DID GIANTS EXIST? Historia ya Majitu ya Kale

Vipi hakuwahi kukusimulia kuhusu asili (wazazi au ndugu na jamaa) ya huyo giant?
ACTUALLY BABA YUPO UMRI KARIBU 95 YRS. huyu nikipata nafasi nitamwuliza alikuwa anatoka kata jirani. Sikuwa nafikiria haya mambo ktk umri wa kukaa na kusimuluwa na bibi. bibi alisoma mpaka darasa la 2 la kijerumani. Alikuwa anatusaidia kuimba a be che de.wakati tuko che,echea 1960 na dada yangu. nilisoma sekondari iliyokuwa haina masomo kama historia jografia wala buologia. hivo sikuweka umuhimu ktk mmasimulizi ya bibi.hata home kuna sehemu bibi alisema wajerumani walilipua na kufukia vitj wakati wa vita ya pili. waliotesha mzambarAU ila ulikwisha kufa. napafahamu sihui walizika kitu gani
 
Ndugu zangu ...
Ni vile kuna udhaifu mkubwa sijui wa makusudi au bahati mbaya wa kufukia na kutofatilia wala kuyapa umuhimu mambo kama haya!
Naamini kuna sababu ,maana ni vitu vilivyo wazi...na tuna hazina nzuri za watu wenye uwezo wa kufuatilia na wakatujuza mambo mengi
tusiyoyajua ila yenye faida kubwa kwetu na vizazi nyetu!
Mimi binafsi naamini kuna kitu nyuma ya pazia...kwa nchi za Africa ...na inawezekana kuna baadhi yetu wanajua sababu lakini wanarithishana
" kuyafumbia macho "
Kwa mfano..fuvu la Olduvai hata wazungu wamekubali kuwa ni binadamu wa kwanza...lakini wala haikupewa uzito unao stahili...kwamba hapo ndio wangeanzia tafiti zaidi ili kujua mengi ambayo labda hayakuacha alama au zilipotea kwa kukosa utunzaji na miaka kupita!
Niliwahi kuambiwa na wazee kwamba aliwahi kuzaliwa jitu ambaye alikuwa anarefuka kila baada ya mda mfupi,sasa ikabidi afanyiwe hila auliwe mapema kabla hajawa mtu mzima maana angefika mawinguni na ingeleta shida!
Walimuua kwa " punju "
Habari za" Unju " mwenye maguvu tulisimuliwa tukiambiwa alipata kutokea sehemu za Wangindo Kilwa na Bagamoyo ....
Sasa ukikusanya maelezo mbali mbali ya watu na kuchunguza kweli hatuwezi kundua kitu hapo??

NB.inawezekana sana tu kuwa historia ya mwanadamu imegeuzwa na kufanywa kinyume kwa maslahi ya watu flani!
Walishatuweza karne nyingi tu nyuma!
 
Ndugu zangu ...
Ni vile kuna udhaifu mkubwa sijui wa makusudi au bahati mbaya wa kufukia na kutofatilia wala kuyapa umuhimu mambo kama haya!
Naamini kuna sababu ,maana ni vitu vilivyo wazi...na tuna hazina nzuri za watu wenye uwezo wa kufuatilia na wakatujuza mambo mengi
tusiyoyajua ila yenye faida kubwa kwetu na vizazi nyetu!
Mimi binafsi naamini kuna kitu nyuma ya pazia...kwa nchi za Africa ...na inawezekana kuna baadhi yetu wanajua sababu lakini wanarithishana
" kuyafumbia macho "
Kwa mfano..fuvu la Olduvai hata wazungu wamekubali kuwa ni binadamu wa kwanza...lakini wala haikupewa uzito unao stahili...kwamba hapo ndio wangeanzia tafiti zaidi ili kujua mengi ambayo labda hayakuacha alama au zilipotea kwa kukosa utunzaji na miaka kupita!
Niliwahi kuambiwa na wazee kwamba aliwahi kuzaliwa jitu ambaye alikuwa anarefuka kila baada ya mda mfupi,sasa ikabidi afanyiwe hila auliwe mapema kabla hajawa mtu mzima maana angefika mawinguni na ingeleta shida!
Walimuua kwa " punju "
Habari za" Unju " mwenye maguvu tulisimuliwa tukiambiwa alipata kutokea sehemu za Wangindo Kilwa na Bagamoyo ....
Sasa ukikusanya maelezo mbali mbali ya watu na kuchunguza kweli hatuwezi kundua kitu hapo??

