MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
............so wanalipiza kwa wapalestina ? ...................wale wale !
Palestina ni mfilisti yule aliye tandikwa na David. Yaani mpaka leo hii bado tu mmeshindwa.
............so wanalipiza kwa wapalestina ? ...................wale wale !
... And finally do you know who is the terrorist now ?
kama mtu yupo palestina,anatakiwa ahame-maana yupo kwenye wrong place,so kwa hao wanaobaki let them die,israel hapo ilipo ipo sawa maana ndo mahala ilipotakiwa iwepo,maswala ya kutenda haki sehemu ambayo mtu hana haki yapo tz,si israeli.Buchanan,
watu wenye maarifa hawashabikii mizani iliyolalia upande wa dhulma na batili katika haki, hebu tathmini unachoongelea na hali halisi inavyotokea mashariki ya kati, sisi Mkuu tunaiyona kwa macho yetu huku, pengine ww unaona kupitia cnn, bbc etc, sasa hoja zako za kishabiki shabiki nashindwa nianzie wapi kukuelewesha ufahamu kuwa wanaokufa Palestina si waislamu tu, wamo watu wa dini nyengine pia lkn tunachokizungumzia ni maafa ya wote.