Dini ina athari gani katika uwezo wa kufikiri kwa hoja zenye mashiko "critical thinking" kwa watu

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
36,569
44,223
Katika kuwasikiliza, kuwasoma na kujadiliana sana na Atheists nimegundua wengi wana uwezo mkubwa sana ya kujenga hoja kwa mantiki sahihi, kufanya tathmini na kufikia hitimisho la jambo kwa "logical reasoning" kwa usahihi.

Wengi wao(karibia 99%) huwa hawapendi kujadili jambo lolote kwa hisia au bila uthbitisho mzuri. Kila mara watazungumzia jambo kwa uthbitisho wa facts au sayansi, na hii sio kwenye masuala dini tu bali hata katika mambo mengine kama siasa, uchumi n.k.

Pia ni nadra kumkuta Atheist au mtu asiyehusudu dini anaamini conspiracy theories au story za kupikwa za uongo uongo ambazo huzuka na kusambaa mitandaoni kwa kipindi fulani.

Je, kuna mahusiano yoyote kati ya uwezo wa akili kufikiri na imani ya mtu katika maisha kwa ujumla?
 
Dini ni imani, imani haihitaji kufikiri zaidi ya kuamini unachokiona au kusikia…. na kuna vitu hupaswi kuhoji.

Hao uliowaita atheists lengo lao ni ku-challenge tu imani za watu au vitu fulani, ndio maana inabidi wafikirie….. ili wapate kushinda kwenye hizo ligi uchwara.

Kiranga
 
Dini ni imani, imani haihitaji kufikiri zaidi ya kuamini unachokiona au kusikia…. na kuna vitu hupaswi kuhoji.

Hao uliowaita atheists lengo lao ni ku-challenge tu imani za watu au vitu fulani, ndio maana inabidi wafikirie….. ili wapate kushinda kwenye hizo ligi uchwara.

Kiranga
Endelea
 
Kuna a)Atheist/atheist humanist,
b)Agnostic
c)Deist
d)Rationalist
e)Securalist:


'you show me one step forwad in the name of religion,i will show you a hundred retrogressions'.....


Dini moja ya taasisi/mfumo/ katika mingi ya kiumbe hai human being iyochangia pakubwa kuleta maangamizi/majanga kwa dunia maisha na bado inaendelea kwa kiasi chake,dini inakupa jicho lake uyatazame maisha yako yote na ulimwengu kwa ujumla hata kama inapingana na uhalisia wa maisha,kumbuka dini zipo nyingi sana(christianity,islamic,buddhism,judaism,Hinduism,jJainism,Sikhism, bahai,Folk african religion,Folk china religion,

sasa taabu/matatizo makubwa huja pale unapokutana na bwana mwingine ana jicho lingine la dini...Hapo chuki,matengano,vita,n.k huzaliwa,

Je,dini zote zaweza kuishi pamoja bila kusahau watu wasio na dini bila kuvurugana.??? Jawabu ni hapana.

Dini kwa walio wengi ambao tunaweza kuwaita ni "victims" /wahanga inawafanya kuwa wa watumwa wa fikra,zombie/zuzu pale wanapoutazama ulimwengu kwa ujumla..(hatakiwi kuhoji kwa kina,hutakiwi kufikiri kwa kina nje ya mifumo uliyowekewa)!!


A little doubt is better than total credulity, doubt is the greatest gift we can give to each other,,

doubt means "being capable of thinking independently,being capable of questioning and being skeptical"


ALL RELIGIONS ARE CONTRURY TO REASON & SANITY!
 
Katika kuwasikiliza, kuwasoma na kujadiliana sana na Atheists nimegundua wengi wana uwezo mkubwa sana ya kujenga hoja kwa mantiki sahihi, kufanya tathmini na kufikia hitimisho la jambo kwa "logical reasoning" kwa usahihi.

Wengi wao(karibia 99%) huwa hawapendi kujadili jambo lolote kwa hisia au bila uthbitisho mzuri.Kila mara watazungumzia jambo kwa uthbitisho wa facts au sayansi, na hii sio kwenye masuala dini tu bali hata katika mambo mengine kama siasa,uchumi n.k.

Pia ni nadra kumkuta Atheist au mtu asiyehusudu dini anaamini conspiracy theories au story za kupikwa za uongo uongo ambazo huzuka na kusambaa mitandaoni kwa kipindi fulani.

Je, kuna mahusiano yoyote kati ya uwezo wa akili kufikiri na imani ya mtu katika maisha kwa ujumla?
Naona umeigeuza maana ya kufikiri kwa usahihi, na kuipa maana nyingine kabisa.

Hakuna watu wajinga na wenye kufikiri kitoto kuwazidi "Atheist".

Kwanza nyenzo yenyewe wanayo itumia ina madhaifu mengi. Mtu ambaye anamkana Mola ambaye hamjui, mtu ambaye hajui tu hata lengo la yeyw kuwepo duniani ni nini, leo anaitea mwenye kujadili kwa facts.

Mimi mtoa mada nakupa kazi moja, tuletee facts "mbili" tu za wakana Mungu, na utuletee uthinbitisho mmoja tu toka kwa wakana mungu wakithibitisha ya kuwa Mola hayupo.

Sasa usiwe mjinga kiasi hiki, kuna muda mnajidanganya mpaka ule ujinga unaona haya.
 
Dini inalevya akili, unaishia kukariri tu ili kuilinda dini yako kwa kila jambo litakaloifika, hawaikubali hoja hata kama ipo kwenye maandiko ya vitabu vyao wanavyoviabudu.

Mara nyingi wengi hutumia "mob psychology" inayoambatana na ushabiki kuamua mambo ya dini yao [kuwapinga critics] huku wakijitapa wana umoja.
 
Kujua ni kukielea kitu kwa undani zaidi kupitia milango yako ya fahamu lakini KUAMINI ni kutokijua kitu kwa undani zaidi kwahiyo unaamua kupokea kama unavyohadithiwa na watu.
 
Katika kuwasikiliza, kuwasoma na kujadiliana sana na Atheists nimegundua wengi wana uwezo mkubwa sana ya kujenga hoja kwa mantiki sahihi, kufanya tathmini na kufikia hitimisho la jambo kwa "logical reasoning" kwa usahihi.

Wengi wao(karibia 99%) huwa hawapendi kujadili jambo lolote kwa hisia au bila uthbitisho mzuri. Kila mara watazungumzia jambo kwa uthbitisho wa facts au sayansi, na hii sio kwenye masuala dini tu bali hata katika mambo mengine kama siasa, uchumi n.k.

Pia ni nadra kumkuta Atheist au mtu asiyehusudu dini anaamini conspiracy theories au story za kupikwa za uongo uongo ambazo huzuka na kusambaa mitandaoni kwa kipindi fulani.

Je, kuna mahusiano yoyote kati ya uwezo wa akili kufikiri na imani ya mtu katika maisha kwa ujumla?
Kwa Africa hii ,uwezo wa kufikiria wa watu unaathiriwa na mihemko ya dini zao na ukabila hakuna cha critical thinking..

Hapa Africa watu hawachagui kiongozi kwa sababu ya kumpima kwa matokeo na matendo yake bali ukabila na dini yake..

Miafrica ni mijinga Sana.
 

Sio wote mkuu, kuna Waafrika wengi hawaendeshwi na kabila au dini.
Kwa Africa hii ,uwezo wa kufikiria wa watu unaathiriwa na mihemko ya dini zao na ukabila hakuna cha critical thinking..

Hapa Africa watu hawachagui kiongozi kwa sababu ya kumpima kwa matokeo na matendo yake bali ukabila na dini yake..

Miafrica ni mijinga Sana.
 
Katika kuwasikiliza, kuwasoma na kujadiliana sana na Atheists nimegundua wengi wana uwezo mkubwa sana ya kujenga hoja kwa mantiki sahihi, kufanya tathmini na kufikia hitimisho la jambo kwa "logical reasoning" kwa usahihi.

Wengi wao(karibia 99%) huwa hawapendi kujadili jambo lolote kwa hisia au bila uthbitisho mzuri. Kila mara watazungumzia jambo kwa uthbitisho wa facts au sayansi, na hii sio kwenye masuala dini tu bali hata katika mambo mengine kama siasa, uchumi n.k.

Pia ni nadra kumkuta Atheist au mtu asiyehusudu dini anaamini conspiracy theories au story za kupikwa za uongo uongo ambazo huzuka na kusambaa mitandaoni kwa kipindi fulani.

Je, kuna mahusiano yoyote kati ya uwezo wa akili kufikiri na imani ya mtu katika maisha kwa ujumla?

IMG_0003.jpg

Atheists be like
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom