AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama
1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani anatania mpaka pale ambapo hakufai kutania ........mnaongea mada nzito nzuri na deep yy anaingiza utani wa ajabu ambao hata hukuutegemea ndani ya mazungumzo
2.hataki kua karibu na mm mda wote hata kama mm nikionesha kutaka kua naye
3.ni muoga sana cjui anaogopa nn sasa mwe!
4.nimeshamueleza v2 vyote ninavopenda na nisivopenda ila yy bado haelewi sasa sijui ni utoto unamsumbua au bado tu ni akili hazijapevuka mana mpaka nilishamuuliza kwani hujawai kuwa na mahusiano jamani ktk maisha yako ningekua sijawai kutiana naye pengine ningekua na wasiwasi ila yuko poa tu na so hot
1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani anatania mpaka pale ambapo hakufai kutania ........mnaongea mada nzito nzuri na deep yy anaingiza utani wa ajabu ambao hata hukuutegemea ndani ya mazungumzo
2.hataki kua karibu na mm mda wote hata kama mm nikionesha kutaka kua naye
3.ni muoga sana cjui anaogopa nn sasa mwe!
4.nimeshamueleza v2 vyote ninavopenda na nisivopenda ila yy bado haelewi sasa sijui ni utoto unamsumbua au bado tu ni akili hazijapevuka mana mpaka nilishamuuliza kwani hujawai kuwa na mahusiano jamani ktk maisha yako ningekua sijawai kutiana naye pengine ningekua na wasiwasi ila yuko poa tu na so hot