Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

West A ipi? wakati Davido alimzawadia mwanae wa miaka 5 zawadi ya Gari kwenye birthday yake, sasa mtoto wa miaka 5 na Gari wapi na wapi!! Hizi pia ni mbwembwe sema mmekuwa wavivu kufatilia
Hizo ni mbwembwe za kisela sio mbwembwe za kufokea wengine. Atumie pesa imzoee
 
Hizo ni mbwembwe za kisela sio mbwembwe za kufokea wengine. Atumie pesa imzoee
Ahahahahahaha unapenda kuhamisha sana magori, hakuna usela kwenye pesa, anaonyesha Jeuri ya pesa ili wanaomfatilia wajue, kufokea muhimu ndio maana mzee Mengi alifokewa na Manji, akataka alipwe shilingi sio mamilioni
 

Habarini Wana JamiiForums.

Taarifa nzuri kwa WCB Fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio ikawa ALBUM ya kwanza kutuletea GRAMMY AWARD.

Maana WARMER MUSIC GROUP Ni kampuni kubwa ya usambazaji wa kazi za wasanii ulimwenguni na hii inaonyesha kuwa kutakuwa na nawe ya wamarekani Kama yote.

ALBUM itakuwa Ni ya kwenda na kuwafikia watu wengi kwa mda mchache kudos kwa WCB na wadau wote waownda Muziki mzuri.

BONGO FLAVOR TO THE WORLD.
Diamond Teja?
 
Umemaliza !! Tatizo elimu mkuu..sisi wabongo chawa tukishaoneshwa warner sijui werner na mapichapicha instagram basi tunaona bonge la dili la mapesa mengi kwahio hata tunayemfanyia kazi ya uchawa asipoandikwa forbes tunakuja kulialia mitandaoni
Endelea kukaza fuvu
 
Hangelia nakwambia, watu wenye hela zao za maana hawana time ya kijinga ka hiyo ya kupiga kelele zisizo na faida kwake. Kanye West anawazimu, Mondi asijilinganishe na yule, ni zaidi ya WCB
Kama Kanye Ni wazimu basi Diamond platinumz Ni kichaa wa kutupwa Diamond platinumz Ni
 
Back
Top Bottom