muhuni mpya
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 300
- 160
kuna sehemu nilisikia kuna jitu moja ndio liliobaki ambalo maji yalikuwa yamemfikia kiunoni lililopewa kazi ya kuizuia ile safina isiweze kwenda mbali,naujiulize kwanini baada ya ghalika safina haikwenda mbali na eneo lileAhsante kwa mchango wako lakini hapa bado inaniacha na maswali kidogo labda uniweke sawa
1. Kama waliangamizwa na gharika je hao 'MAJITU' yaliyokuja baada ya gharika mfano Goliath au Mfalme Ogu walitokea wapi??
2. Kama walitokana na malaika ina maana malaika walizaa upya na wanadamu baada ya gharika??
3. Kama walikuwepo baada ya gharika je kizazi chao kimeishia wapi kiasi leo hatunao tena duniani??
Tutoe tongotongo kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app