NB.inawezekana sana tu kuwa historia ya mwanadamu imegeuzwa na kufanywa kinyume kwa maslahi ya watu flani!
Walishatuweza karne nyingi tu nyuma!
Tunaweza kuchunguza tukajikuta kumbe hapa ndo kanaani
ohooo
Tukajikuta kumbe ndo sisi taifa teule
 
Tunaweza kuchunguza tukajikuta kumbe hapa ndo kanaani
ohooo
Tukajikuta kumbe ndo sisi taifa teule
Mkuu...umenifanya kucheka wallah!
Inawezekana hii Africa ndio palikuwa na bustani ya "eden"...maana mbona huko M.East hakuna hata sifa hizo?
Angalia Tz..wanyama..mito...misitu.., hata Uganda.....Congo....Ethiopia nk...na mpaka mto Nile nishawahi soma inasemwa ulianzia kwetu.....madini...na kila utajiri uko huku!
Afu hata hao wanaoitwa mayahudi..mbona walitaka kuwapeleka Uganda wale Ethiopians waliokwenda kuishi Israel ....sema nadhani wakaona tutashtukia maana itabidi sasa ijulikane kwamba huku ndio nchi ya ahadi yenye maziwa na asali!

Japo kuwa juzi kati hapa ..nasikia serikali ya Uganda imekubaliana na Waisrael ...kuwapokea wa Ethiopia walioamua kurudi kwao kwa asili kwa kujibu wa imani yao, yaani Israel.....
Sasa sijui inawarejesha kwao Kanaan Uganda au ndo haiwataki kwa vile ni weusi..so wanaogopa kuunganishwa na koo za weusi maana hapo itajulikana tu...kama Suleiman ...Nuhu...Yessu na wengineo walikuwa na rangi gani!
 
Mkuu...umenifanya kucheka wallah!
Inawezekana hii Africa ndio palikuwa na bustani ya "eden"...maana mbona huko M.East hakuna hata sifa hizo?
Angalia Tz..wanyama..mito...misitu.., hata Uganda.....Congo....Ethiopia nk...na mpaka mto Nile nishawahi soma inasemwa ulianzia kwetu.....madini...na kila utajiri uko huku!
Afu hata hao wanaoitwa mayahudi..mbona walitaka kuwapeleka Uganda wale Ethiopians waliokwenda kuishi Israel ....sema nadhani wakaona tutashtukia maana itabidi sasa ijulikane kwamba huku ndio nchi ya ahadi yenye maziwa na asali!

Japo kuwa juzi kati hapa ..nasikia serikali ya Uganda imekubaliana na Waisrael ...kuwapokea wa Ethiopia walioamua kurudi kwao kwa asili kwa kujibu wa imani yao, yaani Israel.....
Sasa sijui inawarejesha kwao Kanaan Uganda au ndo haiwataki kwa vile ni weusi..so wanaogopa kuunganishwa na koo za weusi maana hapo itajulikana tu...kama Suleiman ...Nuhu...Yessu na wengineo walikuwa na rangi gani!
Nakwambiaje jichunguze utajikuta una ukoo na Henoko
 
HASWA
Mkuu...umenifanya kucheka wallah!
Inawezekana hii Africa ndio palikuwa na bustani ya "eden"...maana mbona huko M.East hakuna hata sifa hizo?
Angalia Tz..wanyama..mito...misitu.., hata Uganda.....Congo....Ethiopia nk...na mpaka mto Nile nishawahi soma inasemwa ulianzia kwetu.....madini...na kila utajiri uko huku!
Afu hata hao wanaoitwa mayahudi..mbona walitaka kuwapeleka Uganda wale Ethiopians waliokwenda kuishi Israel ....sema nadhani wakaona tutashtukia maana itabidi sasa ijulikane kwamba huku ndio nchi ya ahadi yenye maziwa na asali!

Japo kuwa juzi kati hapa ..nasikia serikali ya Uganda imekubaliana na Waisrael ...kuwapokea wa Ethiopia walioamua kurudi kwao kwa asili kwa kujibu wa imani yao, yaani Israel.....
Sasa sijui inawarejesha kwao Kanaan Uganda au ndo haiwataki kwa vile ni weusi..so wanaogopa kuunganishwa na koo za weusi maana hapo itajulikana tu...kama Suleiman ...Nuhu...Yessu na wengineo walikuwa na rangi gani?

Haswa naimani hawataweza kuhide kila kitu ukweliutajurikana.
 
Ushahidi wa kihistoria unathibitisha uwepo wa majitu japo historia inashindwa kututhibitishia asili yao.
Mpaka sasa hatujui haya majitu yalikuwa ni Uzao wa binadamu (Adam) au Ilikuwa ni jamii nyingine tofauti kabisa na jamii ya Binadamu. Hivyo kwenye huu mjadala tungesema: GIANTS DID EXIST, BUT WHERE DID THEY COME FROM AND WHERE ARE THEY NOW ???? Hapa sasa ndipo tungeanza kuja na nadharia za kidini ambazo zinatoka kwenye Biblia, Kurani na hadithi za kidini (Mythologies) au Utafiti wa kisayansi ambao unazungumzua mabadiliko kutokana na muda na mzaingira (Evolution)
Mkuu heshima kwako....

Nafurahi kukuona tena hapa kwa mara nyingine.Tumshukuru Mungu kwa pamoja mkuu na tuendelee kumuomba uzima zaidi na zaidi....

Nina machache ninayotaka kuongezea kwenye maelezo yako...

Hapo juu umeonesha hoja au swali tata kwamba historia inatuthibitishia kuwa hawa majitu walikuwepo lakini haisemi asili yao.Hoja hii ni nzito kweli kweli na huwezi kuamini naandika hapa nikiwa nasikia baridi kutokana na uzito wake.Nasikia baridi kwasababu inanisisimua na inaogopesha na kufurahisha kwa wakati mmoja....

Kuna mambo mengi sana hayapo sawa hasa haya ambayo mimi na wewe tunayaelewa.Sijajuwa kwa hakika ni kwanini hayako sawa ila nina asilimia kadhaa za uhakika kutokana na "dhana"kuwa kuna waliosababisha haya kwasababu mbali mbali....

Historia ikiwa ni moja ya haya "mambo" yasiyo sawa ndio sababu kuu ni kwanini haisemi asili ya hawa majitu ya enzi hizo.Lakini kingine cha kujiuliza ni kwamba,ni kwasababu ipi "wakubwa" wa dunia hawakiri hadharani kuwa kulikuwa na hawa majitu? Nasema hivi kwasababu sijapata kuona mahali wanakiri uwepo wake hadharani.Kama kuna mahali wamekiri basi itakuwa siyo mbaya ukanionesha mkuu...

Katika "pita pita" zangu naweza kusema kwamba zinaweza kuelezea kiduchu sana sababu ya historia kutosema asili ya hawa majitu...

Kwanza suala la wakubwa wa dunia kutokiri hadharani kuwa hapa duniani waliwahi kuwepo majitu linahusiana [kwa mtazamo wangu] moja kwa moja na historia kutosema asili yao.Ninavyoona wakubwa hawa watakapokiri hadharani kuwa majitu walikuwepo moja kwa moja swali litakalofuata ni asili yao na hili ndilo ambalo ni gumu zaidi na nina sababu za kuliona hivi hili...

Kutokana na "maendeleo" ya kiteknologia yaliyopo leo siyo kweli tumeshindwa kufahamu asili yao bali hawataki/hatutaki kusema asili yao kama vile ambavyo hawataki/hatutaki kukiri kuwa waliwahi kuwepo hawa majitu...

Ni ukweli [kwa mujibu wa pita pita zangu] kuwa duniani paliwahi kutembelewa na na viumbe ambao hawakuwa binadamu.Viumbe hawa inadaiwa walikuwepo hapa kabla ya binadam KUWEPO duniani na ujio wa binadamu hapa duniani ulionekana kama kikwazo kwao,naomba hapa nisiende ndani zaidi maana nitakuwa napotelea machakani kwenye ninachotaka kukisema...

Ushahidi wa kutembelewa kwa viumbe hawa nao ni tatizo kama vile ilivyo kuwa tatizo kuelezea asili ya majitu na kwa maana ile ile tunajikuta tunazunguka pale pale.Kwa nukta hii pia naomba nisijikite zaidi hapa maana tutaleta mada nyingine zaidi na ngumu zaidi...

Viumbe hawa ndiyo chanzo kikubwa sana cha tech tunayoiona leo [mtafute Phill Schneider utanielewa kidoogo kwenye hili].Viumbe hawa wameelezwa kwa namna tofauti tofauti kabisa katika masimulizi mbali mbali. Viumbe hawa ndio sababu ya jambo hili tunalolisema leo hii hapa,Majitu.....

