DID GIANTS EXIST? Historia ya Majitu ya Kale

zitto junior

JF-Expert Member
Oct 7, 2013
19,037
28,685
Habari za asbuhi wana jukwaa, niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema je Giants/Majitu makubwa yanayoelezwa kufika hadi futi 45 waliwahi kuishi hapa duniani?? na kama waliwahi kuishi walitoweka wapi?? Na kwanini siku hizi hawazaliwi tena??

Hadithi za uwepo wa hawa watu zipo karibu katika kila kabila na jamii hapa duniani kwa mfano wahispania wana historia ya Giant (basajaun) ubelgiji alikuwepo antigoon, indonesia (Buto), waebrania (Goliath), Irimu wa wakikuyu na Yalmavuz wa uturuki nikitaja kwa uchache.

Hata vitabu vya kidini na kihistoria zimewaongelea hawa watu embu tuone mifano kidogo

WANEFILI
Mwanzao 6:4
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa

Kwa tafsiri ya kiingereza

Genesis 6:4
4There were giants in the earth in those days; and also after that, when the sons of God came in unto the daughters of men, and they bare children to them, the same became mighty men which were of old, men of renown.

Inaelezwa watu hawa walikuwa ni majitu makubwa yenye nguvu yanaongelewa pia kwenye vitabu vya kihistoria kma Book of giants tunaona watoto wa Semyaza kina ohyah na hahyah walikuwa ni majitu makubwa sana yanazidi futi 100!!!..... Pia kitabu cha Enoko (book of watchers) anaongelea watu hawa ambao walikuwa ni wakubwa sana na walikuwa wakitesa wanadamu maana walidai vyakula kuliko viwango vyao vya uzalishaji na wakaanza hadi kuwala wanadamu wenyewe.... So dunia ilijaa vurugu tupu kipindi cha kabla ya gharika sababu ya hawa WANEFILI

2. WANA WA ANAKI (ANNUNAKI)
Kwenye vitabu vya dini hawa pia wanaongelewa kama WANEFILI ambao ni majitu marefu yenye nguvu sana

Hesabu 13:33
32 Wakawaletea wana wa Israeli habari mbaya ya ile nchi waliyoipeleleza, wakasema, Ile nchi tuliyopita kati yake ili kuipeleleza, ni nchi inayowala watu wanaoikaa; na watu wote tuliowaona ndani yake ni watu warefu mno.
33 Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.


Walisema haya baada ya waisraeli kutuma wapelelezi kwenda kukagua nchi ya kanaan iliyokaliwa na wana wa Canaan mtoto wa Ham wakiwemo Waamori,waamaleki,wayebusi,wahiti,Hivitites,Gilgashites n.k ambao kwenye biblia wanaelezwa kma majitu makubwa na marefu yaliyoishi Canaan kipindi waisraeli wanataka kurudi kwenye nchi yao ya ahadi

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini

NB:Mierezi ni miti mirefu sana sasa iliopatikana huko lebanon

QURAN TAKATIFU
Mfano ambao upo ndani ya Quran ni Mfalme Og wa Bashan au kwa kiarabu alifahamika kma Uj ibn Anaq huyu alikuwa mfalme wa kale ambaye alikuwa ni mrefu sana na ana mwili mkubwa tunaambiwa alikuwa na futi 13 na alikuwa na nguvu sana,pia kwenye Quran anatajwa Jitu linaitwa Jalut ambalo nalo linaelezwa alikuwa mtu mkubwa mwenye maguvu sana kuliko umbo la kawaida la mwanadamu.

