Hiram Abiff
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 896
- 676
Duh isije kuwa anajidai kafilisika ili asilipe ile faini ya dola ml 5jamaa kapigika kweli,
Duh isije kuwa anajidai kafilisika ili asilipe ile faini ya dola ml 5jamaa kapigika kweli,
USA baby.....
Ila hiyo list ni updated kweli?
hao kazi yao ni majungu tu na kufuatilia maisha ya watuHivi na wamiliki wa hiyo forbes ni namba ngapi kiutajiri, maana huwa naona wakitaja wenzao tu wakati wao siwaoni kwenye orodha.
Hey this is too much aint say no moremr respek yuko namba nne! All tree people above him.
Hahahaha Forbes did not "respsek" his name!
naona kama cashmoney itafulia soon. pia siamin kama dre kashapitwa wakati alikua anaongoza. kwell diddy ni real hustler anazitafuta sana natamanbkujua zinaingiaje.
pia dogo drake yuko vizuri ila naona baada ya kuingia freemason ndo mkwanja ukaongezeka. now kampita had wayne na kanye sio mbaya.
Dre hajawahi kumpita Diddy... Ile deal ya monster beat ilikuwa imefichwa mwanzoni, watu wakapredict kuwa huenda jamaa kakunja $ billion, kumbe sio. Ile deal ndo imemtoa kutoka net worth ya arround $300 mil mpaka hiyo $710 m.
Still Diddy ana ndoto ya kuwa first black billionaire from the show bizz.
Hivi na wamiliki wa hiyo forbes ni namba ngapi kiutajiri, maana huwa naona wakitaja wenzao tu wakati wao siwaoni kwenye orodha.
Kwa biashara za machungwa atasota sana. Hao kina Dre na Diddy wana misheni zao za kitambo sana.DRAKE- anakuja kasi sana i'll not surprised if he broke into top 3.
Huyo jamaa atacheza hapo 60 akifika 200 wenzie watakuwa kwenye bilions.nimejiuliza sana katka hii, hvi ni mbali na muziki drake anachanzo kipi kingne cha mapato? na ukizngatia wasanii hasa wanahphop huwa hawafich biznes zao. mana wasanii weng wa hiphop naona wanapga biashara kumzidi hata yeye na wanacontrol lebel kubwa sana pale town like rickross and dj khalid. bt how come yeye? na ukichek wikipedia mbna rapperz kibao wanadollarz zilizopita hiyo mil.60 like niki minaj....!?
hivi kanye ni ligi ndogo tu huko mambefele..
Siju forbes wamepangaje lakini kuna watu kama rusell simon wana 300m master p nayy anayo kama 300m ronald slim brother ake birdman anazo kama 175m, kanye anazo kama 135m hiyo n according na celrbity net worth sijui hao forbes wamepanfajemtu kama lil wyne ana almost 135 million dollarz sasa inakuaje huyo drake akae hapo namba tano na hzo million 60 zake jaman,