- Thread starter
- #41
Nenda mpk leo Uganda umseme vibaya Iddi Amini utasikia majibu ya waganda.Mbona Iddi Amini, Hittler na Bokassa hawajaliliwa wametofautiana nini? Na wengine
Nenda mpk leo Uganda umseme vibaya Iddi Amini utasikia majibu ya waganda.Mbona Iddi Amini, Hittler na Bokassa hawajaliliwa wametofautiana nini? Na wengine
Stalin baada ya zile purges zake zilizoondoa wazoefu wengi jeshini akaja gundua bila majenerali wa kijeshi vita yeye haiwezi. Akawa anawasikiliza kina Rokossovsky, Zhukov na wengineo wakibuni mbinu yeye anapitisha kama declaration. Akatumia na makamisaa kupambana vitani.Pamoja na ‘udikteta’ , Stalin ndiye shujaa aliye iokoa dunia wakati wa vita kuu ya dunia ya pili kutoka mikononi mwa wajeruman chini ya adolf hitler
Watanzania wanamlilia magu kwasababu kawapa elimu bure kawapelekea umeme vijiji karibu vyote kawapelekea maji watotowao elimu ni bure kawaruhusu machinga kuuza bidhaa zao popote achilia mbali miundombinu wewe ndo chatu usiyeona haya na unajitahidi kujenga hoja dhaidu yenye mtazamo dhaifu hakika magu amewashika pabaya sana ata mkimchafua mawe yatamsafishaMnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.
Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.
March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.
Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.
Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.
View attachment 1733441
🤣 🤣 🤣 Dah jamaniMataga watapinga hili...Wengine wanaenda kushuhudia ni kweli kama amekufa?
Alikuwa dictator according to USA, jaribu kusoma media za nje zinavyomwelezea magufuli.Mnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.
Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.
March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.
Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.
Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.
View attachment 1733441
Animal farmMnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.
Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.
March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.
Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.
Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.
View attachment 1733441
Ameshasema mtu hatari,mnyama hatari.Hata kibaka akifa inakuaga hivyo hivyo
Kabisa...... Mafala hawa. Wanasheherekea mtu ambaye afadhali yake ni kutumia pesa kujenga miundo mbinu wanataka majizi ndio yawe na hatamu serikaliniMaisha yetu yatabadilika siku ukizikwa wewe na wenzio mnaosherehekea kama wale nyani wa kwenye hadithi waliosherehekea kifo cha mkulima wasijue watakufa njaa baadaye
Wewe unawasemea kama nani tuanzie hapo?!Watu wengi sana wamelia mkuu.
Waliobomopewa pale Kimara.
Ndugu wa Azory.
Ndugu wa Ben Sa8.
Ndugu wa Lisu, Kabendera, Rugemalira, Harbinder Seith, n.k
Ndugu wa wafanyabiashara waliofilisiwa, walioporwa fedha zao n.k
Wakulima wa korosho.
Wakulima wa mahindi na mbaazi.
N.k
nadhan ni vema ungeacha chumvi zisizo na kichwa wala mkia, na uache kuiba posts twitter!Jibu lipo kwenye uzi. Soma tena mkuu
Acha uongo..... Hapo Uganda idd amini hakuna ambalo alifanya zaidi ya kukoroga koroga inchi na kulazimisha mambo yaende anavyotaka yeye?!Nenda mpk leo Uganda umseme vibaya Iddi Amini utasikia majibu ya waganda.
Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangaliaMnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.
Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.
March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.
Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.
Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.
View attachment 1733441
AiseeHata kibaka akifa inakuaga hivyo hivyo
Kwa hiyo hao watu walilia pia huku wameshika matawi ya miti pia mbona mnatoa mifano ya kipumbafu etiNakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia