DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,319
Mtakaosikiliza hizo videos naomba mtujuze content yake zikoje. Nimeweka hapa kwa atakayetaka..Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini.
Ana miliki nyumba yenye thamani ya zaidi ya milioni 350 TSH, pamoja na magari ya kifahari ya thamani ya zaidi milioni 850.
Hakika kijana huyu ni kielelezo cha vijana wenye mafanikio makubwa kwa kujiajiri wenyewe bila ya kutegemea ajira ya serikalini, mafanikio ya kijana huyu ni zaidi ya wasomi walioajiriwa wakisubiri mshahara kiduchu kwa mwezi.
Hongera yake.