Zipo nadharia mbali mbali za kuelezea jambo hili na nadharia ya Alien ni mojawapo na ndiyo sababu nadharia hiyo inapingwa vikali na hao hao wakubwa wa dunia.Uhusika wa viumbe hawa kwenye maarifa ya binadamu imepelekea usiri mkubwa kutokana na kile wanachokihitaji viumbe hao...

Kile wanachokihitaji ndicho kinafanya swali lako lisijibike leo au kesho maana likijibika ukweli utajulikana na kufanya "mission" yao kushindikanika....

Inategemea umesoma nini ili kujuwa wanachokihitaji viumbe hawa lakini niseme tu kuwa kinachofanya swali lako kushindikana ni MAHITAJI ya hawa viumbe kwetu na ikijulikana tu inakuwa tatizo na ndio maana wanaficha kweli kweli na kwa nguvu zote isijulikane...

Kule kisiwani Sardinia,kwa mfano,mafuvu na mifupa yote ya majitu iliyokuwa inafukuliwa na wenyeji wa maeneo yale ilizuiwa na serikali na baadaye kupelekwa Vatican na haikueleweka imeenda wapi baada ya hapo...

Kwenye milima yote ambapo iligundulika mashimo na mahandaki makubwa ambayo ndani yake kulikutwa mafuvu makubwa sana ya majitu haya,kule America ya Kusini [Latin America] milima hiyo yote ilichukuliwa na kanisa Katoliki na baadaye kujengwa kanisa juu ya milima hiyo [siyo mmoja ni mingi sana] na baadaye milango ya mahandaki hiyo kufungwa na kulindwa 24/7....

Maeneo yote ya "ajabu" au mabaki ya viumbe vya "ajabu" yamekuwa yakifungwa na serikali za nchi husika.Mkuu ni nini wanazuia kisijulikane? Kule Sardinia kuna Choppa maalum zinazurula kwenye maeneo "maalum" ambayo yanadaiwa yana mafuvu ya haya majitu...

Kuna eneo moja kuna maziko ya hawa majitu na kuna ngazi za kuingia kwenye jengo kubwa sana la ardhini ambalo ndilo lilitumika kuwazikia hawa majitu.Mzee mmoja anasema kuwa huwa wanashuka huko chini kwenda kufanya ibada zao na wanaamini mafuvu ya majitu hayo yatakuja kurudiwa na uhai tena.Mzee huyu anasema kwamba majitu yae yamezikwa kwa kusimama.....

Jengo hili ambao kwa juu hwezi kulifahamu lina eneo kubwa sana kwa chini na linalindwa hatari na huruhusiwi kuingia huko labda uwe mwenyeji na unafuailiwa unachoenda kufanya kule. Wanaruhusiwa wenyeji tu kuingia humo kwasababu wanakwenda kufanya ibada zao za kijadi hivyo hawawezi kuwa threat sana....

Kama mambo yapo hivi na zaidi ya hivi,unatarajia jibu la swali lako litapatikana kweli?

Viumbe waliosababisha mabadiliko haya ya kizazi ni viumbe gani na wanataka nini?

Sitaki kujibu swali hili japokuwa kuna aina ya majibu tayari wakuu wanayajadili kwenye huu uzi na nyuzi nyingine lakini,kama ulivyosema,umakini na tahadhari ni muhimu katika kuyafuatilia haya na kuamua kipi cha kuamini...

Kwa mtu mwingine haya yanaweza kuwa kama maneno ya mlevi na yasiyokuwa na maana lakini tuwe makini kweli kweli....

Sijaweza kuwa wazi sana na inaonekana kama nimeeleza nusu nusu,nimefanya hivi kwa sababu maalum.Lakini angalau tumepata "dhana" nyingine kuwa kuna wanachohitaji viumbe ambao nao ni kazi kubwa kuwatafutia uthibitisho wa uwepo wao au kujuwa kama kweli waliwahi kuwepo. Naomba tuendelee kutafakari mkuu na ninaamini kuna tutakachopata hapa...
 
Mkuu heshima kwako....
Kama mambo yapo hivi na zaidi ya hivi,unatarajia jibu la swali lako litapatikana kweli?

Viumbe waliosababisha mabadiliko haya ya kizazi ni viumbe gani na wanataka nini?
MATTHEW 24:37-39 (KJV)

37 But as the days of Noah were, so shall also the coming of the Son of man be.

38 For as in the days that were before the flood they were eating and drinking, marrying and giving in marriage, until the day that Noe entered into the ark,

39 And knew not until the flood came, and took them all away; so shall also the coming of the Son of man be.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
Day of Reckoning is coming, some people don't just feel it........