GILGAMESH
Huyu ametajwa na Enocko kwenye book of giants kwamba alikuwa ni JITU kubwa sana lenye manguvu kiasi kwamba lilitangaza vita na Mbingu..... Inadaiwa alitawala ufalme wa sumeria (Uruk) enzi za kale na alitawala kwa miaka 126... Ana stori ndefu kidogo itabidi afunguliwe uzi siku moja (Epic of gilgamesh) ila kwa leo nimemtaja tu kma mmoja ya GIANTS

USHAHIDI WA KISAYANSI
Hii ni baadhi ya mifano tu ili twende pamoja... Na baadhi ya tafiti zimefanyika wamepata ushahidi wa miji walioishi hawa wanefili ambayo majengo yao tofali moja tu haliwezi bebwa na kifaa chochote cha sasa hivyo wameconclude ulijengwa na MAJITU haya ndio pekee yana uwezo wa kubeba tofali kma zile miji hii mfano ya maeneo hayo ni magharibi wa mto yordani, Pia Hebron, mesopotamia na maeneo ya mashariki ya kati. Kwa maeneo zaidi angalia kiambatanisho cha video hapo chini kuhusu majengo hayo afu uniambie kma mwanadamu wa kawaida angeweza kujenga kulingana na technologia ya kipindi kile!

Pia ushahidi mwingine ulipatikana na mtafiti Georges Vacher de Lapouge na mifupa akiita Giant of castelnau... Mifupa hiyo kwa picha inaonekana ni ya kibidanadam ila ni mikubwa kuliko ya mwanadamu wa kawaida maana estimation ilifika futi 12 hivi ya urefu kwa kutumia mifupa hiyo ya miguu

WALIISHIA WAPI HAWA MAJITU??
1.Kwenye vitabu vya kihistoria na dini wanadai kwamba wanefili walikufa kwenye gharika la Nuhu ila cha kujiuliza kma kweli walikufa kwenye gharika walirudije baadae mfano hao waamori au wayebusi walikuwa ni wanefili (wajuzi mtusaidie hapa)

2. Kuendana na kitabu cha Joshua tunasoma kwamba alidhamiria awaangamize wote ili waweze kuiteka Canaan na kuiweka mikononi mwao..... Ila tunaona HAKUUA wote sababu wengine walikimbia hivyo waliachwa wakaishi miji ya kusini (Gaza ya sasa)

Maswali ya kujiuliza

Je asili yao ni nini mpaka wakawa wakubwa hivyo??

Je uzao wao uliishia wapi??

Je watu hao walikuwepo kweli??

Je kwanini siku hizi hawazaliwi tena??

Ahsanteni kwa kusoma,karibuni kwa michango
images (17).jpg
images (18).jpg
70296ebdbe1b46ce6c3e0656141749e3.jpg
9812793c72e2eaf5a759093e00a2660f--giant-skeleton-nephilim-giants.jpg







CC wanajukwaa wote bila kuwasahau
Malcom Lumumba, hearly Da'Vinci ,Te Lavista,Kiranga Elungata ,nyabhingi ,Mchawi Mkuu,Eiyer ,Mshana Jr n.k
 
Hawa watu (MIJITU) asili yao ilikua ni malaika waasi ambao waliwatamani wanawake wa kibinadamu wakaja kufanya nao sex na baada ya hapo ndo ikaanza kuzaliwa mijitu hii mikubwa (GIANT) na inavosemekana hawa jamaa walipenda sana uasherati na mambo mengine mengi ya kumuudhi MUNGU na ndipo hapo MUNGU akaamua kuwaangamiza kwa galika ya Noah.


Lakini sina hakika kama waliangamizwa wote kipindi cha noah kwasababu kama ingekua wameangamia wote basi tusinge wasoma kwa Joshua huku kanani.
 
Hawa watu (MIJITU) asili yao ilikua ni malaika waasi ambao waliwatamani wanawake wa kibinadamu wakaja kufanya nao sex na baada ya hapo ndo ikaanza kuzaliwa mijitu hii mikubwa (GIANT) na inavosemekana hawa jamaa walipenda sana uasherati na mambo mengine mengi ya kumuudhi MUNGU na ndipo hapo MUNGU akaamua kuwaangamiza kwa galika ya Noah.
Ahsante kwa mchango wako lakini hapa bado inaniacha na maswali kidogo labda uniweke sawa

1. Kama waliangamizwa na gharika je hao 'MAJITU' yaliyokuja baada ya gharika mfano Goliath au Mfalme Ogu walitokea wapi??

2. Kama walitokana na malaika ina maana malaika walizaa upya na wanadamu baada ya gharika??

3. Kama walikuwepo baada ya gharika je kizazi chao kimeishia wapi kiasi leo hatunao tena duniani??

Tutoe tongotongo kidogo
 
Hawa watu (MIJITU) asili yao ilikua ni malaika waasi ambao waliwatamani wanawake wa kibinadamu wakaja kufanya nao sex na baada ya hapo ndo ikaanza kuzaliwa mijitu hii mikubwa (GIANT) na inavosemekana hawa jamaa walipenda sana uasherati na mambo mengine mengi ya kumuudhi MUNGU na ndipo hapo MUNGU akaamua kuwaangamiza kwa galika ya Noah.


Lakini sina hakika kama waliangamizwa otee kipindi cha noah kwasababu kama ingekua wameangamia otee basi tusinge wasoma kwa Joshua huku kanani.
Kwani Malaika wana hisia za kufanya mapenzi mkuu?
 
Ahsante kwa mchango wako lakini hapa bado inaniacha na maswali kidogo labda uniweke sawa

1. Kama waliangamizwa na gharika je hao 'MAJITU' yaliyokuja baada ya gharika mfano Goliath au Mfalme Ogu walitokea wapi??

2. Kama walitokana na malaika ina maana malaika walizaa upya na wanadamu baada ya gharika??

3. Kama walikuwepo baada ya gharika je kizazi chao kimeishia wapi kiasi leo hatunao tena duniani??

Tutoe tongotongo kidogo
Nimelezea hapo juu kudogo nachokijua mimi kuhusu hawa giant, ila baada ya gharika mimi mwenyewe inanipaga ukakasi kidogo, kwani kama waliangamizwa wote kipindi cha Noah inakuaje tena tuwasome huku kwa Joshua!?

Inawezekana hawakuangamia wote au baada ya gharika walirudi tena kufanya mapenz na hao waliopona kwenye safina.


Tusubiri wajuvi zaidi waje watuelimishe kuanzia baada ya gharika mpaka Joshua hapa kati kati kilitokea nini mpaka jamaa wakawepo tena kaanani.
 
Habari za asbuhi wana jukwaa, niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema je Giants/Majitu makubwa yanayoelezwa kufika hadi futi 45 waliwahi kuishi hapa duniani?? na kama waliwahi kuishi walitoweka wapi?? Na kwanini siku hizi hawazaliwi tena??

Hadithi za uwepo wa hawa watu zipo karibu katika kila kabila na jamii hapa duniani kwa mfano wahispania wana historia ya Giant (basajaun) ubelgiji alikuwepo antigoon, indonesia (Buto), waebrania (Goliath), Irimu wa wakikuyu na Yalmavuz wa uturuki nikitaja kwa uchache.

Hata vitabu vya kidini na kihistoria zimewaongelea hawa watu embu tuone mifano kidogo

WANEFILI
Mwanzao 6:4
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa

Kwa tafsiri ya kiingereza

Genesis 6:4
4There were giants in the earth in those days; and also after that, when the sons of God came in unto the daughters of men, and they bare children to them, the same became mighty men which were of old, men of renown.

Inaelezwa watu hawa walikuwa ni majitu makubwa yenye nguvu yanaongelewa pia kwenye vitabu vya kihistoria kma Book of giants tunaona watoto wa Semyaza kina ohyah na hahyah walikuwa ni majitu makubwa sana yanazidi futi 100!!!..... Pia kitabu cha Enoko (book of watchers) anaongelea watu hawa ambao walikuwa ni wakubwa sana na walikuwa wakitesa wanadamu maana walidai vyakula kuliko viwango vyao vya uzalishaji na wakaanza hadi kuwala wanadamu wenyewe.... So dunia ilijaa vurugu tupu kipindi cha kabla ya gharika sababu ya hawa WANEFILI

2. WANA WA ANAKI (ANNUNAKI)
Kwenye vitabu vya dini hawa pia wanaongelewa kama WANEFILI ambao ni majitu marefu yenye nguvu sana

Hesabu 13:33
32 Wakawaletea wana wa Israeli habari mbaya ya ile nchi waliyoipeleleza, wakasema, Ile nchi tuliyopita kati yake ili kuipeleleza, ni nchi inayowala watu wanaoikaa; na watu wote tuliowaona ndani yake ni watu warefu mno.
33 Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.


Walisema haya baada ya waisraeli kutuma wapelelezi kwenda kukagua nchi ya kanaan iliyokaliwa na wana wa Canaan mtoto wa Ham wakiwemo Waamori,waamaleki,wayebusi,wahiti,Hivitites,Gilgashites n.k ambao kwenye biblia wanaelezwa kma majitu makubwa na marefu yaliyoishi Canaan kipindi waisraeli wanataka kurudi kwenye nchi yao ya ahadi

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini

NB:Mierezi ni miti mirefu sana sasa iliopatikana huko lebanon

QURAN TAKATIFU
Mfano ambao upo ndani ya Quran ni Mfalme Og wa Bashan au kwa kiarabu alifahamika kma Uj ibn Anaq huyu alikuwa mfalme wa kale ambaye alikuwa ni mrefu sana na ana mwili mkubwa tunaambiwa alikuwa na futi 13 na alikuwa na nguvu sana,pia kwenye Quran anatajwa Jitu linaitwa Jalut ambalo nalo linaelezwa alikuwa mtu mkubwa mwenye maguvu sana kuliko umbo la kawaida la mwanadamu.

GILGAMESH
Huyu ametajwa na Enocko kwenye book of giants kwamba alikuwa ni JITU kubwa sana lenye manguvu kiasi kwamba lilitangaza vita na Mbingu..... Inadaiwa alitawala ufalme wa sumeria (Uruk) enzi za kale na alitawala kwa miaka 126... Ana stori ndefu kidogo itabidi afunguliwe uzi siku moja (Epic of gilgamesh) ila kwa leo nimemtaja tu kma mmoja ya GIANTS

USHAHIDI WA KISAYANSI
Hii ni baadhi ya mifano tu ili twende pamoja... Na baadhi ya tafiti zimefanyika wamepata ushahidi wa miji walioishi hawa wanefili ambayo majengo yao tofali moja tu haliwezi bebwa na kifaa chochote cha sasa hivyo wameconclude ulijengwa na MAJITU haya ndio pekee yana uwezo wa kubeba tofali kma zile miji hii mfano ya maeneo hayo ni magharibi wa mto yordani, Pia Hebron, mesopotamia na maeneo ya mashariki ya kati. Kwa maeneo zaidi angalia kiambatanisho cha video hapo chini kuhusu majengo hayo afu uniambie kma mwanadamu wa kawaida angeweza kujenga kulingana na technologia ya kipindi kile!

Pia ushahidi mwingine ulipatikana na mtafiti Georges Vacher de Lapouge na mifupa akiita Giant of castelnau... Mifupa hiyo kwa picha inaonekana ni ya kibidanadam ila ni mikubwa kuliko ya mwanadamu wa kawaida maana estimation ilifika futi 12 hivi ya urefu kwa kutumia mifupa hiyo ya miguu

WALIISHIA WAPI HAWA MAJITU??
1.Kwenye vitabu vya kihistoria na dini wanadai kwamba wanefili walikufa kwenye gharika la Nuhu ila cha kujiuliza kma kweli walikufa kwenye gharika walirudije baadae mfano hao waamori au wayebusi walikuwa ni wanefili (wajuzi mtusaidie hapa)

2. Kuendana na kitabu cha Joshua tunasoma kwamba alidhamiria awaangamize wote ili waweze kuiteka Canaan na kuiweka mikononi mwao..... Ila tunaona HAKUUA wote sababu wengine walikimbia hivyo waliachwa wakaishi miji ya kusini (Gaza ya sasa)

Maswali ya kujiuliza

Je asili yao ni nini mpaka wakawa wakubwa hivyo??

Je uzao wao uliishia wapi??

Je watu hao walikuwepo kweli??

Je kwanini siku hizi hawazaliwi tena??

Ahsanteni kwa kusoma,karibuni kwa michango View attachment 748594 View attachment 748595 View attachment 748596 View attachment 748597






CC wanajukwaa wote bila kuwasahau
Malcom Lumumba, hearly Da'Vinci ,Te Lavista,Kiranga Elungata ,nyabhingi ,Mchawi Mkuu,Eiyer ,Mshana Jr n.k
Dah mada tamu sana japo nimekuja kwa kuchelewa.... Ithibati kadha zipo na hawa majitu hawakuwa pekeyao bali mpaka na wanyama na mimea yao.. Hakukuwa na mbilikimo hizo enzi
Ushahidi wa wazi kwenye hili unaonekana Arusha kwenye ule unyayo kwenye mwamba na Tanga Lushoto sehemu inaitwa Irente kuna mwamba mkubwa usiofikika kirahisi una unyayo mkubwa sana.. Ithibati ziko lukuki
Lakini vile vile kwenye Bible takatifu tunaambiwa kuhusu habari za Goliath... Jitu kubwa lenye nguvu nyingi... Tunaambiwa kuhusu watu wale wa zamani kuishi miaka 800... Kwa vimwili vyetu hivi vya leo kuishi miaka mia tu ni kasheshe
Tuendelee na mjadala nimeweka kikao
 
Habari za asbuhi wana jukwaa, niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema je Giants/Majitu makubwa yanayoelezwa kufika hadi futi 45 waliwahi kuishi hapa duniani?? na kama waliwahi kuishi walitoweka wapi?? Na kwanini siku hizi hawazaliwi tena??

Hadithi za uwepo wa hawa watu zipo karibu katika kila kabila na jamii hapa duniani kwa mfano wahispania wana historia ya Giant (basajaun) ubelgiji alikuwepo antigoon, indonesia (Buto), waebrania (Goliath), Irimu wa wakikuyu na Yalmavuz wa uturuki nikitaja kwa uchache.

Hata vitabu vya kidini na kihistoria zimewaongelea hawa watu embu tuone mifano kidogo

WANEFILI
Mwanzao 6:4
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa

Kwa tafsiri ya kiingereza

Genesis 6:4
4There were giants in the earth in those days; and also after that, when the sons of God came in unto the daughters of men, and they bare children to them, the same became mighty men which were of old, men of renown.

Inaelezwa watu hawa walikuwa ni majitu makubwa yenye nguvu yanaongelewa pia kwenye vitabu vya kihistoria kma Book of giants tunaona watoto wa Semyaza kina ohyah na hahyah walikuwa ni majitu makubwa sana yanazidi futi 100!!!..... Pia kitabu cha Enoko (book of watchers) anaongelea watu hawa ambao walikuwa ni wakubwa sana na walikuwa wakitesa wanadamu maana walidai vyakula kuliko viwango vyao vya uzalishaji na wakaanza hadi kuwala wanadamu wenyewe.... So dunia ilijaa vurugu tupu kipindi cha kabla ya gharika sababu ya hawa WANEFILI

2. WANA WA ANAKI (ANNUNAKI)
Kwenye vitabu vya dini hawa pia wanaongelewa kama WANEFILI ambao ni majitu marefu yenye nguvu sana

Hesabu 13:33
32 Wakawaletea wana wa Israeli habari mbaya ya ile nchi waliyoipeleleza, wakasema, Ile nchi tuliyopita kati yake ili kuipeleleza, ni nchi inayowala watu wanaoikaa; na watu wote tuliowaona ndani yake ni watu warefu mno.
33 Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.


Walisema haya baada ya waisraeli kutuma wapelelezi kwenda kukagua nchi ya kanaan iliyokaliwa na wana wa Canaan mtoto wa Ham wakiwemo Waamori,waamaleki,wayebusi,wahiti,Hivitites,Gilgashites n.k ambao kwenye biblia wanaelezwa kma majitu makubwa na marefu yaliyoishi Canaan kipindi waisraeli wanataka kurudi kwenye nchi yao ya ahadi

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini

NB:Mierezi ni miti mirefu sana sasa iliopatikana huko lebanon

QURAN TAKATIFU
Mfano ambao upo ndani ya Quran ni Mfalme Og wa Bashan au kwa kiarabu alifahamika kma Uj ibn Anaq huyu alikuwa mfalme wa kale ambaye alikuwa ni mrefu sana na ana mwili mkubwa tunaambiwa alikuwa na futi 13 na alikuwa na nguvu sana,pia kwenye Quran anatajwa Jitu linaitwa Jalut ambalo nalo linaelezwa alikuwa mtu mkubwa mwenye maguvu sana kuliko umbo la kawaida la mwanadamu.

GILGAMESH
Huyu ametajwa na Enocko kwenye book of giants kwamba alikuwa ni JITU kubwa sana lenye manguvu kiasi kwamba lilitangaza vita na Mbingu..... Inadaiwa alitawala ufalme wa sumeria (Uruk) enzi za kale na alitawala kwa miaka 126... Ana stori ndefu kidogo itabidi afunguliwe uzi siku moja (Epic of gilgamesh) ila kwa leo nimemtaja tu kma mmoja ya GIANTS

USHAHIDI WA KISAYANSI
Hii ni baadhi ya mifano tu ili twende pamoja... Na baadhi ya tafiti zimefanyika wamepata ushahidi wa miji walioishi hawa wanefili ambayo majengo yao tofali moja tu haliwezi bebwa na kifaa chochote cha sasa hivyo wameconclude ulijengwa na MAJITU haya ndio pekee yana uwezo wa kubeba tofali kma zile miji hii mfano ya maeneo hayo ni magharibi wa mto yordani, Pia Hebron, mesopotamia na maeneo ya mashariki ya kati. Kwa maeneo zaidi angalia kiambatanisho cha video hapo chini kuhusu majengo hayo afu uniambie kma mwanadamu wa kawaida angeweza kujenga kulingana na technologia ya kipindi kile!

Pia ushahidi mwingine ulipatikana na mtafiti Georges Vacher de Lapouge na mifupa akiita Giant of castelnau... Mifupa hiyo kwa picha inaonekana ni ya kibidanadam ila ni mikubwa kuliko ya mwanadamu wa kawaida maana estimation ilifika futi 12 hivi ya urefu kwa kutumia mifupa hiyo ya miguu

WALIISHIA WAPI HAWA MAJITU??
1.Kwenye vitabu vya kihistoria na dini wanadai kwamba wanefili walikufa kwenye gharika la Nuhu ila cha kujiuliza kma kweli walikufa kwenye gharika walirudije baadae mfano hao waamori au wayebusi walikuwa ni wanefili (wajuzi mtusaidie hapa)

2. Kuendana na kitabu cha Joshua tunasoma kwamba alidhamiria awaangamize wote ili waweze kuiteka Canaan na kuiweka mikononi mwao..... Ila tunaona HAKUUA wote sababu wengine walikimbia hivyo waliachwa wakaishi miji ya kusini (Gaza ya sasa)

Maswali ya kujiuliza

Je asili yao ni nini mpaka wakawa wakubwa hivyo??

Je uzao wao uliishia wapi??

Je watu hao walikuwepo kweli??

Je kwanini siku hizi hawazaliwi tena??

