Diaspora Vijana Watanzania wamlilia Rais Samia uraia pacha

Poor African soul. Kwa taarifa yako ardhi iliyokwisha kutumiwa na sisi wazalendo wa kuzaliwa hapa bongo haifikii hata nusu ya ardhi yote yenye kufaa kutumika tangu tupate uhuru.

Tunaiongelea ardhi wakati vichwani mwetu hatuna ubunifu wenye kulingana na ukubwa wa eneo tulilonalo!.

Hata kama bado nusu haijatumika, kwa hiyo tuwagawie Wachina waje kuishi ?
Tuwape diaspora ambao hawakai Tanzania ?

Tunapinga na kulaani.

Watu wanaongezeka, ardhi is finite, hatutagawa bure kwa walioondoka nchini.

Tuna masuala kibao ya kitaifa ya kutatua, we have a full plate of pressing priorities, the last thing we are thinking about is Uraia pacha wa diaspora . Eti ili tuwape ardhi ambayo hawaihitaji kwa sababu hawapo hapa in the first place. Tumerogwa?
 
Hata kama bado nusu haijatumika, kwa hiyo tuwagawie Wachina waje kuishi ?
Tuwape diaspora ambao hawakai Tanzania ?

Tunapinga na kulaani.

Watu wanaongezeka, ardhi is finite, hatutagawa bure kwa walioondoka nchini.

Tuna masuala kibao ya kitaifa ya kutatua, we have a full plate of pressing priorities, the last thing we are thinking about is Uraia pacha wa diaspora eti ili tiwape ardhi ambayo hawaihitaji. Hawapo hapa in the first place.
Roho yako ni ya chuki na hoja yako ni nyembamba sana. Kuondoka kwenda nje kutafuta maisha hakuwezi kuwa ni sawa na kutenda dhambi.

Marekani, South Africa, Nigeria ni nchi zenye kutajirika kutegemea muingiliano wa watu wa aina tofauti.

Punguza fikra mgando zenye kuamini kwamba mtanzania anayeishi nje kapungukiwa upendo kwa taifa lake.

Mafisadi wa EPA na wezi wa mishahara hewa ni wazalendo wa humu humu nchini.

Wapigaji waliojaa halmashauri na serikalini ni wazalendo wa humu humu nchini.

Punguza fikra za kibaguzi zilizojaa chuki.
 
Nimesema inakuwa ofisi ya maafisa wa wilaya

jengo la mwana diaspora limetwaliwa mazima, mchana kuna watumishi wanahudumia wananchi, usiku kuna SUMA JKT.


SERA YA ARDHI ya Tanzania inasema , kwa vile sisi Watanzania hatuna mahala pengine pa kwenda, ardhi ni kwa matumizi ya watanzania wote, sio kwa ajili ya kuhodhiwa na makabaila wachache.

NDIO MAANA TANZANIA huwezi kupata title dead kujenga residential ranch type zile za nyumba imezungukwa na li uwanja la kufugia farasi kama nyumba ya JR Ewing wa Marekani

HATUKUBALI!

SISI sio Kenya

Mida hii tuko kazini Tandahimba Gulioni, tunajenga nchi na tunatafuta mlo, the last thing we are thinking about is Uraia Pacha wa Diaspora waliohamia Uswizi! Kwa nini tuwape washikilie ardhi watu wanaishi Geneva ?????

Over our cold dead bodies!

Huyo aliyeporwa jengo angejitambua hata hilo jengo lisingebaki limesimama. Na wewe unayesema watumishi wakafanyie kazi kwenye majengo yenye migogoro wakati wewe unajifisha nyuma ya keyboard inaelekea hata huwajali hao watumishi.
 


Vijana wa kiTanzania walilia uraia pacha kutokana na changamoto wazipatazo huku wao wakiwa wamwzaliwa mfano raia wa Marekani ya Kaskazini na Ulaya wakati wazazi wao, bibi, babu, shangazi ni waTanzania lakini sheria za uraia za Tanzania haziwatambui na hivyo kupata wakati ngumu katika mambo mbalimbali wawapo nyumbani kwa wazee wao.

Katika mahojiano hata exclusive na GADI TV diaspora aeleza jinsi ambayo serikali inaweza kulibeba jambo hili na likawa la manufaa siyo kwa diaspora tu ya kiTanzania bali hata nchi yao ya asili wenye mizizi nayo ya Tanzania.

Source: GADI TV


Tanzania: Bill tabled to prohibit non-citizens from owning land through inheritance

In Local Investment Laws and Indigenisation, Property Law and Real Estate, Tanzania

On 14 November 2019, the Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill 2019, Act No 8 of 2019 which proposed to amend several laws including the Probate and Administration of Estates Act, Cap. 352 was tabled in Parliament for first reading.

The amendment to the Probate and Administration of Estates Act now proposes to impose a restriction on Administrators and Executors in distributing the estate of the deceased which is in the form of landed property to heirs who are non-citizen. If the Bill goes through, the non-citizen heirs will be allowed to benefit from the proceeds realised from the disposition of the said landed property after the Administrator or Executor disposes off the property.

The laws of Tanzania through the provisions of section 20 of the Land Act prohibit foreigners to acquire land unless it is for investment purposes under the Tanzania Investment Act. The said Act makes it clear that a non-citizen can only acquire land if it is for investment purposes and that investment must be under the Tanzania Investment Centre. Otherwise non-citizens are not allowed to hold land in Tanzania.

Source: Tanzania: Bill tabled to prohibit non-citizens from owning land through inheritance | LEX Africa

Kwa nini usisema wanachadema wanataka uraia pachaa??? Haiwezekaniiiii ata siku mojaaaa.
 
Kwa nini usisema wanachadema wanataka uraia pachaa??? Haiwezekaniiiii ata siku mojaaaa.

Uraia pacha ni suala la Katiba ya nchi kulitambua na hili la katiba ya nchi halina u-chama wa CCM au CUF ni suala la utaifa yaani kutambua utaifa wa diaspora ya kiTanzania popote ulipo.
 
Uraia pacha ni suala la Katiba ya nchi kulitambua na hili la katiba ya nchi halina u-chama wa CCM au CUF ni suala la utaifa yaani kutambua utaifa wa diaspora ya kiTanzania popote ulipo.
Iliwanaufipa mlete fujo huku halafu mnatafuta pakukimbilia eti
 
Back
Top Bottom