maisha.
Kifupi ili kupata mafanikio siasA haina pahala kattika uumbaji na uendelezaji wa mwana Adam. Dini ni kila.kitu
 
Leo nimejifunza kitu kikubwa katika kuhusanisha dini na siasa kupitia maaskofu wa Kanisa Katoliki. Askofu Ruwaichi katika mahubiri yake kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuzungumza hata sentensi moja iliyohusu siasa bali alijikita kwenye Injili. Baada ya misa takatifu kukamilika wakati wa kusoma risala kwa mgeni wa heshima ndipo walau siasa kidogo ilionekana. Ninakumbuka wakati wa ule mgongano wa Kakobe na TRA siku ya ibada katikati ya mahubiri askofu Kakobe akaanza kuwashambulia maofisa wa TRA. Kadhalika wakati wa mgogoro wa Gwajima na Makonda ilikuwa ni katikati ya mahubiri askofu Gwajima alipoanza kumshambulia Makonda na karatasi aliyoiita ni cheti na kuanza kukisoma. Nawashauri hawa maaskofu wa Huduma za kiroho wajifunze kutoka Katoliki ibada ni lazima iheshimiwe na mambo ya siasa wayafanye baada ya ibada. Kwa namna mahubiri ya Askofu Ruwaichi yalivyojaa hekima ya Mungu yalipelekea hata mgeni rasmi ambaye ni mwanasiasa kutumia zaidi maandiko ya Biblia katika salamu zake. Ahsante!
Mahubiri ya kidini hasa siku kubwa za ibada iwe jumapili,jumamos au Ijumaa huwa yanawajibika kuongelea changamoto/Matatizo ya jamii kwa JUMA HUSIKA.
So Kakobe hana kosa,hajakosea na Ruwaichi umekiri "ameongelea siasa kidogo"
Shida ni kwamba hasa jamaa wakiongelea changamoto za kijamii,kisiasa au kiuchumi huwa mnasema siasa,ila wanasiasa wakiingia MAKANISANI wanapanda madhabahuni na wanaongea
 
Mkuu ili Uwe askofu wa catholic kuna process nyingi za kupitia kuanzia elimu ya darasani, elimu ya dini, uwezo wa kupambanua na kufikiri mambo. Catholic huwi askofu kwa kujipa mwenyewe Kama wanavyojipa kina gwajima. Catholic wana process zao za kupata maaskofu
Napenda kukujulisha tu kwamba Sir Isaac Newton hakuwa profesa.
 
Mahubiri ya kidini hasa siku kubwa za ibada iwe jumapili,jumamos au Ijumaa huwa yanawajibika kuongelea changamoto/Matatizo ya jamii kwa JUMA HUSIKA.
So Kakobe hana kosa,hajakosea na Ruwaichi umekiri "ameongelea siasa kidogo"
Shida ni kwamba hasa jamaa wakiongelea changamoto za kijamii,kisiasa au kiuchumi huwa mnasema siasa,ila wanasiasa wakiingia MAKANISANI wanapanda madhabahuni na wanaongea
Ruwaichi hajaongelea siasa kabisa mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Gambo ndio alikosea itifaki kwa kumtaja askofu Pengo badala ya Ngalalekumtwa lakini Rais Magufuli aliizingatia itifaki ipasavyo!

Kwa taarifa yako yeye rais ndio alimtaja Pengo zaidi ya Gambo. Tumesikia sio kuhadithiwa.
 
Iv ninani anaweza kuitenganisha siasa na maisha yetu ya kila siku mf .Yesu alitolewa hukumu na Pilato ambaye ni mwanasiasa pia kipindi Yesu yupo mdogo alienda kuhesabiwa na mamaye pamoja na Joseph hy nayo ni siasa. Tuwe makini na imani zetu.
 
Kwa taarifa yako yeye rais ndio alimtaja Pengo zaidi ya Gambo. Tumesikia sio kuhadithiwa.
Mimi sizungumzii kutajwa mara nyingi bali kuwatambua viongozi wa Kanisa kwa kufuata protocal. Gambo hakumtambua kabisa Rais wa Tec Askofu Ngalalekumtwa ila alimtambua Kardinali Pengo. Magufuli alianza kwa kumtambua Askofu Amani, kisha Rais wa Tec, kisha Kardinali kisha Askofu mstaafu, maaskofu wakuu.......!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ile teolojia aliyoshusha askofu mkuu Ruwaich pale naamin wengi wameambulia patupu hata baadhi ya wakatoliki, ni shule yenye kiwango cha juu mno, sio rahisi kupata nje ya kanisa katoliki, ndo maana hadi viongozi wa serikali waliogopa wakabaki "kutubu" tu kwamba ni "wadhambi".... Ninavyojua Mimi na uelewa wangu huu mdogo, "Mahubiri" yana namna yake ya kuyaandaa, inaitwa "Homilia Takatifu", ni tofauti na risala, hotuba au maoni binafsi ya kasisi, hii ni shule muhimu sana kwa wahubiri wetu wote na wakitaka wanaweza kuisoma, bahati mbaya sana wengi wao hawaonekani kujali hili, wanayo mambo yao mengi mengine.
Askofu mkuu Ruwaichi amebobea katika falsafa na amepata PhD yake Pontifical Gregorian University, One of the prestigious catholic church university led by the Jesuits
 
Hiyo Phd amepatia kwenye chuo gani...??? Ameandika Thesis ipi...???

Gwajima sidhani hata Form six kamaliza..???
Mkuu tusiuwe mende aliye juu ya meza ya kioo kwa kutumia nyundo.
Naomba tuweke hapa chapisho aliloliandika Magufuli mpaka likampatia hiyo PhD au fanya kutuambia lilitangazwa wapi tufanye kujifunza pia alichoandika.
 
Back
Top Bottom