Ahsanteni kwa kusoma,karibuni kwa michango View attachment 748594 View attachment 748595 View attachment 748596 View attachment 748597






CC wanajukwaa wote bila kuwasahau
Malcom Lumumba, hearly Da'Vinci ,Te Lavista,Kiranga Elungata ,nyabhingi ,Mchawi Mkuu,Eiyer ,Mshana Jr n.k
Dah mada tamu sana japo nimekuja kwa kuchelewa.... Ithibati kadha zipo na hawa majitu hawakuwa pekeyao bali mpaka na wanyama na mimea yao.. Hakukuwa na mbilikimo hizo enzi
Ushahidi wa wazi kwenye hili unaonekana Arusha kwenye ule unyayo kwenye mwamba na Tanga Lushoto sehemu inaitwa Irente kuna mwamba mkubwa usiofikika kirahisi una unyayo mkubwa sana.. Ithibati ziko lukuki
Lakini vile vile kwenye Bible takatifu tunaambiwa kuhusu habari za Goliath... Jitu kubwa lenye nguvu nyingi... Tunaambiwa kuhusu watu wale wa zamani kuishi miaka 800... Kwa vimwili vyetu hivi vya leo kuishi miaka mia tu ni kasheshe
Tuendelee na mjadala nimeweka kikao
 
Dah mada tamu sana japo nimekuja kwa kuchelewa.... Ithibati kadha zipo na hawa majitu hawakuwa pekeyao bali mpaka na wanyama na mimea yao.. Hakukuwa na mbilikimo hizo enzi
Ushahidi wa wazi kwenye hili unaonekana Arusha kwenye ule unyayo kwenye mwamba na Tanga Lushoto sehemu inaitwa Irente kuna mwamba mkubwa usiofikika kirahisi una unyayo mkubwa sana.. Ithibati ziko lukuki
Lakini vile vile kwenye Bible takatifu tunaambiwa kuhusu habari za Goliath... Jitu kubwa lenye nguvu nyingi... Tunaambiwa kuhusu watu wale wa zamani kuishi miaka 800... Kwa vimwili vyetu hivi vya leo kuishi miaka mia tu ni kasheshe
Tuendelee na mjadala nimeweka kikao
Ni kweli mkuu hii hoja yako hata mafuvu ya wanyama wa zamani sio kma ya hawa wa sasa sielewi kwanni

Mfano kwenye bible Ayubu anamuongelea mnyama anaitwa BEHEMOTH ambao wengine wanadai ni dinosaur.....huyo kiumbe kwa maelezo yake anasema ndio mnyama mkubwa duniani na alikuwa na mifupa kama CHUMA na anatema cheche!!! Hao wanyama sahvi hawapo sijui wametoweka wapi.... Ipo Ayubu 40 sura nzima anamsifia mnyama huyo

Ukijuliza sana mwanadamu kuishi miaka 1000 kweli sio jambo la kitoto lazima mwili wake uwe ''umejibeba'' haswaa ili aweze kuhimili magonjwa na mabadiliko ya hali ya hewa kwa miaka yote hiyo
 
Hawa watu (MIJITU) asili yao ilikua ni malaika waasi ambao waliwatamani wanawake wa kibinadamu wakaja kufanya nao sex na baada ya hapo ndo ikaanza kuzaliwa mijitu hii mikubwa (GIANT) na inavosemekana hawa jamaa walipenda sana uasherati na mambo mengine mengi ya kumuudhi MUNGU na ndipo hapo MUNGU akaamua kuwaangamiza kwa galika ya Noah. ni
Lakini sina hakika kama waliangamizwa otee kipindi cha noah kwasababu kama ingekua wameangamia otee basi tusinge wasoma kwa Joshua huku kanani.
HAWA WATU inaonekana walibaki.bibi yangu alyefariki 1986 akiwa na umri miaka 100 au pungufu kidogo alinisimulia juu ya mtu mkubwa. Alikuwa anabeba mti mzima uliojauka kwa ajili ya kuni kwa familia. ujira wake ulikuwa unamchomea mikungu 3 ya ndizi na maziwa ya mgando. bibi alikuwa ni msichana wakati wa vita ya kwanza ya dunia. baba alizaliwa 1923 kwa rekodi za misheni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom