Mkuu, huna habari, mwanamke ana sura 3?Hiyo sura mbona yai bovu....!
tueleze vzr, nadhani tupo wengi hatuzijui hizo sura 3....enhee ya kwanza ni ipi?Mkuu, huna habari, mwanamke ana sura 3?
Jamaa alipomwona binti huyu network ilikatika kabisa. Alilazimika kumkatia ticket akaenda nae Nairobi, binti akamwambia mbona nakaa mwenyewe hotelini wakati uko kwenye show, D'banj akamwuliza kwani vp? Akamwambia marafiki zangu wote wapo Dar, akamwuliza wangapi? Akamwambia wanne, akawakatia mashosti wake wanne ticket za ndege wote wakaenda Nai kula raha kwenye show ya D'banji na shost yao wakati binti akila raha na kijana.sijakuelewa mkuu,yani ilikuwaje??
Ya kwanza ni hiyo unayoiona, ambayo Kwetunikwetu ameifananisha na yai bovu. Sura nyingine mbili hazionekani waziwazi. Moja utaiona kwa ruksa maalum na nyingine hadi upate wasaa maalum.tueleze vzr, nadhani tupo wengi hatuzijui hizo sura 3....enhee ya kwanza ni ipi?