Dili la tiketi za bei ya chini kabisa kutoka Fastjet kwa mwezi Septemba 2016

Magazetini

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
588
1,698
Wakati wa kufanya maandalizi yako ya safari kwa kusafiri mwezi Septemba umefika! Usichelewe kuna jumla ya siti 21,000 kwa bei za chini kabisa kuelekea sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Unaweza kusafiri kwaajili ya biashara, mapumziko au kutembelea ndugu, jamaa na marafiki kwa kununua tiketi yako sasa.

Unangoja nini fanya maandalizi ya safari yako sasa kwa kununua tiketi yako mapema ili ujihakikishie kupata bei ya chini kabisa. Kumbuka kwamba tiketi za bei ya chini kabisa ni kwa wale watakaowahi, na usipopata za bei ya chini kabisa bado unaweza kupata bei ya chini inayofuata.

Angalia bei zetu za chini kabisa kuelekea vituo vyetu mbalimbali hapo chini, nauli hizi zimejumuisha gharama ya kodi.


Nauli na Muelekeo wa safari:

- Dar es Salaam to Zanzibar (Tsh 79,000)

- Dar es Salaam to Kilimanjaro (Tsh 79,000)

- Dar es Salaam to Mwanza (Tsh 79,000)

- Dar es Salaam to Mbeya (Tsh 79,000)

- Dar es Salaam to Nairobi (Tsh 173,800)

- Dar es Salaam to Entebbe/Johannesburg/Harare/Lusaka (Tsh 217,800)

- Zanzibar to Johannesburg (Tsh 217,800)

- Harare to Johannesburg ($100)

- Harare to Victoria Falls ($38)

- Harare to Dar es Salaam ($100)

- Johannesburg to Harare/Victoria Falls/Dar es Salaam/Zanzibar (R1,381)

- Nairobi to Dar es Salaam (KES 7,700)

- Lusaka to Dar es Salaam (ZMW 1,080)

- Entebbe to Dar es Salaam (Ush 428,800)

- Entebbe to Kilimanjaro (Ush 428,800)
 
we huoni uwanja wa taifa jana mpaka mabomu yalipigwa na geti kung'olewa chezea bure wewe
 
Back
Top Bottom