Tunawashukuru Wana-Diaspora kwa kuchangishana na kupata pesa ya kumsafirisha Marehemu Sanga maiti inakuja saa ngapi tuje kumpokea Airport? (Bila shaka itakuwa Ethiopian Airlines) right?
*** USHAURI: Kuweni na umoja wa kusaidiana na muwe mnachangia angalau kila mwezi ili ukipata matatizo ni rahisi kusaidiana kwa kutoa kwenye mfuko wa umoja, kuliko kuchangishana wakati mwingine watu wanakuwa wamefulia.
*** USHAURI: Kuweni na umoja wa kusaidiana na muwe mnachangia angalau kila mwezi ili ukipata matatizo ni rahisi kusaidiana kwa kutoa kwenye mfuko wa umoja, kuliko kuchangishana wakati mwingine watu wanakuwa wamefulia.