NB: Mkuu Eiyer its good to see you , nashukuru sana kwa bandiko zuri lenye kufikirisha..
Tuko pamoja sana na Barikiwa.
 
MATTHEW 24:37-39 (KJV)

37 But as the days of Noah were, so shall also the coming of the Son of man be.

38 For as in the days that were before the flood they were eating and drinking, marrying and giving in marriage, until the day that Noe entered into the ark,

39 And knew not until the flood came, and took them all away; so shall also the coming of the Son of man be.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
Day of Reckoning is coming, some people don't just feel it........

NB: Mkuu Eiyer its good to see you , nashukuru sana kwa bandiko zuri lenye kufikirisha..
Tuko pamoja sana na Barikiwa.
Hapo kwenye blue nimepaelewa sana mkuu...

Ahsante sana na barikiwa....
 
Kihistoria asili ya mwanadamu ni mtu mwenye umbile kubwa katika historia kwaupande wa dini ya kiislamu inasetuambia kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa (ambaye ni Adam) alikua na urefu wa dhiraa 60(yaani futi 60).

Hivyo swali lako ulilouliza asili ya hao watu jibu ndio hilo, Yaani hata mimi na wewe asili yetu ni maumbile makubwa (Giants).
Ila Ila Kwanini sasa hivi hawapo! Hilo sina jibu ila nadhani kibaiolojia au mabadiliko ya mazingira na technology vinaweza kuwa sababu.

Ila kihistoria haswa katika imani ya kiislamu tunaambiwa uzao huo wa Adam utakua ukibadilika ukubwa wa maumbile zama hadi zama. Kadiri zima/kizazi fulani kinavyobadilika na maumbile yanazidi kuwa madogo.
Hata hapa kwetu Tanzania vimo na maumbile ya watu wa miaka ya nyuma kama miaka ya 1900 kurudi nyuma ni tofauti na vizazi vya 1900s.
 
Uzi huu nimeufuatilia mwanzo - mwisho, kuna sehemu wachangiaji wanataka kuhusianisha nyayo zinazopatikana juu ya mawe na hii nadharia ya MAJITU. Wengine wameenda mbali na kuweka vipimo vya unyayo vinavyoashiria kuna jitu lilikanyaga juu ya jiwe. Ninachojiuliza mawe ya zamani na ya sasa yalikuwa tofauti kiasi kwamba Leo tukichukua kitu chenye uzito wa tani 50 kwa mfano kikalikanyaga jiwe kinaweza kuacha alama ya unyayo? Au Yale mawe ya zamani yalikuwa laini ya sasa yamekuwa magumu(solid)?. Wakati Fulani nilisoma sehemu kuwa Mwanamalundi naye amewahi kukanyaga jiwe na kuacha unyayo wake na hii tuihusishe na MIJITU?

Mkuu Eiyer bandiko lako linafikirisha zaidi. Unakiri kwa utafiti wako majitu yamewahi kuishi ila tunafichwa, hatuelezwi sijui kwa nini.
Na umeenda mbali ukiihusisha Catholic na serikali kushiriki kwa kiasi kuficha mabaki ya majitu kwa sababu wanazozijua wao.

Swali la kujiuliza, kwa nini haya majitu yalipata kutokea duniani na sasa hayapo wakati sisi binadamu tulipata kuwepo na bado tunaendelea kuwepo? Mungu ndo anayetuficha hili au binadamu ndo wanaotuficha?
Malengo ya binadamu ni makuu kuliko ya Mungu? Yaani hawa viumbe wa Mungu(viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekana vimeumbwa na yeye) kuna binadamu wanafanya juhudi kuvipoteza na kupoteza historia yao? Ikiwa ndivyo, Mungu muweza yote anakubalije hili litokee kwa matamanio ya binadamu wenye malengo maalumu?
 
Mkuu hapa naona ukakasi labda tujaribu kufikiri hivi.
Mungu aliwaangamiza kidogokidogo ili hata vizazi vingine vipate kujua habari zao maana kama angewaangamiza wote katika garika ya nuhu Leo tusingeona hata mabaki ya mifupa yao mifupa ya mabaki ingekuwa baharini ili kuujua ukweli aliwaacha waishe taratibu ili tujifunze na kupata ushahidi wa wao kuishi.
Hizi dhana nyingine mnalazimisha yi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom