Dilunga alimkoseaga nini Gomez? Nimepumzika na utopolo

Benchi la ufundi nalo lina mbinu za hovyo kabisa. Una mtaji wa goli mbili za ugenini tayari halafu unaacha timu icheze "open game" kiasi kile unategemea nini? Cha kuchekesha zaidi bado tena wakapata na goli lingine la tatu hapa lakini bado benchi la ufundi halikutaka kufunga mahesabu mapema lizuie halafu lishambulie kwa kushtukiza. Kweli sikio la kufa halisikii dawa.

Anyway labda Mungu ameamua kuikoa Simba na aibu ambayo wangekutana nayo mwaka huu kwenye "Champions League". Kwa aina ya mchezo waliocheza leo halafu ndio wakutane na Mamelodi au Al Haly wapo "on fire" hakika ingerudi zile zama za tano tano.
 
Kalinho alikuwa mchezaji hatari sana sio huyu Banda
Dogo hadi kesho namkumbuka, sema ndo vile tena ameshindwa ku-cope na mazingira ya Bongo!

Nimemlinganisha na Banda kwa sababu nasikia Banda nae amewekewa mtu special pale kwa Makolo kama ilivyokuwa kwa Kalinyo ambae ilibidi atafutiwe mpishi wake peke yake!!
 
Mkuu acha kukata tamaa! mapema sana, vijana wanaweza! tatizo ni umakini tu! na wengi wao wanaichukulia poa simba ila baada ya haya matokeo ndo wataijua simba halisi.

Nafikiri baada ya hapo akili itawakaa sawa na watacheza mpira unaotakiwa na wanasimba.
Huo mpira utasaidia nn?! Hii ndio ilikuwa mechi muhimu! Wamepoteza wwchezaji ni wasenge hawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom